iqna

IQNA

Chuki dhidi ya Uislamu
OTTAWA (IQNA) - Mwanaharakati wa Kiislamu wa Kanada (Canada) alielezea kiwango cha chuki dhidi ya Uislamu na ukandamizaji Waislamu nchini humo katika wiki za hivi karibuni kuwa haujawahi kutokea.
Habari ID: 3477894    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/11/15

Waislamu Marekani
WASHINGTON, DC (IQNA) - Ripoti mpya inasema kwamba matukio ya chuki dhidi ya Waarabu na Waislamu nchini Marekani yameongezeka hadi kiwango ambacho hakijawahi kushuhudiwa tangu vita kati ya Israel na Wapalestina kuzuka katika Ukanda wa Gaza mwezi uliopita.
Habari ID: 3477872    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/11/10

Chuki dhidi ya Uislamu
NEW YORK (IQNA)- Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amesikitishwa na kuongezeka vitendo vya chuki dhidi ya Uislamu na pia kile alichokitaja kuwa ni 'chuki dhidi ya Uyahudi'.
Habari ID: 3477865    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/11/09

Chuki dhidi ya Uislamu
BERLIN (IQNA)- Utafiti mpya umefichua kuwa, asilimia 40 ya wanaume Waislamu nchini Ujerumani wanakabiliwa na vitendo vya ubaguzi katika maisha yao ya kila siku, huku hujuma na mashambulio ya kibaguzi dhidi ya Waislamu yakiripotiwa kukithiri katika nchi hiyo ya bara Ulaya.
Habari ID: 3477864    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/11/09

Chuki dhidi ya Uislamu
LONDON (IQNA) - Msikiti mmoja huko Oxford umelengwa na "shambulio la chuki dhidi ya Uislamu na kigaidi" kufuatia jamii ya Waislamu kuunga mkono Wapalestina wanaoteswa na Israel huko Gaza.
Habari ID: 3477812    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/10/30

WASHINGTON, DC (IQNA) - Mvulana mwenye umri wa miaka 6 ambaye alidungwa kisu na mwenye nyumba katika Kitongoji cha Plainfield wiki jana alizikwa Jumatatu baada ya ibada ya mazishi katika Wakfu wa Msikiti huko Bridgeview.
Habari ID: 3477750    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/10/18

OTAWWA (IQNA) - Mwanaume huko Toronto, Kanada, anatafutwa na polisi kwa kuharibu msikiti mara mbili ndani ya wiki moja.
Habari ID: 3477734    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/10/15

Chuki dhidi ya Uislamu
TEHRAN (IQNA) -Mkutano wa kimataifa kuhusu chuki dhidi ya Uislamu (Islamophobia) umefanyika nchini Qatar huku mmoja wa waandalizi wake akitoa wito kwa juhudi za pamoja za kukabiliana na ongezeko la chuki dhidi ya Uislamu na athari zake "haribifu".
Habari ID: 3477683    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/10/02

Chuki dhidi ya Uislamu
DOHA (IQNA) - Qatar itakuwa mwenyeji wa mkutano wa kimataifa wa kujadili kukabiliana na chuki dhidi ya Uislamu (Islamophobia) kwa namna zote na kuchunguza sababu za kuongezeka kwa chuki hizo.
Habari ID: 3477663    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/09/28

Chuki dhidi ya Uislamu
AMSTERDAM (IQNA) –Rais wa taasisi kuu ya Kiislamu Uholanzi anasema chuki dhidi ya Uislamu inaweza kuonekana katika taasisi zote za serikali nchini humo.
Habari ID: 3477642    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/09/23

Waislamu Australia
CANBERRA (IQNA) – Sajili ya Vitendo vya Chuki Dhidi ya Uislamu Australia (IRA) imepongeza marufuku ya udhalilishaji kidini huko New South Wales.
Habari ID: 3477503    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/08/27

Chuki dhidi ya Uislamu
WASHINGTON, DC (IQNA) - Tishio la bomu lilitolewa dhidi ya Msikiti wa Mohammed (Masjid Muhammad), huko Washington, DC, wakati wa sala ya Ijumaa.
Habari ID: 3477462    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/08/19

Chuki dhidi ya Uislamu
STOCKHOLM (IQNA) - Polisi huko Gothenburg, Uswidi, wanachunguza kesi ya uhalifu wa chuki baada ya msikiti mmoja kupokea bahasha ya kutisha iliyokuwa na unga mweupe siku ya Ijumaa.
Habari ID: 3477460    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/08/19

Waislamu Ulaya
BERLIN (IQNA)-Mamilioni ya Waislamu nchini Ujerumani wana wasiwasi kuhusu kuongezeka kwa wimbi la chuki dhidi ya Uislamu na hujuma na mashambulio dhidi ya misikiti nchini humo.
Habari ID: 3477456    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/08/18

Watetezi wa Qur'ani Tukufu
WASHINGTON, DC (IQNA) - Baraza la Chama cha Wanasheria wa Marekani (ABA), chombo kikubwa zaidi cha wanasheria nchini Marekani, kimepitisha azimio la kulaani chuki dhidi ya Uislamu (Islamophobia).
Habari ID: 3477413    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/08/10

Chuki dhidi ya Uislamu
LONDON (IQNA) - Matukio ya chuki dhidi ya Uislamu nchini Uingereza yameongezeka zaidi ya mara mbili katika muongo mmoja.
Habari ID: 3477312    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/07/20

Chuki dhidi ya Uislamu
BRUSSELS (IQNA) - Marion Lalisse, mratibu mpya wa Umoja wa Ulaya katika kupambana na chuki dhidi ya Uislamu (Islamophobia), alidai Alhamisi kuwa Umoja wa Ulaya una mipango mahususi ya kupambana na chuki dhidi ya Uislamu.
Habari ID: 3477283    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/07/14

Chuki dhidi ya Uislamu
ISLAMABAD (IQNA) - Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (OIC) imehimizwa kubuni mikakati ya kukabiliana na chuki inayoongezeka dhidi ya Uislamu duniani kote.
Habari ID: 3477253    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/07/08

Chuki dhidi ya Uislamu (Islamophobia)
WASHINGTON, DC (IQNA)-Msikiti huko Portales, New Mexico, nchini Marekani umeharibiwa kwa mara ya nne katika kipindi cha siku 10 huku polisi wakipuuza hawajazingatia mashambulio hayo yanayorudiwa, ambayo ni pamoja na kuvunjia heshima Qur’ani Tukufu.
Habari ID: 3477249    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/07/07

Chuki dhidi ya Uislamu
MAKKA (IQNA) - Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (OIC) Jumatano ilitoa wito kwa nchi wanachama wake kufadhili utayarishaji wa vipindi vya radio, televisheni na vyombo vingine vya habari kwa lengo la kupambana na chuki dhidi ya Uislamu.
Habari ID: 3477246    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/07/06