TEHRAN (IQNA)- Msikiti umeteketezwa moto mjini Chicago nchini Marekani katika tukio linaloaminika kutekelezwa na magadidi wenye chuki dhidi ya Uislamu na Waislamu.
Habari ID: 3472239 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/11/29
TEHRAN (IQNA) – Rais Reccep Tayyip Erdogan wa Uturuki ametoa wito kwa Umoja wa Mataifa na asasi zingine za kieneo kuitangaza Machi 25 kama Siku ya Kimataifa ya Mshikamano katika Kukabiliana na Chuki dhidi ya Uislamu.
Habari ID: 3472236 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/11/28
TEHRAN (IQNA) – Viongozi wa Uturuki, Pakistan na Malayasia wametangaza azma yao ya kuanzisha televisheni kwa lugha ya Kiingereza kwa lengo ka kukabiliana na wimbi la chuki dhidi ya Uislamu (Islamophobia).
Habari ID: 3472155 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/10/01
TEHRAN (IQNA) – Meya Mwislamu huko New Jersey nchini Marekani amesema alishikiliwa kwa muda katika Uwanja wa Kimataifa wa Ndege wa John F. Kennedy mjini New York mwezi uliopita ambapo maafisa wa usalama walimsaili kuhusu iwapo anawafahamu magaidi.
Habari ID: 3472129 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/09/14
TEHRAN (IQNA) - Polisi katika jimbo la Scoltand nchini Uingereza wanachunguza kitendo cha uhalifu cha chuki dhidi ya Uislamu (Islamophobia) baada ya maandishi dhidi ya Waislamu kupatikana yameandikwa katika kuta za msikiti eneo hilo.
Habari ID: 3471969 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/05/23
TEHRAN (IQNA) - Msikiti mmoja umehujumiwa na kuharibiwa kaskazini magharibi mwa Ujerumani katika jimbo la Lower Saxony ambapo maandishi ya kibaguzi yamenadikwa katika kuta na nyama ya nguruwe kuachwa katika jengo la msikiti.
Habari ID: 3471667 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/09/11
TEHRAN (IQNA)- Kumeshuhudiwa ongezeko la asilimia 82 la chuki dhidi ya Waislamu katika jimbo la California nchini Marekani katika mwaka wa 2017 kufuatia kuchaguliwa Donald Trump kama rais.
Habari ID: 3471624 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/08/10
TEHRAN (IQNA)- Waziri Mkuu wa Uingereza Theresa May amekosolewa upya kwa kutochukua hatua za kutosha za kukabiliana na vitendo vya chuki dhidi ya Uislamu au Islamophobia katika chama chake cha Wahafidhina (Conservative).
Habari ID: 3471622 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/08/10
TEHRAN (IQNA)- Watu wanaouchukua Uislamu na Waislamu wanauhujumi msikiti huko Scotland nchini Uingereza na kutupa vipande vya nyama ya nguruwe mlangoni.
Habari ID: 3471492 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/05/03
Bi. Sayeeda Hussain Warsi
TEHRAN (IQNA)-Baadhi ya vyombo vya habari vya Uingereza vina mtazamo hasi kuhusu Uislamu na Waislamu na hali hivi sasa ni mbaya zaidi ya ilivyokuwa mwaka 2011, amesema mjumbe Muislamu katika Bunge la Malodi la Uingereza Bi. Sayeeda Hussain Warsi
Habari ID: 3471400 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/02/22
TEHRAN (IQNA)-Kiongozi wa upinzani Uingereza Jeremy Corbyn ametembelea misikiti kadhaa siku ya Jumapili na kukosoa vikali chuki dhidi ya Uislamu nchini humo.
Habari ID: 3471397 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/02/19
TEHRAN (IQNA)-Nchini Canada, binti Muslamu mwenye umri wa miaka 11 ameshambuliwa na Hijabu yake kuraruliwa wakati akiwa njiani kuelekea shuleni katika tukio la hujuma ya chuki dhidi ya Waislamu.
Habari ID: 3471352 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/01/13
TEHRAN (IQNA)- Baraza la Mahusiano ya Kiislamu nchini Marekani (CAIR) lina mpango wa kutoa mafunzo maalumu ya njia za kukabiliana na vitendo vya chuki dhidi ya Uislamu nchini humo.
Habari ID: 3471351 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/01/12
TEHRAN (IQNA)-Tafrani iliibuka Ijumaa katika kitongoji kimoja cha mji mkuu wa Ufaransa Paris, baada ya baadhi ya wakazi wa mji kujaribu kuwazuia Waislamu kuswali Sala ya Ijumaa.
Habari ID: 3471258 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/11/11
TEHRAN (IQNA)-Vijana Wazungu Waingereza wenye misimamo ya kibaguzi na chuki dhidi ya Uislamu wanapata mafunzi ya kijeshi, televisheni ya ITV imefichua.
Habari ID: 3471254 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/11/08
TEHRAN (IQNA)-Chuo Kikuu cha Marywood katika jimbo la Pennsylvania nchini Marekani kimepanga kuandaa ‘Siku ya Kuvaa Hijabu’ mnamo Novemba 15.
Habari ID: 3471253 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/11/07
TEHRAN (IQNA)-Hujuma ya kigaidi hivi karibuni katika mji wa Las Vegas nchini Marekani imetajwa kuwa ufyatuaji risasi mbaya zaidi hadharini nchini na pia tukio hilo limeashiria kuwepo hisia mseto dhidi ya Waislamu.
Habari ID: 3471208 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/10/08
TEHRAN (IQNA)-Mtu moja aliyemsikia mwanachama wa chama chenye chuki dhidi ya Uislamu akiwataka watu waisome Qur'ani kwa lengo la kuikosoa alifuata ushauri huo lakini kinyume na ilivyotarajiwa, alipata muongozo na kusilimu.
Habari ID: 3471204 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/10/04
TEHRAN (IQNA)-Watu wenye chuki dhidi ya Uislamu wamemdunga kisu na kumjeruhi daktari Muislamu katika mji wa Manchester nchini Uingereza.
Habari ID: 3471191 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/09/25
TEHRAN (IQNA)-Waislamu barani Ulaya wanahisi kuongezeka ubaguzi ambapo wawili kati ya watano (asilimia 40) wakisema wamekumbana na ubaguzi wakati wa kutafuta kazi, nyumba au huduma za umma kama vile elimu an matibabu.
Habari ID: 3471186 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/09/22