TEHRAN (IQNA)- Ikiwa ni katika kuendeleza kampeni dhidi asasi za Kiislamu, Waziri wa Mambo ya Ndani wa Ufaransa Gerald Darminian ametangaza mpango wa kupiga marufuku Taasisi ya Kupambana na Chuki Dhidi ya Uislamu au Islamophobia Ufaransa (CCIF).
Habari ID: 3473378 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/11/20
TEHRAN (IQNA)- Msikiti katika mji wa Zaandam kaskazini magharibi mwa Indonesia umehujumiwa katika jinai ambayo imetajwa kuwa ya wenye chuki dhidi ya Uislamu.
Habari ID: 3473350 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/11/11
TEHRAN (IQNA)- Wasomi, wanafikra, wanaharakati na wanazuoni wa Kiislamu duniani wametoa wito wa kutungwa sheria zinazozuia kuvunjiwa heshima Mitume wa Mwenyezi Mungu, dini za mbinguni na wafuasi wake.
Habari ID: 3473331 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/11/05
TEHRAN (IQNA)- Sheikh Mkuu wa al Azhar nchini Misri amekosoa matamshi ya chuki na hujuma ya Rais Emmanuel Macron wa Ufaransa dhidi ya Uislamu na kutoa wito wa kutungwa sheria inayotambua chuki na uhasama dhidi ya Waislamu kuwa ni uhalifu.
Habari ID: 3473327 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/11/04
TEHRAN (IQNA)- Baada ya kuchapishwa katuni zinazommvunjia heshima Mtume Muhammad SAW nchini Ufaransa na baada ya hapo matamshi ya Rais Macron wa nchi hiyo kutoa matamshi yenye chuki dhidi ya Uislamu, Waislamu kote duniani wameandamana kulaani vitendo hivyo huku wakiitaka bidhaa za Ufaransa zisusiwe.
Habari ID: 3473305 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/10/28
TEHRAN (IQNA) – Waziri Mkuu wa Canada Justin Trudeau amesema chuki dhidi ya Uislamu (Islamophobia) pamoja na misimamo mikali ya mrengo ya kulia ni itikadi ambazo hazina nafasi yoyote katika jamii ya Canada.
Habari ID: 3473260 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/10/14
TEHRAN (IQNA) - Waislamu wa Ufaransa wameudhika kwa kauli za chuki dhidi ya Uislamu zilizotolewa na rais wa nchi hiyo Emmanuel Macron.
Habari ID: 3473226 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/10/03
Waziri Mkuu wa Pakistan
TEHRAN (IQNA)- Waziri Mkuu wa Pakistan ametoa wito kwa Umoja wa Mataifa kuunda muungano wa kukabiliana na chuki dhidi ya Uislamu au Islamophobia.
Habari ID: 3473203 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/09/26
TEHRAN (IQNA) - Jumuiya ya Kimataifa ya Kukurubisha Pamoja Madhehebu za Kiislamu limelaani kitendo cha jarida la Ufaransa la Charlie Hebdo cha kumvunjia heshima tena Bwana Mtume Muhammad SAW na vile vile kitendo kichafu kilichofanywa nchini Sweden cha kuuchoma moto nakala ya Qur'ani Tukufu.
Habari ID: 3473145 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/09/07
Sheikh Mkuu wa Al Azhar
TEHRAN (IQNA) – Sheikh Mkuu wa Al Qur’ani amelaani vikali vitendo vya kuvunjiwa heshima Qur’ani Tukufu na kutaja vitendo hivyo vilivyo dhidi ya dini kuwa ni jinai ya kigaidi.
Habari ID: 3473143 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/09/06
Ayatullah Nouri Hamedani
TEHRAN (IQNA)- Mwanazuoni wa ngazi za juu katika Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, kuivunjia heshima Qur'ani Tukufu ni njama za vituo vya kifikra vya Utawala wa Kizayuni wa Israel na Marekani katika fremu ya kueneza chuki na hofu dhidi ya Uislamu.
Habari ID: 3473142 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/09/06
TEHRAN (IQNA) - Kwa mara nyingine tena jarida hilo la Kifaransa la Charlie Hebdo limeamua kwa makusudi kuwafanyia kejeli na istihzai Waislamu na dini tukufu ya Uislamu kwa kuchapisha vibonzo vyenye kuvunjia heshima matukufu ya Kiislamu.
Habari ID: 3473129 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/09/02
TEHRAN (IQNA) – Chuo Kikuu cha Al Azhar nchini Misri kimeanzisha kampeni maalumu ya kukabiliana na chuki dhidi ya Uislamu (Islamophobia).
Habari ID: 3473126 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/09/01
THERAN (IQNA) msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Pakistan ameashiria kuhusu vitendo hivyo vya kuchomwa moto nakala za Qurani Tukufu katika nchi za Sweden na Norway, huku akitoa indhari kuhusu wimbi jipya la chuki dhidi ya Uislamu barani Ulaya.
Habari ID: 3473124 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/08/31
TEHRAN (IQNA) - Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (OIC) sambamba na kulaani hatua ya kuvunjiwa heshima na kuchomwa moto nakala ya Qurani Tukufu nchini Sweden na kusema kitendo hicho kilichofanywa na wafuasi wenye misimamo iliyochupa mipaka wa mirengo ya kulia katika nchi hizo za Ulaya ni cha kichokozi na kichochezi.
Habari ID: 3473123 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/08/31
Msomi wa Iran
TEHRAN (IQNA) – Msomi wa Iran Dkt. Hakimeh Saghaye-Biria, amesema taasisi za utafiti nchini Marekanizinatumiwa kupanga sera za serikali ya nchi hiyo kuhusu ulimwengu wa Kiislamuna hasa dhidi ya harakati za muqawama au mapambano ya Kiislamu.
Habari ID: 3472940 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/07/08
TEHRAN (IQNA) – Waislamu nchini Australia wameingia na hofu ya kuenea chuki dhidi ya Uislamu baada ya ripoti mpya kubaini kuwa maambukizi mapya ya COVID-19 mjini Melbourne yalianzia katika mjumuiko wa kifamilia wa sherehe za Idul Fitr.
Habari ID: 3472896 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/06/25
TEHRAN (IQNA)- Watu wasiojulikana wameushambulia kwa mawe msikiti katika mji wa Cologne nchini Ujerumani katika tukio la chuki dhidi ya Uislamu.
Habari ID: 3472750 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/05/09
TEHRAN (IQNA) – Hatua ya kujiuzulu Sajid Javid, waziri Muislamu wa ngazi za juu zaidi katika chama tawala cha Kihafihdhina (Conservative) cha Uingereza imepelekea chama hicho kutuhumiwa kuwa kinachochea hisia za chuki dhidi ya Uislamu (Islamophobia) .
Habari ID: 3472476 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/02/16
TEHRAN (IQNA) – Vitendo vya chuki dhidi ya Uislamu nchini Ufaransa viliongezeka kwa asilimia 54 katika mwaka uliopita wa 2019.
Habari ID: 3472414 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/01/28