chuki dhidi ya uislamu - Ukurasa 10

IQNA

Hali ya Waislamu India
TEHRAN (IQNA)- Kinara wa vijana wa chama tawala cha utaifa wa Kihindu cha Bharatiya Janata (BJP) nchini India amekamatwa kutokana na matamshi ya chuki dhidi ya Waislamu Waislamu kwenye mitandao ya kijamii, polisi walisema Jumatano.
Habari ID: 3475350    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/06/08

Chuki dhidi ya Uislamu
TEHRAN (IQNA) - Mgahawa huko Ufaransa haukumruhusu mwanamke Muislamu aliyevaa Hijabu kwa sababu ya vazi lake hilo la Kiislamu.
Habari ID: 3475331    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/06/03

TEHRAN (IQNA)- Waziri Mkuu wa Pakistan mran Khan anasema ni muhimu kufanya kazi katika kukabiliana na chuki dhidi ya Uislamu kote ulimwenguni.
Habari ID: 3474974    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/02/25

TEHRAN (IQNA)- Shirikisho la Soka la Algeria limelaani shambulizi la kibaguzi la hivi majuzi dhidi ya mwanasoka Muislamu raia wa Algeria nchini Ufaransa.
Habari ID: 3474967    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/02/23

TEHRAN (IQNA) – Msikiti mmoja huko Texas Marekani unapanga 'Siku ya Wazi' ya kuwakaribisha wasiokuwa Waislamu ili kukabiliana na chuki dhidi ya Uislamu (Islamophobia).
Habari ID: 3474882    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/02/02

TEHRAN (IQNA) – Kituo cha Kiislamu cha Al Azhar nchini Misri kimepongeza uamuzi wa serikali ya Canada kutangaza siku maalumu ya kukabiliana na chuki dhidi ya Uislamu.
Habari ID: 3474879    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/02/01

TEHRAN (IQNA)- Ripoti mpya inaonyesha kuwa kumekuwepo na ongezeko kubwa la chuki dhidi ya Uislamu au Islamophobia barani Ulaya.
Habari ID: 3474746    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/12/31

TEHRAN (IQNA)-e Baraza la Wawakilishi la katika Bunge la Congress nchini Marekani limepasisha muswada wa kupambana na chuki dhidi ya Uislamu au Islamophobia licha ya kupingwa na wabunge wote wa chama cha Republican cha Donald Trump, rais wa zamani wa Marekani mwenye chuki na uadui mkubwa na Uislamu na Waislamu.
Habari ID: 3474680    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/12/16

TEHRAN (IQNA)-Ufaransa imeendeleza sera zake dhidi ya Uislamu na Waislamu kwa kuanzisha mpango wa kufunga msikiti mmoja katika mji wa Beauvais kwa muda wa miezi sita kutokana na kile kilichodaiwa ni hotuba zenye misimamo mikali msikitini hapo.
Habari ID: 3474678    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/12/15

TEHRAN (IQNA)- Makaburi ya Waislamu katika mji wa Mulhouse, mashariki mwa Ufaransa yamehujumiwa na watu wasiojulikana Jumapili jioni.
Habari ID: 3474673    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/12/14

TEHRAN (IQNA) – Kitabu chenye anuani ya "Chuki dhidi ya Uislamu (Islamophobia): Kabiliana Nayo kwa Jina la Amani" kimechapishwa kwa lugha ya Kiingereza nchini Ujerumani kwa ajili ya watoto.
Habari ID: 3474515    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/11/04

TEHRAN (IQNA) – Uchunguzi mpya umebaini kuwa zaidi ya asilimia 67.5 ya Waislamu wanaoishi Marekani wamekumbana na vitendo vya chuki dhidi ya Uislamu (Islampohobia) walau mara moja maishani.
Habari ID: 3474368    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/10/01

Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa
TEHRAN (IQNA)- Waziri Mkuu wa Pakistan Imran Khan amesema, kuna udharura wa kukabiliana na uenezaji chuki dhidi ya Uislamu kieneo na kimataifa.
Habari ID: 3474341    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/09/25

Ripoti
TEHRAN (IQNA)- Kuenea chuki dhidi ya Uislamu (Islamophobia) katika nchi za Magharibi hivi sasa limegeuka na kuwa tatizo kubwa na la kijamii, tatizo ambalo limeibua na kushadidisha vitendo vya utumiaji mabavu katika jamii ya Magharibi.
Habari ID: 3474298    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/09/15

TEHRAN (IQNA) - Polisi wanachunguza shambulio la kuchoma moto msikiti huko Greater Manchester, Uingereza.
Habari ID: 3474286    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/09/12

TEHRAN (IQNA)- Maombolezo yanafanyika baada ya dereva mmoja mwenye chuki dhidi ya Uislamu na Waislamu nchini Canada kuua watu wanne wa familia moja na kujeruhi mwingine vibaya, baada ya kuwagonga kwa makusudi na lori lake katika mkoa wa Ontario.
Habari ID: 3473988    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/06/08

TEHRAN (IQNA)- Ripoti mpya zimebaini kuwa chuki dhidi ya Uislamu yaani Islamophobia imeongezeka nchini Uingereza kwa asilimia 430 kati ya Mei 8-17 ikilinganishwa na wiki moja kabla na ongezeko hilo linatokana na hujuma ya hivi karibuni ya utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Wapalestina hasa katika Ukanda wa Ghaza.
Habari ID: 3473946    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/05/25

TEHRAN (IQNA)- Katika mfululizo wa hujuma na mashambulizi yanayolenga matukufu ya Waislamu na maeneo yao ya ibada nchini Ufaransa, watu wasiojulikana wameuvunjia heshima msikiti wa Waislamu katika mji wa Reims.
Habari ID: 3473805    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/04/12

TEHRAN (IQNA)- Serikali ya Uingereza imetakiwa itambue rasmi uwepo wa tatizo la chuki dhidi ya Uislamu yaani Islamophobia ili ikabiliane na tatizo hilo.
Habari ID: 3473786    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/04/05

TEHRAN (IQNA) – Waislamu nchini Ufaransa wamelalamikia hatua ya wakuu wan chi hiyo kupiga marufuku uchinjaji wa kuku kwa misingi ya Kiislamu huku mwezi Mtukufu wa Ramadhani ukikaribia.
Habari ID: 3473749    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/03/20