iqna

IQNA

ufufuo
Sura za Qur’ani Tukufu / 50
TEHRAN (IQNA) – Ufufuo na maisha baada ya kifo ni masuala ambayo yamesisitizwa katika mafundisho ya Kiislamu. Sura Qaaf ni moja ya sura za Qur'ani Tukufu ambayo inajibu maswali yaliyoulizwa na wale wanaofikiria maisha kuwa ni ya ulimwengu huu na wanaikana akhera.
Habari ID: 3476296    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/12/24

Kanuni za Imani za Kiislamu; Ufufuo/2
TEHRAN (IQNA) – Wanadamu wana jibu la ndani kwa swali kuhusu hatima yao na maisha ya baadae na jibu hili linaweza kuonekana kupitia baadhi ya dalili zilizo wazi.
Habari ID: 3476125    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/11/21

Kanuni za Imani ya Kiislamu; Ufufuo /1
TEHRAN (IQNA) – Baadhi ya maswali ni ya ulimwengu wote na yapo katika akili ya kila mwanadamu. Mmoja kati ya maswali hayo ni kuhusu hatima yetu. Nini matokeo ya maisha na nini itakuwa hatima yetu? Hili limezungumziwa ndani ya Qur'ani katika fremu ya itikadi ya Ma’ad (Ufufuo).
Habari ID: 3476098    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/11/16

Fikra za Kiislamu
TEHRAN (IQNA) - Watu wana sura tofauti katika ulimwengu huu. Wengine ni warembo na wengine si warembo. Hawakuchagua jinsi wanavyoonekana bali Mungu amewachagua.
Habari ID: 3475880    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/10/04