Ta'azia
IQNA – Sheikh Zia al-Nazir, msomaji maarufu wa Ibtihal nchini Misri, alifariki dunia Jumamosi, Desemba 9.
Habari ID: 3478022 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/12/12
Taazia
TEHRAN (IQNA) - Sheikh Osama Abdel Azim, mwanazuoni wa Kiislamu na Qur'ani wa Chuo Kikuu cha Kiislamu cha Al-Azhar cha Misri, amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 74.
Habari ID: 3475883 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/10/05