iqna

IQNA

Mashindano ya Qur'ani
DUBAI (IQNA) – Toleo la 7 la mashindano ya kimataifa ya Qur’ani ya Sheikha Fatima Bint Mubarak kwa wanawake yalizinduliwa huko Dubai, katika Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE), siku ya Jumamosi.
Habari ID: 3477607    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/09/16

Mashindano ya Qur'ani Tukufu
MAKKA (IQNA)- Toleo la 43 la Mashindano ya Kimataifa ya Qur’ani Tukufu ya Saudi Arabia litaanza leo katika mji mtakatifu wa Makka huku wawakilishi kutoka nchi 117 wakishiriki.
Habari ID: 3477495    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/08/25

Mashindano ya Qur'ani Tukufu
KUALA LUMPUR (IQNA) - Jopo la majaji wa shindano la 63 la kimataifa la Qur'ani la Malaysia lilitangaza washindi wa toleo hili la shindano hilo.
Habari ID: 3477491    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/08/24

Mashindano ya Qur'ani
KUALA LUMPUR (IQNA) – Alireza Bijani, mwakilishi wa Iran katika kategoria ya kisomo ya mashindano ya 63 ya kimataifa ya Qur'ani ya Malaysia, amewavutyia wengi kwa qiraa yake Jumanne usiku.
Habari ID: 3477483    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/08/23

Harakati za Qur'ani Tukufu
KUALA LUMPUR (IQNA) – Raundi ya mwisho ya toleo la 63 la mashindano ya kimataifa ya Qur’ani Tukufu ya Malaysia itaanza wikendi hii.
Habari ID: 3477445    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/08/16

Mashindano ya Qur'ani
MINNESOTA (IQNA) - Msichana Mkenya mwenye umri wa miaka 17 alishinda tuzo ya kifahari ya mashindano ya kimataifa ya Qur'ani Tukufu nchini Marekani.
Habari ID: 3477272    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/07/12

Video ya mashindano kati ya wasomaji wawili wa Iran na Wamisri wakati wa Hijja imetazamwa sana katika anga ya mtandao.
Habari ID: 3477211    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/06/28

Mashindano ya Qur'ani
TEHRAN (IQNA) - Ali Reza Bijani ataiwakilisha Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika Mashindano ya 63 ya Kimataifa ya Qur'ani Tukufu ya Malaysia.
Habari ID: 3477013    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/05/17

Qur'ani Tukufu
TEHRAN (IQNA) - Hafla imefanyika katika mji mkuu wa Ghana wa Accra kuwaenzi washindi wa shindano la kuhifadhi Qur'ani Tukufu.
Habari ID: 3476963    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/05/06

Mashindano ya Qur'ani
TEHRAN (IQNA) –Mashindano ya 43 ya Kimataifa ya Qur’ani ya Saudi Arabia yatafanyika katika mji mtakatifu wa Makka msimu huu wa joto.
Habari ID: 3476955    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/05/04

Mashindano ya Qur'ani Tukufu
TEHRAN (IQNA) - Katika hafla iliyofanyika Lucknow, mji mkuu wa jimbo la Uttar Pradesh nchini India, washindi wa mashindano ya usomaji wa Qur'ani na Adhan wameenziwa.
Habari ID: 3476944    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/05/01

Mashindano ya Qur'ani
TEHRAN (IQNA) – Gereza moja katika mji mkuu wa Algeria, Algiers limewaenzi wafungwa 150 ambao waliweza kuhifadhi Quran Tukufu kikamilifu.
Habari ID: 3476907    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/04/24

Mashindano ya Qur'ani
TEHRAN (IQNA)-Washindi wa toleo la 16 la Mashindano ya Kimataifa ya Quran ya Televisheni ya Al-Kawthar TV wametangazwa jana usiku ambapo Qari wa Afghanistan ameibuka mshindi..
Habari ID: 3476898    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/04/21

Mashindano ya Qur'ani
TEHRAN (IQNA) - Toleo la 30 la Mashindano ya Kimataifa ya Qur’ani Tukufu ya Jordan yamemefungwa huko Amman Jumatatu usiku.
Habari ID: 3476886    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/04/18

Mashindano ya Qur'ani
TEHRAN (IQNA) – Yunes Shahmoradi kutoka Iran aliyeshika nafasi ya kwanza katika Toleo la 2 la Mashindano ya Kimataifa ya Qur’ani ya Otr Elkalam nchini Saudi Arabia amesema shindano hilo lilikuwa la kiwango cha juu.
Habari ID: 3476843    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/04/10

Mashidano ya Qur'ani
TEHRAN (IQNA) - Ifuatayo ni qiraa ya Qari Yunes Shahmoradi kutoka Iran ambaye aliibuka mshindi katika toleo la pili la Shindano la Kimataifa la Qur’ani Tukufu la Otr Elkalam nchini Saudi Arabia.
Habari ID: 3476838    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/04/09

Mashindano ya Qur'ani
TEHRAN (IQNA) – Washindi watatu bora wa Tuzo ya 26 ya Kimataifa ya Qur’ani Tukufu ya Dubai waliarifishwa katika hafla iliyofanyika Dubai Jumanne usiku.
Habari ID: 3476821    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/04/06

Mashindano ya Qur'ani
TEHRAN (IQNA) – Maqarii kumi na wawili ambao wamefanikiwa kuingia katika raundi ya nusu fainali ya toleo la 16 la Mashindano ya Kimataifa ya Qur’ani ya Televisheni ya Al-Kawthar.
Habari ID: 3476810    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/04/04

Mashindano ya Qur'ani Tukufu
TEHRAN (IQNA) – Televisheni ya MBC ya Saudi Arabia imeanza kutangaza mfululizo wa pili wa mashindano ya kimataifa ya usomaji wa Qur'ani Tukufu na Adhana.
Habari ID: 3476756    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/03/25

Mashindano ya Qur'ani Tukufu
TEHRAN (IQNA) – Duru ya 16 ya Mashindano ya Kimataifa ya Qur’ani Tukufu ya Kanali ya Televisheni ya Al-Kawthar yameanza leo Jumatano jioni.
Habari ID: 3476742    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/03/22