iqna

IQNA

Mashindano ya Qur'ani
TEHRAN (IQNA) - Washindi wa Shindano la 18 la Kimataifa la Kuhifadhi Qur'ani Tukufu Algeria wametunukiwa zawadi katika hafla iliyofanyika Jumamosi.
Habari ID: 3476583    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/02/19

Mashindano ya Qur'ani ya Iran
TEHRAN (IQNA) – Mashindano ya 39 ya Kimataifa ya Qur'ani Tukufu ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran yamefunguliwa rasmi Jumamosi Alasiri mjini Tehran.
Habari ID: 3476582    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/02/18

Mashindano ya Qur'ani Tukufu
TEHRAN (IQNA) – Toleo la sita la Mashindano ya Kimataifa ya Qur’ani ya Port Said yameanza Ijumaa katika mji huo wa bandarini Misri.
Habari ID: 3476578    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/02/18

Mashindano ya Qur'ani
TEHRAN (IQNA) – Usajili umefunguliwa kwa ajili ya mashindano ya kitaifa ya Qur’ani Tukufu kwa vijana nchini Brunei, ambayo yataanza mwezi Machi.
Habari ID: 3476563    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/02/14

Mashindano ya Qur'ani ya Iran
TEHRAN (IQNA) - Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran ) Mohammad Baqer Qalibaf ataongoza hafla ya uzinduzi wa duru ya mwisho ya Mashindano ya 39 ya Kimataifa ya Qur'ani Tukufu ya Iran.
Habari ID: 3476562    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/02/14

Mashindano ya Qur'ani ya Iran
TEHRAN (IQNA) - Wataalamu wa Qur'ani kutoka Iran na nchi nyingine nane watahudumu katika jopo la waamuzi katika awamu ya mwisho ya Awamu ya 39 ya Mashindano ya Kimataifa ya Qur'ani Tukufu ya Iran.
Habari ID: 3476554    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/02/13

Mashindano ya Qur'ani
TEHRAN (IQNA) - Washindi wakuu walitangazwa na kutunukiwa tuzo katika hafla ya kufunga Mashindano ya 16 ya Qur'ani Tukufu ya Kituo cha Dar-ul-Quran cha Imam Ali (AS) nchini Iran.
Habari ID: 3476552    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/02/12

Mashindano ya Qur'ani
TEHRAN (IQNA) - Waandaaji wametangaza ratiba ya fainali ya Mashindano ya 39 ya Kimataifa ya Qur'ani Tukufu ya Iran ambayo yanatarajiwa kufanyika baadaye mwezi huu.
Habari ID: 3476538    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/02/09

Mashindano ya Qur'ani Tukufu
TEHRAN (IQNA) - Washindi wa Mashindano ya 29 ya Kimataifa ya Qur'ani Tukufu nchini Misri walitangazwa na jopo la waamuzi.
Habari ID: 3476533    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/02/08

Mashindano ya Qur'ani Misri
TEHRAN (IQNA) - Toleo la 29 la Mashindano ya Kimataifa ya Qur'ani ya Misri yalianza katika sherehe katika mji mkuu Cairo siku ya Jumamosi.
Habari ID: 3476516    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/02/05

Mashindano ya Qur'ani Tukufu kwa njia ya televisheni
TEHRAN (IQNA) - Usajili wa wanaotaka kushiriki toleo la 16 la Mashindano ya Kimataifa ya Qur'ani ya Kanali ya Televisheni ya Al-Kawthar TV utaanza Jumamosi, Februari 4.
Habari ID: 3476495    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/31

Mashindano ya Qur'ani
TEHRAN (IQNA) - Waziri wa Wakfu wa Misri amesema wawakilishi wa nchi 58 watashiriki katika Mashindano ya Kimataifa ya Qur'ani Tukufu ya nchi hiyo.
Habari ID: 3476481    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/29

Mashindano ya Qur'ani Nigeria
TEHRAN (IQNA) - Washindi wakuu wa mashindano ya kitaifa ya Qur'ani Tukufu nchini Nigeria walitunukiwa zawadi katika hafla iliyofanyika Sokoto.
Habari ID: 3476450    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/23

Harakati za Qur'ani Misri
TEHRAN (IQNA) – Matokeo ya hatua ya awali ya mashindano ya nchi nzima ya Qur'ani Tukufu Misri yanayoendeshwa na Al-Azhar Islamic Center yametangazwa.
Habari ID: 3476437    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/20

Mashindano ya Qur'ani
TEHRAN (IQNA) - Jeshi la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ni jeshi linaloitekeleza mafundisho ya Qur'ani Tukufu sambamba na kuitumikia.
Habari ID: 3476432    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/19

Mashindano ya Qur'ani
TEHRAN (IQNA) – Toleo la 13 la mashindano ya kitaifa ya Qur’ani Tukufu nchini Afrika Kusini yalifanyika katika mji mkuu, Pretoria.
Habari ID: 3476429    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/19

Mashindano ya Qur'ani
TEHRAN (IQNA) - Jopo la waamuzi wa Mashindano ya 45 ya Kitaifa ya Qur'ani Tukufu ya Iran limetangaza majina ya washindi katika sehemu ya wanaume na wanawake ya mashindano hayo.
Habari ID: 3476428    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/19

Mashindano ya Qur'ani Tukufu
TEHRAN (IQNA) - Mchakato wa tathmini katika duru ya mchujo ya Mashindano ya 39 ya Kimataifa ya Qur'ani Tukufu ya Iran ilihitimishwa Jumanne.
Habari ID: 3476425    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/18

MASHHAD (IQNA) - Awamu ya awali ya kategoria za wanaume katika Mashindano ya 39 ya Kimataifa ya Qur'ani Tukufu ya Iran ilianza Jumapili mjini Mashhad, kaskazini mashariki mwa Iran
Habari ID: 3476420    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/18

Mashindano ya Qur'ani
TEHRAN (IQNA) - Washindani wanaendelea kuonyesha vipaji vyao katika duru ya mwisho ya toleo la 45 la Mashindano ya Kitaifa ya Qur'ani Tukufu ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
Habari ID: 3476402    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/14