iqna

IQNA

Harakati za Qur'ani
TEHRAN (IQNA) - Washindi wa toleo la 9 la mashindano ya Qur'ani kwa Waislamu barani Ulaya walitunukiwa zawadi katika hafla ya kufunga iliyofanyika Ujerumani.
Habari ID: 3476711    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/03/15

Mashindano ya Qur'ani
TEHRAN (IQNA) – Toleo la 9 la Mashindano ya Qur’ani Tukufu kwa Waislamu wa barani Ulaya yataanza Ijumaa mjini Hamburg, Ujerumani.
Habari ID: 3476681    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/03/09

Mashindano ya Qur'ani
TEHRAN (IQNA) - Mashindano ya 14 ya Kimataifa ya Qur'ani Tukufu ya Jordan kwa wanawake yalianza katika mji mkuu wa nchi hiyo , Amman Jumamosi jioni.
Habari ID: 3476663    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/03/05

Mashindano ya Qur'ani
TEHRAN (IQNA) - Mashindano ya ngazi ya serikali ya Qur'ani Tukufu katika Kota Kinabalu, mji mkuu wa jimbo la Sabah la Malaysia, yalihitimishwa kwa walimu wawili wa shule kuibuka washindi katika sehemu za wanaume na wanawake.
Habari ID: 3476660    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/03/05

Mashindnao ya Qur'ani
TEHRAN (IQNA) – Toleo la 4 la Mashindano ya Kitaifa ya Qur’ani Tukufu nchini Ethiopia yaliandaliwa katika mji mkuu wa Addis Ababa siku ya Jumamosi.
Habari ID: 3476630    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/02/26

Mashindano ya Qur'ani ya Iran
TEHRAN (IQNA) - Mtaalamu wa Qur'ani Tukufu kutoka Kuwait ambaye alikuwa katika jopo la majaji wa kitengo cha wanawake cha Mashindano ya 39 ya Kimataifa ya Qur'ani Tukufu ya Iran amesema mashindano hayo yanaweza kuwa mfano wa kuigwa na nchi zingine ambazo huandaa mashindano ya kimataifa ya Qur’ani Tukufu.
Habari ID: 3476619    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/02/24

Mashindano ya Qur'ani ya Iran
TEHRAN (IQNA) – Hafidh wa Qur’ani Tukufu kutoka Gambia amesifu kiwango kizuri na usawa alioushuhudia katika Mashindano ya 39 la Mashindano ya Kimataifa ya Qur’ani Tukufu ya Iran.
Habari ID: 3476617    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/02/24

TEHRAN (IQNA)- Jumatano kumefanyika sherehe ya kufunga Mashindano ya 39 ya Kimataifa ya Qur'ani Tukufu, ambapo washindi walitangazwa na kutunukiwa tuzo. Sherehe hiyo imehudhuriwa na Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran Sayyed Ebrahim Raisi na halikadhalika Waziri wa Utamaduni na Miongozo ya Kiislamu Mohammad Mehdi Esmaeili, na Waziri wa Elimu Yousef Nouri.
Habari ID: 3476611    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/02/23

Rais wa Iran katika shehre za kufunga Mashindano ya Qur'ani
TEHRAN (IQNA) - Rais wa Iran Ebrahim Raisi wa Jamhuri ya Kiislamu Iran amesema Iran inaweza kuwa mji mkuu wa kukuza utamaduni wa Qur'ani Tukufu duniani.
Habari ID: 3476610    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/02/23

TEHRAN (IQNA) - Siku ya mwisho ya duru ya mwisho ya Mashindano ya 39 ya Kimataifa ya Qur'ani Tukufu ya Iran ilifanyika Jumanne mjini Tehran kwa makundi ya wanawake na wanaume. Sherehe ya kufunga imefanyika leo Februari 22.
Habari ID: 3476608    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/02/22

Mashindano ya Qur'ani
TEHRAN (IQNA) – Hafidh wa Qur'ani Tukufu kutoka Pakistani ambaye anashiriki katika fainali ya Mashindano ya 39 ya Kimataifa ya Qur'ani Tukufu ya Iran amesifu kiwango cha juu cha mashindano hayo.
Habari ID: 3476598    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/02/21

Mashindano ya Qur'ani
TEHRAN (IQNA) – Mashindano ya 21 ya Tuzo ya Qur’ani ya Ras Al Khaimah yamehitimishwa huko Ras Al Khaimah, Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE).
Habari ID: 3476585    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/02/19

Mashindano ya Qur'ani
TEHRAN (IQNA) - Washindi wa Shindano la 18 la Kimataifa la Kuhifadhi Qur'ani Tukufu Algeria wametunukiwa zawadi katika hafla iliyofanyika Jumamosi.
Habari ID: 3476583    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/02/19

Mashindano ya Qur'ani ya Iran
TEHRAN (IQNA) – Mashindano ya 39 ya Kimataifa ya Qur'ani Tukufu ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran yamefunguliwa rasmi Jumamosi Alasiri mjini Tehran.
Habari ID: 3476582    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/02/18

Mashindano ya Qur'ani Tukufu
TEHRAN (IQNA) – Toleo la sita la Mashindano ya Kimataifa ya Qur’ani ya Port Said yameanza Ijumaa katika mji huo wa bandarini Misri.
Habari ID: 3476578    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/02/18

Mashindano ya Qur'ani
TEHRAN (IQNA) – Usajili umefunguliwa kwa ajili ya mashindano ya kitaifa ya Qur’ani Tukufu kwa vijana nchini Brunei, ambayo yataanza mwezi Machi.
Habari ID: 3476563    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/02/14

Mashindano ya Qur'ani ya Iran
TEHRAN (IQNA) - Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran ) Mohammad Baqer Qalibaf ataongoza hafla ya uzinduzi wa duru ya mwisho ya Mashindano ya 39 ya Kimataifa ya Qur'ani Tukufu ya Iran.
Habari ID: 3476562    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/02/14

Mashindano ya Qur'ani ya Iran
TEHRAN (IQNA) - Wataalamu wa Qur'ani kutoka Iran na nchi nyingine nane watahudumu katika jopo la waamuzi katika awamu ya mwisho ya Awamu ya 39 ya Mashindano ya Kimataifa ya Qur'ani Tukufu ya Iran.
Habari ID: 3476554    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/02/13

Mashindano ya Qur'ani
TEHRAN (IQNA) - Washindi wakuu walitangazwa na kutunukiwa tuzo katika hafla ya kufunga Mashindano ya 16 ya Qur'ani Tukufu ya Kituo cha Dar-ul-Quran cha Imam Ali (AS) nchini Iran.
Habari ID: 3476552    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/02/12

Mashindano ya Qur'ani
TEHRAN (IQNA) - Waandaaji wametangaza ratiba ya fainali ya Mashindano ya 39 ya Kimataifa ya Qur'ani Tukufu ya Iran ambayo yanatarajiwa kufanyika baadaye mwezi huu.
Habari ID: 3476538    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/02/09