Mashindano ya Qur'ani
TEHRAN (IQNA) - Jeshi la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ni jeshi linaloitekeleza mafundisho ya Qur'ani Tukufu sambamba na kuitumikia.
Habari ID: 3476432 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/19
Mashindano ya Qur'ani
TEHRAN (IQNA) – Toleo la 13 la mashindano ya kitaifa ya Qur’ani Tukufu nchini Afrika Kusini yalifanyika katika mji mkuu, Pretoria.
Habari ID: 3476429 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/19
Mashindano ya Qur'ani
TEHRAN (IQNA) - Jopo la waamuzi wa Mashindano ya 45 ya Kitaifa ya Qur'ani Tukufu ya Iran limetangaza majina ya washindi katika sehemu ya wanaume na wanawake ya mashindano hayo.
Habari ID: 3476428 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/19
Mashindano ya Qur'ani Tukufu
TEHRAN (IQNA) - Mchakato wa tathmini katika duru ya mchujo ya Mashindano ya 39 ya Kimataifa ya Qur'ani Tukufu ya Iran ilihitimishwa Jumanne.
Habari ID: 3476425 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/18
MASHHAD (IQNA) - Awamu ya awali ya kategoria za wanaume katika Mashindano ya 39 ya Kimataifa ya Qur'ani Tukufu ya Iran ilianza Jumapili mjini Mashhad, kaskazini mashariki mwa Iran
Habari ID: 3476420 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/18
Mashindano ya Qur'ani
TEHRAN (IQNA) - Washindani wanaendelea kuonyesha vipaji vyao katika duru ya mwisho ya toleo la 45 la Mashindano ya Kitaifa ya Qur'ani Tukufu ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
Habari ID: 3476402 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/14
Mashindano ya Qur'ani Tukufu
TEHRAN (IQNA) – Banjul, mji mkuu wa Gambia, umekuwa mwenyeji wa mashindano ya Qur'ani Tukufu yaliyojumuisha kuhifadhi, kusoma Tajweed na Tarteel.
Habari ID: 3476387 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/11
Mashindano ya Qur'ani
TEHRAN (IQNA) - Kamati ya maandalizi ya Mashindano ya 39 ya Kimataifa ya Qur'ani Tukufu ya Iran imetangaza majina ya wataalamu wa Qur'ani watakaohudumu katika majopo ya majaji wa mashindano hayo.
Habari ID: 3476380 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/10
Mashidano ya Qur'ani Tukufu
TEHRAN (IQNA) – Toleo la 23 la Mashindano ya Qur'ani Tukufu ya Sheikha Hind Bint Maktoum yameanza leo katika Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE)
Habari ID: 3476371 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/07
Waislamu Kanada
TEHRAN (IQNA) - Jumuiya ya Waislamu wa Kanada (MAC) itaandaa mashindano yake ya 20 ya Qur'ani Tukufu Januari Mosi 2023.
Habari ID: 3476337 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/12/31
Mashindano ya Qur'ani Misri
TEHRAN (IQNA) – Hafla ilifanyika jimboni Asyut, Misri, ambapo wanafunzi 140 ambao wameshinda mataji katika mashindano ya Qur'ani katika jimbo hilo walitunukiwa zawadi kutokana na mafanikio yao.
Habari ID: 3476336 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/12/31
Mashindano ya Qur'ani
TEHRAN (IQNA) - Waziri wa Wakfu na Masuala ya Kidini wa Oman amewaenzi washindi wa Duru ya 30 ya Mashindano la Sultan Qaboos la Kuhifadhi Qur'ani Tukufu.
Habari ID: 3476315 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/12/27
Mashindano ya Qur'ani
TEHRAN (IQNA) - Iran itashiriki katika mashindano yajayo ya kimataifa ya Qur'ani nchini Jordan na wawakilishi wawili.
Habari ID: 3476306 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/12/26
Mashindano ya Qur'ani ya Iran
TEHRAN (IQNA)- Finali za Mashindano ya 38 ya Kimataifa ya Qur'ani Tukufu Iran zitaanza katika mji mkuu wa Iran, Tehran, mnamo Februari 18, 2023.
Habari ID: 3476285 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/12/22
Harakati za Qur'ani Algeria
TEHRAN (IQNA) - Wizara ya Wakfu na masuala ya Kiislamu ya Algeria imetangaza kuzindua duru ya awali ya mashindano ya kitaifa ya Qur'ani.
Habari ID: 3476218 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/12/08
Mashindano ya Qur'ani
TEHRAN (IQNA) - Duru ya nusu fainali ya mashindano ya nchi nzima ya Qur'ani yaliyoandaliwa na Kituo cha Dar-ul-Quran cha Imam Ali (AS) nchini Iran inaendelea.
Habari ID: 3476201 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/12/05
Mashindano ya Qur'ani
TEHRAN (IQNA) - Rais wa Kyrgyzstan, Sadyr Japarov, amekutana na mwakilishi wa nchi hiyo aliyeibuka mshindi wa mashindano ya hivi karibuni ya kimataifa ya Qur'ani nchini Saudi Arabia.
Habari ID: 3476184 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/12/02
TEHRAN (IQNA) – Duru ya mwisho ya Mashindano ya 25 ya Kitaifa ya Qur’ani nchini Lebanon ilifanyika mjini Beirut Jumapili, Novemba 27.
Habari ID: 3476175 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/11/30
Mashindano ya Qur'ani
TEHRAN (IQNA) – Ahmed Kuzu kutoka Uturuki aliibuka mshindi katika Mashindano ya 20 ya Kimataifa ya Kusoma Qur'ani ya Moscow, nchini Russia
Habari ID: 3476136 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/11/23
Mashindano ya Qur'ani
TEHRAN (IQNA) – –Mashindano ya 20 Kimataifa ya Kusoma Qur'ani ya Moscow yamekamilika katika hafla ya Jumapili usiku katika mji huo mkuu wa Urusi (Russia), ambapo walioshika nafasi za tatu za juu walitangazwa na kutunukiwa zawadi.
Habari ID: 3476126 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/11/21