mashindano ya qurani - Ukurasa 14

IQNA

Mashindano ya Qur'ani
IQNA - Mashindano ya nchi nzima ya Qur'ani yanaendelea nchini Mauritania ambayo yanalenga kuchagua wawakilishi wa nchi hiyo ya Kiafrika kwa ajili ya mashindano yajayo ya kimataifa ya Qur'ani.
Habari ID: 3479381   Tarehe ya kuchapishwa : 2024/09/04

Mashindano ya Qur'ani
IQNA-Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt.Samia Suluhu Hassan, jana Agosti 31, 2024 alishiriki katika hafla ya kufunga Mashindano ya Kimataifa ya Qur’ani Tukufu kwa wanawake na washichana yaliyofanyika jijini Dar es Salaam.
Habari ID: 3479364   Tarehe ya kuchapishwa : 2024/09/01

Mashindano ya Qur'ani
IQNA - Toleo la kwanza la Mashindano ya Kimataifa ya Qur'ani yaliyopewa jina la Tuzo la Qur'ani la Iraq yatafanyika katika mji mkuu wa nchi hiyo ya Kiarabu, Baghdad, mwezi wa Novemba.
Habari ID: 3479355   Tarehe ya kuchapishwa : 2024/08/30

Mashindano ya Qur'ani
IQNA - Wakati wa hafla katika Msikiti Mkuu wa Makkah, washindi wa Mashindano ya 44 ya Kimataifa ya Mfalme Abdulaziz ya Kuhifadhi, Kusoma na Kutafsiri Qur'ani wametangazwa na kutunukiwa zawadi.
Habari ID: 3479318   Tarehe ya kuchapishwa : 2024/08/23

Mashindano ya Qur'ani
IQNA - Sherehe za kufunga Mashindano ya Kimataifa ya 44 ya Mfalme Abdulaziz ya Kuhifadhi, Kusoma na Kutafsiri Qur'ani zitafanyika katika Msikiti Mkuu wa Makka siku ya Jumatano.
Habari ID: 3479307   Tarehe ya kuchapishwa : 2024/08/20

IQNA – Washiriki wa Mashindano ya kimataifa ya Qur'ani ya Saudi Arabia wametembelea Kituo cha Mfalme Fahd cha Uchapishaji wa Qur'ani Tukufu mjini Madina.
Habari ID: 3479306   Tarehe ya kuchapishwa : 2024/08/20

Mashindano ya Qur'ani
IQNA – Sehemu ya mwisho  ya Toleo la 44 la Mashindano ya Kimataifa ya Mfalme Abdulaziz ya Kuhifadhi , Kusoma na Kutafsiri Qur'ani Tukufu huko Makka imekamilika huko Makka.
Habari ID: 3479290   Tarehe ya kuchapishwa : 2024/08/17

Mashindano ya Qur'ani
IQNA - Mashindano ya Qur'ani kwa wanawake yamefanika katika mji wa Dar es Salaam, Tanzania wikiendi iliyopita.
Habari ID: 3479280   Tarehe ya kuchapishwa : 2024/08/14

Mashindano ya Qur'ani
IQNA - Mmoja wa wawakilishi wawili wa Iran katika mashindano ya kimataifa ya Qur'ani Tukufu mjini Makka alitia fora na kuwavutia sana hadhirina wakati aliopandaa jukwaa Jumatatu.
Habari ID: 3479274   Tarehe ya kuchapishwa : 2024/08/13

IQNA – Maafisa wa Makao Makuu ya Uratibu wa Mashindano ya Qur'ani Tukufu ya Iran yalifanya mkutano siku ya Jumamosi mjini Tehran.
Habari ID: 3479268   Tarehe ya kuchapishwa : 2024/08/12

Mashindano ya Qur'ani
IQNA - Jumla ya washiriki 173 kutoka nchi 123 wanashiriki katika toleo la 44 la Mashindano ya Kimataifa ya Mfalme Abdulaziz ya Kuhifadhi , Kusoma na Kutafsiri Qur'ani Tukufu huko Makka.
Habari ID: 3479264   Tarehe ya kuchapishwa : 2024/08/11

Mashindano ya Qur'ani
IQNA – Toleo la 44 la Mashindano ya Kimataifa ya Mfalme Abdulaziz ya Kuhifadhi, Kusoma na Kutafsiri Qur’ani Tukufu yalianza mjini Makka kwa awamu za awali za kufuzu siku ya Ijumaa.
Habari ID: 3479258   Tarehe ya kuchapishwa : 2024/08/10

Mashindano ya Qur'ani
IQNA – Wawakilishi  wawili wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran wamefika Saudi Arabia kushiriki katika toleo la 44 la mashindano ya kimataifa ya Qur'ani ya Saudi Arabia.
Habari ID: 3479252   Tarehe ya kuchapishwa : 2024/08/09

IQNA - Sherehe za kufunga Tuzo ya Qur'ani Tukufu ya BRICS zilifanyika siku ya Ijumaa huko Kazan katika Jamhuri ya Tatarstan nchini Russia huku washindi wa mashindano hayo wakitunukiwa.
Habari ID: 3479195   Tarehe ya kuchapishwa : 2024/07/27

Mashindano ya Qur'ani
IQNA - Sherehe za kufunga Tuzo ya Qur'ani Tukufu ya BRICS zilifanyika siku ya Ijumaa huko Kazan katika Jamhuri ya Tatarstan nchini Russia huku washindi wa mashindano hayo wakitunukiwa.
Habari ID: 3479193   Tarehe ya kuchapishwa : 2024/07/27

Mashindano ya Qur'ani
IQNA - Zahra Ansari ambaye amehifadhi Qur’ani Tukufu kikamilifu ataiwakilisha Iran katika toleo la 8 la Mashindano ya Kimataifa ya Qur'ani ya Sheikha Fatima Bint Mubarak Kwa Wanawake ya Dubai katika Umoja wa Falme za Kiarabu.
Habari ID: 3479186   Tarehe ya kuchapishwa : 2024/07/26

Mashindano ya Qur'ani Tukufu
Wizara ya Wakfu na Masuala ya Kiislamu ya Morocco imetangaza kuwa toleo la 18 la Tuzo la Kimataifa la Mohammed VI la Kuhifadhi Qur'ani, Kutunga Zaburi na Kusoma litafanyika tarehe 3 na 4 Septemba.
Habari ID: 3479144   Tarehe ya kuchapishwa : 2024/07/17

Qur’ani Tukufu
Msafara wa Qur'ani Tukufu wa Arobaini wa Iran utakuwa na wanachama zaidi ya 100, wakiwemo makaris wanaume na wanawake, huku karibu makari na wanaharakati 300 wakuu wakikamilisha kujiandikisha kwa tukio hilo.
Habari ID: 3479117   Tarehe ya kuchapishwa : 2024/07/13

Mashindano ya kimataifa ya Qur'ani
IQNA-Washindi wa mashindano ya 3 ya kimataifa ya Qur'ani ya Karbala walitangazwa na kutunukiwa huko Karbala, Iraq.
Habari ID: 3479080   Tarehe ya kuchapishwa : 2024/07/06

Mashindano ya Qur’ani Tukufu
Mwakilishi wa Iran katika kategoria ya kuhifadhi ya mashindano ya kimataifa ya Qur'ani Tukufu nchini Uturuki ana matumaini ya kufuzu kwa fainali.
Habari ID: 3478989   Tarehe ya kuchapishwa : 2024/06/20