iqna

IQNA

Mashindano ya Qur'ani
IQNA- Fainali za 24 za Mashindano ya Quran Tukufu Afrika yaliyoandaliwa na Taasisi ya Al Hikma Foundation kwa kushirikisha nchi mbalimbali 22 za Afrika na nje ya Afrika yamefanyika kwa mafanikio katika Uwanja wa Benjamin Mkapa, Dar es Salaam, Tanzania Machi 24, 2024.
Habari ID: 3478590    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/03/27

Mashindano ya Qur'ani
IQNA - Mwakilishi wa Iran katika Mashindano ya 20 ya Kimataifa ya Qur'ani ya Tanzania ameshika nafasi ya tatu.
Habari ID: 3478574    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/03/25

Mashindano ya Qur;ani
IQNA - Sherehe za kufunga toleo la 27 la Mashindano ya Kimataifa ya Qur’ani ya Dubai ambayo hujulikana rasmi kama Tuzo la Kimataifa la Qur'ani Tukufu la Dubai (DIHQA) zilifanyika katika mji wa UAE Jumamosi jioni.
Habari ID: 3478565    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/03/24

Mashindano ya Qur'ani
IQNA – Mji wa Hamburg nchini Ujerumani utakuwa mwenyeji wa Awamu ya 10 ya Mashindano ya Qur'ani ya Ulaya mwezi ujao. Kituo cha Dar-ol-Qur'ani al-Kareem cha Ujerumani kinaandaa hafla hiyo ya Qur'ani.
Habari ID: 3478539    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/03/19

Mashindano ya Qur'ani
IQNA-Rais Samia Suluhu Hassan wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ametoa zawadi ya Sh milioni 10 kwa washindi wa kitaifa wa mashindano ya kuhifadhi Quran, akiongezea katika zawadi zilizotolewa na wadau wengine ikiwemo nyumba kwa walioshika nafasi za juu katika mashindano hayo.
Habari ID: 3478534    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/03/18

Mashindano ya Qur'ani
IQNA - Televisheni ya satelaiti ya Al-Thaqalayn imeanza kurusha mashindano yake ya kwanza la kimataifa la usomaji wa Tarteel wa Qur'ani Tukufu.
Habari ID: 3478531    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/03/17

Mashindano ya Qur'ani
IQNA - Duru ya mwisho ya toleo la 27 la Tuzo la Kimataifa la Qur'ani Tukufu la Dubai (DIHQA) inaendelea katika mji huo wa Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) kwa kushirikisha wawakilishi kutoka nchi 70.
Habari ID: 3478517    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/03/15

Mashindano ya Qur'ani
IQNA - Duru ya mwisho ya mashindano ya kimataifa ya Qur'ani kwa jina la "Qari Bora Duniani" itafanyika mwezi Aprili.
Habari ID: 3478422    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/02/27

Mashindano ya Qur'ani
IQNA - Toleo la 18 la mashindano ya kimataifa ya Qur'ani ya Jordan kwa wanawake yalihitimishwa katika hafla ambayo walioshika nafasi za juu walitangazwa na kutunukiwa.
Habari ID: 3478408    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/02/24

Mashindano ya Qur'ani
IQNA – Toleo la 18 la mashindano ya kimataifa ya Qur'ani ya Jordan kwa wanawake, yanayojulikana kama "Al-Hashimiya", yalianza Jumamosi huko Amman.
Habari ID: 3478372    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/02/18

Mashindano ya Qur'ani
TEHRAN (IQNA) - Mashindano ya 18 ya kimataifa ya Qur'ani kwa wanawake ya Jordan yatang'oa nanga katika mji mkuu Amman baadaye leo.
Habari ID: 3478368    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/02/17

Ukumbi wa Picha
IQNA- Sherehe za ufunguzi wa Mashindano ya 40 ya Kimataifa ya Qur'ani ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran zimefanyika leo Alhamisi tarehe 5 Shaaban 1445 Hijria Qamaria sawa na 15 Februari 2024.
Habari ID: 3478358    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/02/15

Mashindano ya Qur'ani
IQNA - Sherehe za kufunga mashindano ya kitaifa ya Qur'ani katika nchini Mali ilifanyika mapema wiki hii.
Habari ID: 3478357    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/02/15

Mashindano ya Kimataifa ya Qur'ani ya Iran
IQNA - Jopo la majaji wa Mashindano ya 40 ya Kimataifa ya Qur'ani ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran linajumuisha wataalamu wa Qur'ani kutoka taifa mwenyeji pamoja na nchi nyingine nane.
Habari ID: 3478354    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/02/15

Mashindano ya Qur'ani ya Iran
IQNA –Raundi ya mwisho ya toleo la 8 la mashindano ya kimataifa ya Qur'ani kwa wanafunzi wa shule za Kiislamu duniani itaanza mjini Tehran siku ya Alhamisi.
Habari ID: 3478351    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/02/14

Mashindano ya Qur'ani
IQNA - Mashindano ya kimataifa ya mabingwa katika kuhifadhi Qur'ani Tukufu na utamaduni wa Kiislamu yamepangwa kufanyika nchini Misri msimu huu wa kiangazi.
Habari ID: 3478346    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/02/13

Mashindano ya Qur'ani
IQNA - Mashindano ya kuhifadhi Qur'ani Tukufu yalifanyika Vijayawada, Jimbo la Andhra Pradesh nchini India.
Habari ID: 3478340    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/02/12

Mashindano ya Qur'ani
Washindi wa Mashindano ya Kimataifa ya Qur’ani Algeria watunukiwa IQNA –Mashindano ya 19 ya Kimataifa ya Qur’ani Tukufu ya Algeria yalihitimishwa siku ya Ijumaa.
Habari ID: 3478330    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/02/10

Mashindano ya Qur'ani
IQNA - Toleo la 7 la Mashindano ya Kimataifa ya Qur'ani Tukufu na Ibtihal ya Port Said nchini Misri yalihitimishwa katika sherehe siku ya Jumanne. Washindi katika kategoria tofauti walitajwa na kutunukiwa katika hafla ya kufunga, tovuti ya Youm7 iliripoti.
Habari ID: 3478320    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/02/07

IQNA - Qari mashuhuri wa Misri Mahmoud Shahat Anwar alikariri aya za 107-110 za Surah Al-Kahf katika sherehe za uzinduzi wa toleo la 7 Mashindano ya Kimataifa ya Qur'ani Tukufu ya Port Said.
Habari ID: 3478308    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/02/05