iqna

IQNA

Mashindano ya Qur'ani
TEHRAN (IQNA)-Washindi wa toleo la 16 la Mashindano ya Kimataifa ya Quran ya Televisheni ya Al-Kawthar TV wametangazwa jana usiku ambapo Qari wa Afghanistan ameibuka mshindi..
Habari ID: 3476898    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/04/21

Mashindano ya Qur'ani
TEHRAN (IQNA) - Toleo la 30 la Mashindano ya Kimataifa ya Qur’ani Tukufu ya Jordan yamemefungwa huko Amman Jumatatu usiku.
Habari ID: 3476886    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/04/18

Mashindano ya Qur'ani
TEHRAN (IQNA) – Yunes Shahmoradi kutoka Iran aliyeshika nafasi ya kwanza katika Toleo la 2 la Mashindano ya Kimataifa ya Qur’ani ya Otr Elkalam nchini Saudi Arabia amesema shindano hilo lilikuwa la kiwango cha juu.
Habari ID: 3476843    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/04/10

Mashidano ya Qur'ani
TEHRAN (IQNA) - Ifuatayo ni qiraa ya Qari Yunes Shahmoradi kutoka Iran ambaye aliibuka mshindi katika toleo la pili la Shindano la Kimataifa la Qur’ani Tukufu la Otr Elkalam nchini Saudi Arabia.
Habari ID: 3476838    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/04/09

Mashindano ya Qur'ani
TEHRAN (IQNA) – Washindi watatu bora wa Tuzo ya 26 ya Kimataifa ya Qur’ani Tukufu ya Dubai waliarifishwa katika hafla iliyofanyika Dubai Jumanne usiku.
Habari ID: 3476821    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/04/06

Mashindano ya Qur'ani
TEHRAN (IQNA) – Maqarii kumi na wawili ambao wamefanikiwa kuingia katika raundi ya nusu fainali ya toleo la 16 la Mashindano ya Kimataifa ya Qur’ani ya Televisheni ya Al-Kawthar.
Habari ID: 3476810    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/04/04

Mashindano ya Qur'ani Tukufu
TEHRAN (IQNA) – Televisheni ya MBC ya Saudi Arabia imeanza kutangaza mfululizo wa pili wa mashindano ya kimataifa ya usomaji wa Qur'ani Tukufu na Adhana.
Habari ID: 3476756    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/03/25

Mashindano ya Qur'ani Tukufu
TEHRAN (IQNA) – Duru ya 16 ya Mashindano ya Kimataifa ya Qur’ani Tukufu ya Kanali ya Televisheni ya Al-Kawthar yameanza leo Jumatano jioni.
Habari ID: 3476742    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/03/22

Harakati za Qur'ani
TEHRAN (IQNA) - Washindi wa toleo la 9 la mashindano ya Qur'ani kwa Waislamu barani Ulaya walitunukiwa zawadi katika hafla ya kufunga iliyofanyika Ujerumani.
Habari ID: 3476711    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/03/15

Mashindano ya Qur'ani
TEHRAN (IQNA) – Toleo la 9 la Mashindano ya Qur’ani Tukufu kwa Waislamu wa barani Ulaya yataanza Ijumaa mjini Hamburg, Ujerumani.
Habari ID: 3476681    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/03/09

Mashindano ya Qur'ani
TEHRAN (IQNA) - Mashindano ya 14 ya Kimataifa ya Qur'ani Tukufu ya Jordan kwa wanawake yalianza katika mji mkuu wa nchi hiyo , Amman Jumamosi jioni.
Habari ID: 3476663    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/03/05

Mashindano ya Qur'ani
TEHRAN (IQNA) - Mashindano ya ngazi ya serikali ya Qur'ani Tukufu katika Kota Kinabalu, mji mkuu wa jimbo la Sabah la Malaysia, yalihitimishwa kwa walimu wawili wa shule kuibuka washindi katika sehemu za wanaume na wanawake.
Habari ID: 3476660    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/03/05

Mashindnao ya Qur'ani
TEHRAN (IQNA) – Toleo la 4 la Mashindano ya Kitaifa ya Qur’ani Tukufu nchini Ethiopia yaliandaliwa katika mji mkuu wa Addis Ababa siku ya Jumamosi.
Habari ID: 3476630    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/02/26

Mashindano ya Qur'ani ya Iran
TEHRAN (IQNA) - Mtaalamu wa Qur'ani Tukufu kutoka Kuwait ambaye alikuwa katika jopo la majaji wa kitengo cha wanawake cha Mashindano ya 39 ya Kimataifa ya Qur'ani Tukufu ya Iran amesema mashindano hayo yanaweza kuwa mfano wa kuigwa na nchi zingine ambazo huandaa mashindano ya kimataifa ya Qur’ani Tukufu.
Habari ID: 3476619    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/02/24

Mashindano ya Qur'ani ya Iran
TEHRAN (IQNA) – Hafidh wa Qur’ani Tukufu kutoka Gambia amesifu kiwango kizuri na usawa alioushuhudia katika Mashindano ya 39 la Mashindano ya Kimataifa ya Qur’ani Tukufu ya Iran.
Habari ID: 3476617    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/02/24

TEHRAN (IQNA)- Jumatano kumefanyika sherehe ya kufunga Mashindano ya 39 ya Kimataifa ya Qur'ani Tukufu, ambapo washindi walitangazwa na kutunukiwa tuzo. Sherehe hiyo imehudhuriwa na Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran Sayyed Ebrahim Raisi na halikadhalika Waziri wa Utamaduni na Miongozo ya Kiislamu Mohammad Mehdi Esmaeili, na Waziri wa Elimu Yousef Nouri.
Habari ID: 3476611    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/02/23

Rais wa Iran katika shehre za kufunga Mashindano ya Qur'ani
TEHRAN (IQNA) - Rais wa Iran Ebrahim Raisi wa Jamhuri ya Kiislamu Iran amesema Iran inaweza kuwa mji mkuu wa kukuza utamaduni wa Qur'ani Tukufu duniani.
Habari ID: 3476610    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/02/23

TEHRAN (IQNA) - Siku ya mwisho ya duru ya mwisho ya Mashindano ya 39 ya Kimataifa ya Qur'ani Tukufu ya Iran ilifanyika Jumanne mjini Tehran kwa makundi ya wanawake na wanaume. Sherehe ya kufunga imefanyika leo Februari 22.
Habari ID: 3476608    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/02/22

Mashindano ya Qur'ani
TEHRAN (IQNA) – Hafidh wa Qur'ani Tukufu kutoka Pakistani ambaye anashiriki katika fainali ya Mashindano ya 39 ya Kimataifa ya Qur'ani Tukufu ya Iran amesifu kiwango cha juu cha mashindano hayo.
Habari ID: 3476598    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/02/21

Mashindano ya Qur'ani
TEHRAN (IQNA) – Mashindano ya 21 ya Tuzo ya Qur’ani ya Ras Al Khaimah yamehitimishwa huko Ras Al Khaimah, Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE).
Habari ID: 3476585    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/02/19