Video ya mashindano kati ya wasomaji wawili wa Iran na Wamisri wakati wa Hijja imetazamwa sana katika anga ya mtandao.
Habari ID: 3477211 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/06/28
Mashindano ya Qur'ani
TEHRAN (IQNA) - Ali Reza Bijani ataiwakilisha Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika Mashindano ya 63 ya Kimataifa ya Qur'ani Tukufu ya Malaysia.
Habari ID: 3477013 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/05/17
Qur'ani Tukufu
TEHRAN (IQNA) - Hafla imefanyika katika mji mkuu wa Ghana wa Accra kuwaenzi washindi wa shindano la kuhifadhi Qur'ani Tukufu.
Habari ID: 3476963 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/05/06
Mashindano ya Qur'ani
TEHRAN (IQNA) –Mashindano ya 43 ya Kimataifa ya Qur’ani ya Saudi Arabia yatafanyika katika mji mtakatifu wa Makka msimu huu wa joto.
Habari ID: 3476955 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/05/04
Mashindano ya Qur'ani Tukufu
TEHRAN (IQNA) - Katika hafla iliyofanyika Lucknow, mji mkuu wa jimbo la Uttar Pradesh nchini India, washindi wa mashindano ya usomaji wa Qur'ani na Adhan wameenziwa.
Habari ID: 3476944 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/05/01
Mashindano ya Qur'ani
TEHRAN (IQNA) – Gereza moja katika mji mkuu wa Algeria, Algiers limewaenzi wafungwa 150 ambao waliweza kuhifadhi Quran Tukufu kikamilifu.
Habari ID: 3476907 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/04/24
Mashindano ya Qur'ani
TEHRAN (IQNA)-Washindi wa toleo la 16 la Mashindano ya Kimataifa ya Quran ya Televisheni ya Al-Kawthar TV wametangazwa jana usiku ambapo Qari wa Afghanistan ameibuka mshindi..
Habari ID: 3476898 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/04/21
Mashindano ya Qur'ani
TEHRAN (IQNA) - Toleo la 30 la Mashindano ya Kimataifa ya Qur’ani Tukufu ya Jordan yamemefungwa huko Amman Jumatatu usiku.
Habari ID: 3476886 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/04/18
Mashindano ya Qur'ani
TEHRAN (IQNA) – Yunes Shahmoradi kutoka Iran aliyeshika nafasi ya kwanza katika Toleo la 2 la Mashindano ya Kimataifa ya Qur’ani ya Otr Elkalam nchini Saudi Arabia amesema shindano hilo lilikuwa la kiwango cha juu.
Habari ID: 3476843 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/04/10
Mashidano ya Qur'ani
TEHRAN (IQNA) - Ifuatayo ni qiraa ya Qari Yunes Shahmoradi kutoka Iran ambaye aliibuka mshindi katika toleo la pili la Shindano la Kimataifa la Qur’ani Tukufu la Otr Elkalam nchini Saudi Arabia.
Habari ID: 3476838 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/04/09
Mashindano ya Qur'ani
TEHRAN (IQNA) – Washindi watatu bora wa Tuzo ya 26 ya Kimataifa ya Qur’ani Tukufu ya Dubai waliarifishwa katika hafla iliyofanyika Dubai Jumanne usiku.
Habari ID: 3476821 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/04/06
Mashindano ya Qur'ani
TEHRAN (IQNA) – Maqarii kumi na wawili ambao wamefanikiwa kuingia katika raundi ya nusu fainali ya toleo la 16 la Mashindano ya Kimataifa ya Qur’ani ya Televisheni ya Al-Kawthar.
Habari ID: 3476810 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/04/04
Mashindano ya Qur'ani Tukufu
TEHRAN (IQNA) – Televisheni ya MBC ya Saudi Arabia imeanza kutangaza mfululizo wa pili wa mashindano ya kimataifa ya usomaji wa Qur'ani Tukufu na Adhana.
Habari ID: 3476756 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/03/25
Mashindano ya Qur'ani Tukufu
TEHRAN (IQNA) – Duru ya 16 ya Mashindano ya Kimataifa ya Qur’ani Tukufu ya Kanali ya Televisheni ya Al-Kawthar yameanza leo Jumatano jioni.
Habari ID: 3476742 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/03/22
Harakati za Qur'ani
TEHRAN (IQNA) - Washindi wa toleo la 9 la mashindano ya Qur'ani kwa Waislamu barani Ulaya walitunukiwa zawadi katika hafla ya kufunga iliyofanyika Ujerumani.
Habari ID: 3476711 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/03/15
Mashindano ya Qur'ani
TEHRAN (IQNA) – Toleo la 9 la Mashindano ya Qur’ani Tukufu kwa Waislamu wa barani Ulaya yataanza Ijumaa mjini Hamburg, Ujerumani.
Habari ID: 3476681 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/03/09
Mashindano ya Qur'ani
TEHRAN (IQNA) - Mashindano ya 14 ya Kimataifa ya Qur'ani Tukufu ya Jordan kwa wanawake yalianza katika mji mkuu wa nchi hiyo , Amman Jumamosi jioni.
Habari ID: 3476663 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/03/05
Mashindano ya Qur'ani
TEHRAN (IQNA) - Mashindano ya ngazi ya serikali ya Qur'ani Tukufu katika Kota Kinabalu, mji mkuu wa jimbo la Sabah la Malaysia, yalihitimishwa kwa walimu wawili wa shule kuibuka washindi katika sehemu za wanaume na wanawake.
Habari ID: 3476660 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/03/05
Mashindnao ya Qur'ani
TEHRAN (IQNA) – Toleo la 4 la Mashindano ya Kitaifa ya Qur’ani Tukufu nchini Ethiopia yaliandaliwa katika mji mkuu wa Addis Ababa siku ya Jumamosi.
Habari ID: 3476630 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/02/26
Mashindano ya Qur'ani ya Iran
TEHRAN (IQNA) - Mtaalamu wa Qur'ani Tukufu kutoka Kuwait ambaye alikuwa katika jopo la majaji wa kitengo cha wanawake cha Mashindano ya 39 ya Kimataifa ya Qur'ani Tukufu ya Iran amesema mashindano hayo yanaweza kuwa mfano wa kuigwa na nchi zingine ambazo huandaa mashindano ya kimataifa ya Qur’ani Tukufu.
Habari ID: 3476619 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/02/24