iqna

IQNA

Mashindano ya Qur'ani
IQNA - Mashindano ya kitaifa ya Qur'ani Tukufu ya Brunei yataanza Jumatano, Januari 17.
Habari ID: 3478200    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/01/16

Mashindano ya Qur'ani
IQNA - Waandaaji wa Awamu ya Tatu ya Mashindano ya Kimataifa ya Qur'ani ya Meshkat wametangaza kanuni na vigezo vya kuwasilisha visomo vya qiraa ya Qur'ani iliyorekodiwa.
Habari ID: 3478196    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/01/14

Mashindano ya Qur'ani Tukufu
IQNA - Usajili wa toleo la 17 la mashindano ya kila mwaka ya kimataifa ya Qur'ani yanayoandaliwa na Televisheni ya Al-Kawthar ulifunguliwa Jumatano iliyopita, sambamba na kumbukumbu ya kuzaliwa kwa Hazrat Zahra (SA).
Habari ID: 3478168    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/01/08

Mashindano ya Qur'ani ya Meshkat
IQNA – Usajili umeanza kwa ajili ya Toleo la Tatu la Mashindano ya Kimataifa ya Qur'ani ya Meshkat, ambayo hufanyika mtandaoni chini ya usimamizi wa Taasisi ya Qur'ani ya Meshkat.
Habari ID: 3478122    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/12/31

Mashindano ya Qur'ani
IQNA - Mashindano ya kila mwaka ya kimataifa ya Qur'ani Tukufu huko Port Said, Misri, yataanza Februari 1, 2024.
Habari ID: 3478121    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/12/31

Mashindano ya Qur'ani ya Iran
IQNA – Toleo la 40 la Mashindano ya Kimataifa ya Qur'ani Tukufu ya Iran, moja ya matukio ya kifahari na bora zaidi ya Qur'ani duniani, lilianza Jumamosi mjini Tehran kwa duru ya awali ya mchujo.
Habari ID: 3478120    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/12/31

Qur'ani Tukufu
IQNA - Ndugu saba katika familia ya Misri wameweza kujifunza Qur'ani Tukufu kikamilifu.
Habari ID: 3478116    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/12/30

Mashindano ya Qur'ani ya Iran
IQNA - Wataalamu kumi na sita mashuhuri wa Qur'ani Tukufu watahudumu katika jopo la majaji wa Mashindano ya 40 ya Kimataifa ya Qur'ani Tukufu ya Iran katika hatua ya awali.
Habari ID: 3478100    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/12/27

Mashindano ya Qur'ani
IQNA – Programu ya kila wiki ya Khatm Qur'an (kusoma Qur'ani Tukufu kuanzia mwanzo hadi mwisho) ilifanyika nchini Misri kwa kushirikisha maqari kutoka nchi mbalimbali.
Habari ID: 3478098    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/12/26

Qur'ani Tukufu
IQNA - Mshindi katika kitengo cha 'Familia ya Qur'ani' ya mashindano ya kimataifa ya Qur'ani ya Misri ametangazwa
Habari ID: 3478089    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/12/25

Mashindano ya Qur'ani
IQNA - Wizara ya Wakfu ya Misri inapanga kuandaa Khatm Qur'an (kusoma Qur'ani Tukufu kuanzia mwanzo hadi mwisho) wiki ijayo.
Habari ID: 3478084    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/12/24

Mashindano ya Qur'ani Tukufu
IQNA - Wawakilishi wa Iran katika mashindano yajayo ya kimataifa ya Qur'ani Tukufu kwa wanafunzi wa shule walitangazwa.
Habari ID: 3478069    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/12/21

Qur'ani Tukufu
IQNA – Idara ya Mfawidhi wa Haram Tukufu ya Imam Hussein (AS) inapanga kuandaa mashindano ya kila mwaka ya kusoma Qur'ani Tukufu.
Habari ID: 3478064    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/12/20

Harakati za Qur'ani Tukufu
IQNA - Wahifadhi na wasomaji Qur'ani kutoka nchi 12 walishiriki katika toleo la mwaka huu la mashindano ya Qur'ani yaliyoandaliwa na Kituo cha Dar-ul-Quran cha Imam Ali (AS) nchini Iran.
Habari ID: 3478045    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/12/16

Mashindano ya Qur'ani Tukufu
IQNA - Waziri wa Wakfu Misri amesema mashindano ya kimataifa ya Qur'ani yatafanyika nchini humo kwa kushirikisha wasomaji na wahifadhi wa Qur'ani Tukufu kutoka nchi 60.
Habari ID: 3478031    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/12/13

Mashindano ya Qur'ani
TEHRAN (IQNA) - Duru ya mwisho ya toleo la 46 la Mashindano ya Kitaifa ya Qur'ani Tukufu ya Iran ilianza katika mji wa kaskazini-magharibi wa Bojnourd siku ya Ijumaa asubuhi.
Habari ID: 3477970    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/12/01

Qari sheikh Amin Abdi, msomaji anayeshiriki kutoka Iran katika mashindano ya usomaji wa Qur’ani Tukufu ya Toleo la 12 la Tuzo ya Kimataifa nchini Kuwait, alifanya kisomo chake katika mashindano hayo.
Habari ID: 3477887    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/11/14

Mashindano ya Qur'ani Tukufu
MOSCOW (IQNA) - Mashindano ya 21 ya Kimataifa ya Qur'ani Tukufu ya Moscow yalimalizika Ijumaa huku mwakilishi wa taifa mwenyeji, yaani Russia, akitwaa tuzo ya kwanza.
Habari ID: 3477874    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/11/11

KUWAIT CITY (IQNA) - Waziri wa Wakfu na masuala ya Kiislamu wa Kuwait amesisitiza haja ya Waislamu kuwaunga mkono watu wa Palestina.
Habari ID: 3477866    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/11/09

KUWAIT CITY (IQNA) – Duru ya 26 ya Mashindano ya Kitaifa ya Kuhifadhi na Kusoma Qur'ani Tukufu nchini Kuwait yalianza katika mji mkuu wa nchi hiyo ya Kiarabu siku ya Jumapili.
Habari ID: 3477849    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/11/06