Mashindano ya Qur'ani Tukufu
IQNA - Waziri wa Wakfu Misri amesema mashindano ya kimataifa ya Qur'ani yatafanyika nchini humo kwa kushirikisha wasomaji na wahifadhi wa Qur'ani Tukufu kutoka nchi 60.
Habari ID: 3478031 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/12/13
Mashindano ya Qur'ani
TEHRAN (IQNA) - Duru ya mwisho ya toleo la 46 la Mashindano ya Kitaifa ya Qur'ani Tukufu ya Iran ilianza katika mji wa kaskazini-magharibi wa Bojnourd siku ya Ijumaa asubuhi.
Habari ID: 3477970 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/12/01
Qari sheikh Amin Abdi, msomaji anayeshiriki kutoka Iran katika mashindano ya usomaji wa Qur’ani Tukufu ya Toleo la 12 la Tuzo ya Kimataifa nchini Kuwait, alifanya kisomo chake katika mashindano hayo.
Habari ID: 3477887 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/11/14
Mashindano ya Qur'ani Tukufu
MOSCOW (IQNA) - Mashindano ya 21 ya Kimataifa ya Qur'ani Tukufu ya Moscow yalimalizika Ijumaa huku mwakilishi wa taifa mwenyeji, yaani Russia, akitwaa tuzo ya kwanza.
Habari ID: 3477874 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/11/11
KUWAIT CITY (IQNA) - Waziri wa Wakfu na masuala ya Kiislamu wa Kuwait amesisitiza haja ya Waislamu kuwaunga mkono watu wa Palestina.
Habari ID: 3477866 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/11/09
KUWAIT CITY (IQNA) – Duru ya 26 ya Mashindano ya Kitaifa ya Kuhifadhi na Kusoma Qur'ani Tukufu nchini Kuwait yalianza katika mji mkuu wa nchi hiyo ya Kiarabu siku ya Jumapili.
Habari ID: 3477849 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/11/06
Mashindano ya Qur'ani Tukufu
BANDAR SERI BEGAWAN (IQNA) - Shindano la Kitaifa la Kusoma Al-Quran la Brunei kwa Watu Wazima litaingia katika hatua ya nusu fainali siku ya Jumatatu.
Habari ID: 3477846 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/11/05
Mashindano ya Qur'ani Tukufu
TEHRAN (IQNA) – Wawakilishi wa Iran wamechukua nafasi kadhaa za juu katika mashindano ya mtandaoni ya Qur’ani Tukufu yaliyoandaliwa na Iraq.
Mashindano hayo yalipewa anuani ya "Walshafi Walwitr" ( Na kwa viwili viwili na kimoja kimoja) ambayo inarejelea aya ya 3 ya Surah Al-Fajr.
Habari ID: 3477839 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/11/04
Mashindano ya Qur'ani
ABU DHABI (IQNA) – Mchakato wa usajili wa Toleo la 24 la Mashindano ya Qur'ani Tukufu la Sheikha Hind Bint Maktoum katika Umoja wa Falme za Kiarabu ulianza Jumatano.
Habari ID: 3477835 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/11/03
Mashindano ya Qur'ani Tukufu
ASTANA (IQNA) - Mwakilishi kutoka Morocco alishinda tuzo ya juu ya Mashindano ya Kwanza ya Kimataifa ya Qur'ani Tukufu ya Kazakhstan.
Habari ID: 3477834 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/11/03
Mashindano ya Qur'ani
ASTANA (IQNA) - Toleo la kwanza la Mashindano ya Kimataifa ya Qur'ani Tukufu nchini Kazakhstan limeanza leo Jumatano asubuhi katika mji mkuu, Astana.
Habari ID: 3477824 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/11/01
Mashindano ya Qur'ani
TEHRAN (IQNA) - Idadi ya nchi zinazotarajiwa kushiriki katika toleo lijalo la Mashindano ya Kimataifa ya Qur'ani Tukufu ya Iran ni zaidi ya 90, imedokezwa.
Habari ID: 3477801 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/10/28
Mashindano ya Qur'ani
DUBAI (IQNA) - Mashindano ya Kimataifa ya Qur'ani ya Dubai ya Sheikha Fatima Bint Mubarak kwa wanawake yalifungwa katika sherehe huko Dubai, UAE.
Habari ID: 3477637 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/09/23
Waislamu Australia
CANBERRA (IQNA) - Mashindano ya Qur'ani yaliyoandaliwa mjini Sydney, Australia, yalihitimishwa katika sherehe ambapo washindi wa kwanza walitunukiwa.
Habari ID: 3477636 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/09/22
Mashindano ya Qur'ani
DUBAI (IQNA) – Toleo la 7 la mashindano ya kimataifa ya Qur’ani ya Sheikha Fatima Bint Mubarak kwa wanawake yalizinduliwa huko Dubai, katika Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE), siku ya Jumamosi.
Habari ID: 3477607 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/09/16
Mashindano ya Qur'ani Tukufu
MAKKA (IQNA)- Toleo la 43 la Mashindano ya Kimataifa ya Qur’ani Tukufu ya Saudi Arabia litaanza leo katika mji mtakatifu wa Makka huku wawakilishi kutoka nchi 117 wakishiriki.
Habari ID: 3477495 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/08/25
Mashindano ya Qur'ani Tukufu
KUALA LUMPUR (IQNA) - Jopo la majaji wa shindano la 63 la kimataifa la Qur'ani la Malaysia lilitangaza washindi wa toleo hili la shindano hilo.
Habari ID: 3477491 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/08/24
Mashindano ya Qur'ani
KUALA LUMPUR (IQNA) – Alireza Bijani, mwakilishi wa Iran katika kategoria ya kisomo ya mashindano ya 63 ya kimataifa ya Qur'ani ya Malaysia, amewavutyia wengi kwa qiraa yake Jumanne usiku.
Habari ID: 3477483 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/08/23
Harakati za Qur'ani Tukufu
KUALA LUMPUR (IQNA) – Raundi ya mwisho ya toleo la 63 la mashindano ya kimataifa ya Qur’ani Tukufu ya Malaysia itaanza wikendi hii.
Habari ID: 3477445 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/08/16
Mashindano ya Qur'ani
MINNESOTA (IQNA) - Msichana Mkenya mwenye umri wa miaka 17 alishinda tuzo ya kifahari ya mashindano ya kimataifa ya Qur'ani Tukufu nchini Marekani.
Habari ID: 3477272 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/07/12