iqna

IQNA

Mashindano ya Qur'ani
IQNA - Jumla ya washiriki 173 kutoka nchi 123 wanashiriki katika toleo la 44 la Mashindano ya Kimataifa ya Mfalme Abdulaziz ya Kuhifadhi , Kusoma na Kutafsiri Qur'ani Tukufu huko Makka.
Habari ID: 3479264    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/08/11

Mashindano ya Qur'ani
IQNA – Toleo la 44 la Mashindano ya Kimataifa ya Mfalme Abdulaziz ya Kuhifadhi, Kusoma na Kutafsiri Qur’ani Tukufu yalianza mjini Makka kwa awamu za awali za kufuzu siku ya Ijumaa.
Habari ID: 3479258    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/08/10

Mashindano ya Qur'ani
IQNA – Wawakilishi  wawili wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran wamefika Saudi Arabia kushiriki katika toleo la 44 la mashindano ya kimataifa ya Qur'ani ya Saudi Arabia.
Habari ID: 3479252    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/08/09

IQNA - Sherehe za kufunga Tuzo ya Qur'ani Tukufu ya BRICS zilifanyika siku ya Ijumaa huko Kazan katika Jamhuri ya Tatarstan nchini Russia huku washindi wa mashindano hayo wakitunukiwa.
Habari ID: 3479195    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/07/27

Mashindano ya Qur'ani
IQNA - Sherehe za kufunga Tuzo ya Qur'ani Tukufu ya BRICS zilifanyika siku ya Ijumaa huko Kazan katika Jamhuri ya Tatarstan nchini Russia huku washindi wa mashindano hayo wakitunukiwa.
Habari ID: 3479193    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/07/27

Mashindano ya Qur'ani
IQNA - Zahra Ansari ambaye amehifadhi Qur’ani Tukufu kikamilifu ataiwakilisha Iran katika toleo la 8 la Mashindano ya Kimataifa ya Qur'ani ya Sheikha Fatima Bint Mubarak Kwa Wanawake ya Dubai katika Umoja wa Falme za Kiarabu.
Habari ID: 3479186    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/07/26

Mashindano ya Qur'ani Tukufu
Wizara ya Wakfu na Masuala ya Kiislamu ya Morocco imetangaza kuwa toleo la 18 la Tuzo la Kimataifa la Mohammed VI la Kuhifadhi Qur'ani, Kutunga Zaburi na Kusoma litafanyika tarehe 3 na 4 Septemba.
Habari ID: 3479144    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/07/17

Qur’ani Tukufu
Msafara wa Qur'ani Tukufu wa Arobaini wa Iran utakuwa na wanachama zaidi ya 100, wakiwemo makaris wanaume na wanawake, huku karibu makari na wanaharakati 300 wakuu wakikamilisha kujiandikisha kwa tukio hilo.
Habari ID: 3479117    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/07/13

Mashindano ya kimataifa ya Qur'ani
IQNA-Washindi wa mashindano ya 3 ya kimataifa ya Qur'ani ya Karbala walitangazwa na kutunukiwa huko Karbala, Iraq.
Habari ID: 3479080    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/07/06

Mashindano ya Qur’ani Tukufu
Mwakilishi wa Iran katika kategoria ya kuhifadhi ya mashindano ya kimataifa ya Qur'ani Tukufu nchini Uturuki ana matumaini ya kufuzu kwa fainali.
Habari ID: 3478989    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/06/20

Diplomasia ya Qur'ani
IQNA - Sherehe za kufunga toleo la 10 la mashindano ya Qur'ani kati ya majeshi ya Iran na Oman zimefanyika huku washindi wakipokea tuzo zao.
Habari ID: 3478945    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/06/07

Mashindano ya Qur'ani
IQNA - Iran itatuma washiriki katika Mashindano ya Kimataifa ya Qur'ani ya Saudi Arabia katika vitendo vya qiraa na hifdhi.
Habari ID: 3478833    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/05/16

Mashindano ya Qur'ani
IQNA - Mashindano ya Nne ya Kimataifa ya Qur'ani ya Bahrain yalihitimishwa Jumatano usiku.
Habari ID: 3478732    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/04/25

Mashindano ya Qur'ani
IQNA - Misri inaandaa mashindano ya kimataifa ya Qur'ani kwa wenye vipaji maalumu lengo likiwa ni  kukuza utamaduni wa Kiislamu.
Habari ID: 3478716    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/04/22

Mashindano ya Qur'ani
IQNA - Mashindano ya kimataifa ya Qur'ani yanafanyika nchini Rwanda leo Jumapili.
Habari ID: 3478709    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/04/21

Mashindano ya Qur'ani
IQNA – Mashindano ya 17 ya Kimataifa ya Qur'ani ya Kanali ya Televisheni ya Al-Kawthar yamemalizika tamati, huku qari wa Iran Ustadh Mostafa Hemmat Qassemi akishinda tuzo ya juu zaidi.
Habari ID: 3478668    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/04/11

Mashindano ya Qur'ani
IQNA - Washindi wa Awamu ya 3 ya Mashindano ya Kimataifa ya Qur'ani ya Meshkat yamalizika, washindi watajwa na kutunukiwa zawadi.
Habari ID: 3478647    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/04/07

Mashindano ya Qur'ani
IQNA – Maqari waliofanikiwa kuingia katika awamu ya nusu fainali ya Mashindano ya 17 ya Kimataifa ya Qur'ani ya Al-Kawthar TV wametangazwa.
Habari ID: 3478646    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/04/07

Ramadhani
IQNA - Washindi wa Awamu ya 30 ya Mashindano ya Kimataifa ya Qur'ani ya Misri wametunukiwa zawadi katika hafla ya Jumamosi.
Habari ID: 3478644    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/04/07

Mashindano ya Qur'ani
IQNA – Haram Tukufu ya Hadhrat Abbas (AS) huko Karbala hivi karibuni ilihitimisha awamu ya kwanza ya Mashindano ya Kimataifa ya Qur’ani yajulikanayo kama Tuzo ya Kimataifa ya Al-Ameed ya Kusoma Qur’ani, ambayo yamefanyika katika mwezi mtukufu wa Ramadhani.
Habari ID: 3478612    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/04/01