Mashindano ya Qur'ani
IQNA - Qari wa Iran Hamid Reza Nasiri amewasili katika mji mkuu wa Malaysia wa Kuala Lumpur kushiriki katika mashindano ya kimataifa ya Qur'ani ya nchi hiyo ya Kusini Mashariki mwa Asia.
Habari ID: 3479565 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/10/09
Mashindano ya Qur'ani
IQNA - Siku ya tatu ya mashindano ya 64 ya kimataifa ya Qur'ani ya Malaysia ilishuhudia washindani tisa katika kitengo cha qiraa wakipanda jukwani katika ukumbi wa Kituo cha Biashara Duniani jijini Kuala Lumpur siku ya Jumatatu.
Habari ID: 3479561 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/10/08
Mashindano ya Qur'ani
IQNA – Mashindano ya 64 wa Kimataifa wa Kusoma na Kuhifadhi Qur'ani wa Malaysia yalifunguliwa rasmi Jumamosi, ambapo yana washiriki 92 kutoka nchi 71.
Habari ID: 3479548 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/10/06
IQNA - Toleo la 64 la Mashindano ya Kimataifa ya Kuhifadhi na Kusoma Qur'ani nchini Malaysia (MTHQA) lilifunguliwa rasmi Kuala Lumpur mnamo Oktoba 5, 2024.
Habari ID: 3479544 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/10/06
Mashindano ya Qur'ani
IQNA – Toleo la 64 la Mashindano ya Kimataifa la Kuhifadhi na Kusoma Qur’ani ya Malaysia (MTHQA) yamefunguliwa rasmi leo usiku huko Kuala Lumpur.
Habari ID: 3479540 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/10/05
Mashindano ya Qur'ani
IQNA - Washindi wa mashindano ya kimataifa ya Qur'ani nchini Zambia walitunukiwa katika sherehe mwishoni mwa juma.
Habari ID: 3479528 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/10/03
Mashindano ya Qur'ani
IQNA –Mashindano ya 5 ya Qur’ani ya Mohammed VI kwa ajili ya Maulamaa wa Kiafrika (wasomi) yamefungwa Fes, Morocco, kwa washindi kutangazwa.
Habari ID: 3479523 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/10/02
Mashindano ya Qur'ani
IQNA – Toleo la 5 la Mashindano ya Mohammed VI ya Qur’ani kwa Maulamaa wa Kiafrika yalianza katika mji wa Fes nchini Morocco siku ya Ijumaa.
Habari ID: 3479510 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/09/29
IQNA - Iran ina washindani wawili katika mashindano ya kimataifa ya Qur'ani ya Croatia mwaka huu.
Habari ID: 3479498 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/09/27
IQNA - Toleo la 30 la Mashindano ya Kimataifa ya Qur'ani ya Croatia yameanza katika mji mkuu, Zagreb, siku ya Alhamisi.
Habari ID: 3479497 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/09/27
Mashindano ya Qur'ani
IQNA - Maelezo ya mashindano yajayo ya kitaifa ya Qur'ani ya Saudi Arabia yalitolewa na Wizara ya Masuala ya Kiislamu, Dawah na Miongozo ya nchi hiyo.
Habari ID: 3479486 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/09/25
Mashindano ya Qur'ani
IQNA - Muda wa mwisho wa usajili wa Toleo la 31 la Mashindano ya Qur'ani na Etrat kwa Vkosi vya Basij vya Iran uliongezwa ambapo zaidi ya nusu milioni tayari wamejiandikisha kwa ajili ya tukio hilo.
Habari ID: 3479433 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/09/14
Mashindano ya Qur'ani
IQNA – Mhifadhi wa Qur’ani kutoka Uswidi ameshika nafasi ya kwanza katika Toleo la 8 la Mashindano ya Kimataifa ya Qur’ani kwa wanawake huko Dubai, Umoja Falme za Kiarabu.
Habari ID: 3479431 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/09/14
Mashindano ya Qur'ani
IQNA - Sherehe ya kutunuku washindi wa toleo la 38 la Mashindano ya Qur’ani na Etrat ya Wanafunzi wa Vyuo Vikuu vya Iran ilifanyika Tabriz siku ya Jumatano.
Habari ID: 3479421 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/09/12
Mashindano ya Qur'ani
IQNA - Zahra Ansari anaiwakilisha Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika Toleo la 8 la Mashindano ya Kimataifa ya Qur'ani ya Sheikha Fatima Bint Mubarak kwa wanawake.
Habari ID: 3479407 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/09/09
Mashindano ya Qur'ani
IQNA - Dubai katika Umoja wa Falme za Kiarabu inaandaa toleo la 8 la Mashindano ya Kimataifa ya Qur'ani ya Sheikha Fatima Bint Mubarak kwa wanawake.
Habari ID: 3479401 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/09/08
Mashindano ya Qur'ani
IQNA - Mashindano ya nchi nzima ya Qur'ani yanaendelea nchini Mauritania ambayo yanalenga kuchagua wawakilishi wa nchi hiyo ya Kiafrika kwa ajili ya mashindano yajayo ya kimataifa ya Qur'ani.
Habari ID: 3479381 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/09/04
Mashindano ya Qur'ani
IQNA-Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt.Samia Suluhu Hassan, jana Agosti 31, 2024 alishiriki katika hafla ya kufunga Mashindano ya Kimataifa ya Qur’ani Tukufu kwa wanawake na washichana yaliyofanyika jijini Dar es Salaam.
Habari ID: 3479364 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/09/01
Mashindano ya Qur'ani
IQNA - Toleo la kwanza la Mashindano ya Kimataifa ya Qur'ani yaliyopewa jina la Tuzo la Qur'ani la Iraq yatafanyika katika mji mkuu wa nchi hiyo ya Kiarabu, Baghdad, mwezi wa Novemba.
Habari ID: 3479355 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/08/30
Mashindano ya Qur'ani
IQNA - Wakati wa hafla katika Msikiti Mkuu wa Makkah, washindi wa Mashindano ya 44 ya Kimataifa ya Mfalme Abdulaziz ya Kuhifadhi, Kusoma na Kutafsiri Qur'ani wametangazwa na kutunukiwa zawadi.
Habari ID: 3479318 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/08/23