iqna

IQNA

Mashindano ya Qur'ani Tukufu
TEHRAN (IQNA) - Washindi wa Mashindano ya 29 ya Kimataifa ya Qur'ani Tukufu nchini Misri walitangazwa na jopo la waamuzi.
Habari ID: 3476533    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/02/08

Mashindano ya Qur'ani Misri
TEHRAN (IQNA) - Toleo la 29 la Mashindano ya Kimataifa ya Qur'ani ya Misri yalianza katika sherehe katika mji mkuu Cairo siku ya Jumamosi.
Habari ID: 3476516    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/02/05

Mashindano ya Qur'ani Tukufu kwa njia ya televisheni
TEHRAN (IQNA) - Usajili wa wanaotaka kushiriki toleo la 16 la Mashindano ya Kimataifa ya Qur'ani ya Kanali ya Televisheni ya Al-Kawthar TV utaanza Jumamosi, Februari 4.
Habari ID: 3476495    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/31

Mashindano ya Qur'ani
TEHRAN (IQNA) - Waziri wa Wakfu wa Misri amesema wawakilishi wa nchi 58 watashiriki katika Mashindano ya Kimataifa ya Qur'ani Tukufu ya nchi hiyo.
Habari ID: 3476481    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/29

Mashindano ya Qur'ani Nigeria
TEHRAN (IQNA) - Washindi wakuu wa mashindano ya kitaifa ya Qur'ani Tukufu nchini Nigeria walitunukiwa zawadi katika hafla iliyofanyika Sokoto.
Habari ID: 3476450    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/23

Harakati za Qur'ani Misri
TEHRAN (IQNA) – Matokeo ya hatua ya awali ya mashindano ya nchi nzima ya Qur'ani Tukufu Misri yanayoendeshwa na Al-Azhar Islamic Center yametangazwa.
Habari ID: 3476437    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/20

Mashindano ya Qur'ani
TEHRAN (IQNA) - Jeshi la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ni jeshi linaloitekeleza mafundisho ya Qur'ani Tukufu sambamba na kuitumikia.
Habari ID: 3476432    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/19

Mashindano ya Qur'ani
TEHRAN (IQNA) – Toleo la 13 la mashindano ya kitaifa ya Qur’ani Tukufu nchini Afrika Kusini yalifanyika katika mji mkuu, Pretoria.
Habari ID: 3476429    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/19

Mashindano ya Qur'ani
TEHRAN (IQNA) - Jopo la waamuzi wa Mashindano ya 45 ya Kitaifa ya Qur'ani Tukufu ya Iran limetangaza majina ya washindi katika sehemu ya wanaume na wanawake ya mashindano hayo.
Habari ID: 3476428    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/19

Mashindano ya Qur'ani Tukufu
TEHRAN (IQNA) - Mchakato wa tathmini katika duru ya mchujo ya Mashindano ya 39 ya Kimataifa ya Qur'ani Tukufu ya Iran ilihitimishwa Jumanne.
Habari ID: 3476425    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/18

MASHHAD (IQNA) - Awamu ya awali ya kategoria za wanaume katika Mashindano ya 39 ya Kimataifa ya Qur'ani Tukufu ya Iran ilianza Jumapili mjini Mashhad, kaskazini mashariki mwa Iran
Habari ID: 3476420    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/18

Mashindano ya Qur'ani
TEHRAN (IQNA) - Washindani wanaendelea kuonyesha vipaji vyao katika duru ya mwisho ya toleo la 45 la Mashindano ya Kitaifa ya Qur'ani Tukufu ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
Habari ID: 3476402    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/14

Mashindano ya Qur'ani Tukufu
TEHRAN (IQNA) – Banjul, mji mkuu wa Gambia, umekuwa mwenyeji wa mashindano ya Qur'ani Tukufu yaliyojumuisha kuhifadhi, kusoma Tajweed na Tarteel.
Habari ID: 3476387    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/11

Mashindano ya Qur'ani
TEHRAN (IQNA) - Kamati ya maandalizi ya Mashindano ya 39 ya Kimataifa ya Qur'ani Tukufu ya Iran imetangaza majina ya wataalamu wa Qur'ani watakaohudumu katika majopo ya majaji wa mashindano hayo.
Habari ID: 3476380    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/10

Mashidano ya Qur'ani Tukufu
TEHRAN (IQNA) – Toleo la 23 la Mashindano ya Qur'ani Tukufu ya Sheikha Hind Bint Maktoum yameanza leo katika Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE)
Habari ID: 3476371    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/07

Waislamu Kanada
TEHRAN (IQNA) - Jumuiya ya Waislamu wa Kanada (MAC) itaandaa mashindano yake ya 20 ya Qur'ani Tukufu Januari Mosi 2023.
Habari ID: 3476337    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/12/31

Mashindano ya Qur'ani Misri
TEHRAN (IQNA) – Hafla ilifanyika jimboni Asyut, Misri, ambapo wanafunzi 140 ambao wameshinda mataji katika mashindano ya Qur'ani katika jimbo hilo walitunukiwa zawadi kutokana na mafanikio yao.
Habari ID: 3476336    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/12/31

Mashindano ya Qur'ani
TEHRAN (IQNA) - Waziri wa Wakfu na Masuala ya Kidini wa Oman amewaenzi washindi wa Duru ya 30 ya Mashindano la Sultan Qaboos la Kuhifadhi Qur'ani Tukufu.
Habari ID: 3476315    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/12/27

Mashindano ya Qur'ani
TEHRAN (IQNA) - Iran itashiriki katika mashindano yajayo ya kimataifa ya Qur'ani nchini Jordan na wawakilishi wawili.
Habari ID: 3476306    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/12/26

Mashindano ya Qur'ani ya Iran
TEHRAN (IQNA)- Finali za Mashindano ya 38 ya Kimataifa ya Qur'ani Tukufu Iran zitaanza katika mji mkuu wa Iran, Tehran, mnamo Februari 18, 2023.
Habari ID: 3476285    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/12/22