iqna

IQNA

Mashindano ya Qur'ani
TEHRAN (IQNA) –Mashindano ya 20 Kimataifa ya Qur'ani ya Moscow yalizinduliwa Ijumaa katika mji mkuu huo wa Urusi (Russia).
Habari ID: 3476115    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/11/19

Mashindano ya Qur'ani
TEHRAN (IQNA) – Mashindano ya kuhifadhi Qur’ani yamezivutia familia nyingi huko Al-Quds (Jerusalem), katika ardhi ya Palestina inayokaliwa kwa mabavu.
Habari ID: 3476102    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/11/17

Shughuli za Qur'ani
TEHRAN (IQNA) – Awamu ya Sita ya Mashindano ya Qur'ani Tukufu na Adhana kwa Waislamu wa Kaskazini mwa Ulaya itafanyika Februari.
Habari ID: 3476062    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/11/09

Mashindano ya Qur'ani
TEHRAN (IQNA) - Waziri wa Wakfu wa Misri, Sheikh Mohamed Mukhtar Gomaa amesema Duru ya 29 ya Mashindano ya Kimataifa ya Qur'ani ya nchi hiyo limepewa jina la Qari bingwamarehemu Sheikh Mustafa Ismail.
Habari ID: 3476009    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/10/30

Mashindano ya Qur'ani
TEHRAN (IQNA) – Wanaotaka kushiriki katika Mashindano ya Qur’ani Tukufu ya Sheikha Hind Bint Maktoum ya Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) wanatakiwa kujisajili kuanzia Novemba 1.
Habari ID: 3476003    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/10/29

Mashindano ya Qur'ani ya Iran
TEHRAN (IQNA) - Ukumbi wa Kimataifa wa Tehran utakuwa mwenyeji wa toleo lijalo la Mashindano ya Kimataifa ya Qur'ani Tukufu ya Iran.
Habari ID: 3475991    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/10/26

Mashindano ya Qur'ani
KUALA LUMPUR (IQNA) - Washindi wakuu wa Mashidano ya 62 ya Kimataifa ya Qur'ani Tukufu ya Malaysia walitangazwa na kutunukiwa zawad katika hafla ya kufunga hapa Jumatatu.
Habari ID: 3475987    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/10/25

Mashindano ya Qur'ani Iran
TEHRAN (IQNA) - Mialiko imetumwa kwa zaidi ya nchi 120 kwa ajili ya kushiriki katika toleo lijalo la Mashindano ya Kimataifa ya Qur'ani Tukufu ya Iran, afisa mmoja alisema.
Habari ID: 3475981    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/10/24

Mashindano ya Qur'ani
TEHRAN (IQNA) - Shirika la shule za Kituo cha Kiislamu cha Al-Azhar nchini Misri limetangaza kuanza kwa mchakato wa usajili kwa wale walio tayari kushiriki katika mashindano ya kila mwaka ya Qur’ani ya kituo hicho.
Habari ID: 3475948    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/10/18

Mashindano ya Qur'ani
TEHRAN (IQNA) - Wawakilishi kutoka nchi 30 wanatazamiwa kushiriki katika mashindano ya kimataifa ya Qur'ani nchini Ujerumani mwezi Novemba.
Habari ID: 3475943    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/10/17

Mashindano ya Qur'ani
TEHRAN (IQNA) – Zaidi ya washiriki 500 waliohifadhi Qur’ani Tukufu wameshiriki katika mashindano ya kila mwaka ya Qur’ani yanayoandaliwa na Vituo vya Kuhifadhi Qur’ani Tukufu vya Maktoum huko Dubai, Umoja wa Falme za Kiarabu.
Habari ID: 3475941    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/10/17

Mashindano ya Qur'ani Tukufu
TEHRAN (IQNA) - Katika hafla ya Ijumaa, washindi wa toleo la 2 la mashindano ya kimataifa ya Qur'ani ya Meshkat walitangazwa.
Habari ID: 3475932    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/10/15

Mashindano ya Qur'ani
TEHRAN (IQNA) – Mashindano ya Duru ya Sita ya Tuzo ya Kimataifa ya Qur’ani ya Sheikha Fatima Bint Mubarak kwa wanawake yalihitimishwa huko Dubai, UAE.
Habari ID: 3475888    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/10/06

Mashindano ya Qur'ani
TEHRAN (IQNA)- Hafla ya kufunga Mashindano ya Kimataifa ya Qur'ani ya Uturuki ilifanyika Jumatano usiku katika mji mkuu wa nchi hiyo, Ankara.
Habari ID: 3475887    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/10/06

Mashindano ya Qur'ani
TEHRAN (IQNA) – Toleo la 6 la Mashindano ya Kimataifa la ya Qur’ani ya Sheikha Fatima Bint Mubarak kwa wanawake yanaendelea huko Dubai, nchini UAE.
Habari ID: 3475874    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/10/03

Mashindano ya Qur'ani
TEHRAN (IQNA) – Toleo la 8 la mashindano ya kimataifa ya Qur’ani ya Uturuki yanaendelea kwa kushirikisha wawakilishi kutoka nchi 49.
Habari ID: 3475868    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/10/02

Mashindano ya Qur'ani
TEHRAN (IQNA) –Mashindano ya 16 ya Kimataifa ya Qur’ani Tukufu ya Morocco yalianza Jumanne na kumalizika leo katika mji wa Casablanca magharibi mwa nchi hiyo.
Habari ID: 3475850    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/28

Mashindano ya Qur'ani Tukufu
TEHRAN (IQNA) - Waandaaji wa Mashindano ya 42 ya Kimataifa ya Qur’ani Tukufu ya Mfalme Abdul Aziz huko Makka, Saudi Arabia wametangazwa na kutunukiwa zawadi.
Habari ID: 3475843    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/26

Mashindano ya Qur'ani
TEHRAN (IQNA) - Mwakilishi wa Iran katika Mashindano ya 28 ya Kimataifa ya Qur'ani Tukufu ya Croatia alitwaa tuzo ya juu katika kategoria ya qiraa au kisomo.
Habari ID: 3475838    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/25

Mashindano ya Qur'ani
TEHRAN (IQNA) – Toleo la 36 la mashindano ya kila mwaka ya Qur’ani lilizinduliwa katika sherehe katika mji wa Jos katikati mwa Nigeria.
Habari ID: 3475814    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/20