TEHRAN (IQNA) - Mashindano ya Qur'ani ya wanafunzi wa shule na vyuo vikuu vya Uganda yamemalizika kwa kuzawadiwa washindi.
Habari ID: 3475223 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/05/08
TEHRAN (IQNA)- Mashindano ya kuhifadhi Qur'ani Tukufu yamefanyika nchini Ghana ambapo yamewashirikisha wanafunzi 60 wa vyuo vikuu.
Habari ID: 3475188 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/04/30
TEHRAN (IQNA)- Mashindano ya Qur’ani Tukufu na Adhana yajulikanayo kama Otr Elkalam ya Saudi Arabia yamemalizika katika mji wa Jeddah nchini humo.
Habari ID: 3475152 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/04/21
TEHRAN (IQNA)- Qarii wa Qur'ani Tukufu kutoka Iran Sayyed Jassem Mousavi amefika katika fainali ya mashindano ya kimataifa ya Qur'ani nchini Saudi Arabia.
Habari ID: 3475147 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/04/20
TEHRAN (IQNA)- Mufti wa Tanzania, Sheikh Abubakar bin Zuber, amesema kitabu cha Qur'ani Tukufu ndio kitabu pekee duniani chenye kuhifadhika tofauti na vitabu vingine vyote.
Habari ID: 3475145 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/04/19
TEHRAN (IQNA)- TEHRAN (IQNA)- Wizara ya Wakfu na Masuala ya Kidini Algeria imetangaza kuwa fainali ya Mashindano ya Kitaifa ya Qur'ani nchini humo itafanyika kunazia tarehe 15 ya Mwezi Mtukufu wa Ramadhani.
Habari ID: 3475125 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/04/14
TEHRAN (IQNA)- Raundi ya kwanza ya Mashindano ya 45 ya Kitaifa ya Qur'ani Tukufu ya Iran imepengwa kufanyika katika miezi ya Juni na Julai.
Habari ID: 3475111 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/04/11
TEHRAN (IQNA) – Mashindano maalumu ya Qur’ani Tukufu na adhana yanaendelea katika mji wa Jeddah, Saudi Arabia ambapo zawadi zenye thamani ya dola milioni 3.2 zitatunukiwa washindi.
Habari ID: 3475099 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/04/08
TEHRAN (IQNA) - Katika taarifa yake, jopo la majaji limepongeza kiwango cha hali ya juu katika mashindano ya kimataifa ya Qur'ani ya mwaka huu nchini Iran.
Habari ID: 3475014 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/03/06
Waziri wa Utamaduni wa Iran
TEHRAN (IQNA) - Waziri wa Utamaduni na Miongozo ya Kiislamu wa Iran aliutaja ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya mwaka 1979 nchini Iran kuwa ni dhihirisho la utimilifu wa mafundisho ya Qur'ani.
Habari ID: 3475013 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/03/06
Sherehe za kufunga Mashindano ya 38 ya Kimataifa ya Qur'ani Tukufu ya Iran zimefanyika Jumamosi mjini Tehran ambapo walioshinda wametunukiwa zawadi
Habari ID: 3475012 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/03/06
TEHRAN (IQNA)- Mashindano ya Kimataifa ya Qur’ani ya Iran yamemalizika Jumamosi jioni mjini Tehran huku miongoni mwa washindi wakiwa ni wawakilishi wa Kenya na Tanzania.
Habari ID: 3475011 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/03/05
TEHRAN (IQNA) - Qari wa Qur'ani Tukufu wa Iran anayetambulika kimataifa alisisitiza umuhimu wa mashindano ya kimataifa ya Qur'ani ya Iran katika kukabiliana na propaganda dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
Habari ID: 3475008 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/03/05
TEHRAN (IQNA)- Mtaalamu wa masuala ya Qur'ani kutoka Morocco amepongeza utaratibu bora katika mashindano ya kimataifa ya Qur'ani ya Iran mwaka huu.
Habari ID: 3475007 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/03/05
TEHRAN (IQNA) – Mtaalamu wa Qur'ani Tukufu wa Jordan ameipongeza Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kwa kutositisha mashindano yake ya kimataifa ya Qur'ani pamoja na kuwepo janga la corona.
Habari ID: 3475006 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/03/04
TEHRAN (IQNA) – Mashindano ya 38 ya Kimataifa ya Qur’ani Tukufu ya Iran yanaendelea huku baadhi ya wanaoshindana wakishiriki ana kwa ana katika ukumbi na wengine wakishiriki kwa njia ya intaneti.
Habari ID: 3474999 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/03/03
TEHRAN (IQNA)- Hatua ya mwisho ya mashindano ya 5 ya Qur'ani ya Katara ya Qatar itafanyika katika mwezi mtukufu wa Ramadhani (Aprili).
Habari ID: 3474998 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/03/02
TEHRAN (IQNA)- Mashindano ya ya kila mwaka ya Qur'ani Tukufu na Hadithi ya Chuo Kikuu cha Kimataifa cha Al Mustafa ni tukio kubwa zaidi la Qur'ani Tukufu na Hadithi Duniani.
Habari ID: 3474996 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/03/02
TEHRAN (IQNA)- Fainali ya Mashindano ya 38 ya Kimataifa ya Qur’ani Tukufu ya Iran imeanza mjini Tehran siku ya Jumatatu usiku.
Habari ID: 3474992 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/03/01
TEHRAN (IQNA) – Washindi wa Mashindano ya Kimataifa ya Qur’ani ya Meshkat wametangazwa baada ya klipu zao kusikilizwa na jopo la majaji.
Habari ID: 3474985 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/02/28