iqna

IQNA

Mashindano ya Qur'ani
TEHRAN (IQNA)- Mashindano ya kila mwaka ya Qur'ani Tukufu na Sunnah ya Mtume Muhammad SAW ya Afrika Magharibi yatafanyika nchini Mauritania.
Habari ID: 3475358    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/06/10

Mashindano ya Qur'ani
TEHRAN (IQNA)- Makala ya 4 ya Mashindano ya Kimataifa ya Qur'ani ya Meshkat yanatarajiwa kufanyika nchini Iran katika miezi ijayo.
Habari ID: 3475352    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/06/08

TEHRAN (IQNA) - Wizara ya Awqaf ya Misri imetangaza tuzo na masharti kwa washiriki wa Duru ya 29 ya Mashindano ya Kimataifa ya Qur'ani ya nchi hiyo.
Habari ID: 3475337    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/06/05

TEHRAN (IQNA) - Baada ya miaka kadhaa ya kusimamishwa kwa sababu ya vita vya wenyewe kwa wenyewe, mashindano ya kimataifa ya Quran ya Libya yatafanyika tena mwaka huu.
Habari ID: 3475312    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/05/29

TEHRAN (IQNA)- Mahmoud Khaled Suwaid, mwanafunzi katika Chuo Kikuu cha Misri cha Al-Manofiyeh nchini, alishinda nafasi ya pili katika Mashindano ya Qur’ani yaliyofanyika mjini Kazan, nchini Russia.
Habari ID: 3475311    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/05/29

TEHRAN (IQNA)- Mashindano ya Qur’ani kupitia mitandao ya kijamii yamefanyika nchini Tanzania kwa himya ya Kituo cha Utamaduni cha Iran mjini Dar es Salaam ambapo washindi wametunukiwa zawadi.
Habari ID: 3475231    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/05/10

TEHRAN (IQNA) - Mashindano ya Qur'ani ya wanafunzi wa shule na vyuo vikuu vya Uganda yamemalizika kwa kuzawadiwa washindi.
Habari ID: 3475223    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/05/08

TEHRAN (IQNA)- Mashindano ya kuhifadhi Qur'ani Tukufu yamefanyika nchini Ghana ambapo yamewashirikisha wanafunzi 60 wa vyuo vikuu.
Habari ID: 3475188    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/04/30

TEHRAN (IQNA)- Mashindano ya Qur’ani Tukufu na Adhana yajulikanayo kama Otr Elkalam ya Saudi Arabia yamemalizika katika mji wa Jeddah nchini humo.
Habari ID: 3475152    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/04/21

TEHRAN (IQNA)- Qarii wa Qur'ani Tukufu kutoka Iran Sayyed Jassem Mousavi amefika katika fainali ya mashindano ya kimataifa ya Qur'ani nchini Saudi Arabia.
Habari ID: 3475147    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/04/20

TEHRAN (IQNA)- Mufti wa Tanzania, Sheikh Abubakar bin Zuber, amesema kitabu cha Qur'ani Tukufu ndio kitabu pekee duniani chenye kuhifadhika tofauti na vitabu vingine vyote.
Habari ID: 3475145    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/04/19

TEHRAN (IQNA)- TEHRAN (IQNA)- Wizara ya Wakfu na Masuala ya Kidini Algeria imetangaza kuwa fainali ya Mashindano ya Kitaifa ya Qur'ani nchini humo itafanyika kunazia tarehe 15 ya Mwezi Mtukufu wa Ramadhani.
Habari ID: 3475125    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/04/14

TEHRAN (IQNA)- Raundi ya kwanza ya Mashindano ya 45 ya Kitaifa ya Qur'ani Tukufu ya Iran imepengwa kufanyika katika miezi ya Juni na Julai.
Habari ID: 3475111    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/04/11

TEHRAN (IQNA) – Mashindano maalumu ya Qur’ani Tukufu na adhana yanaendelea katika mji wa Jeddah, Saudi Arabia ambapo zawadi zenye thamani ya dola milioni 3.2 zitatunukiwa washindi.
Habari ID: 3475099    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/04/08

TEHRAN (IQNA) - Katika taarifa yake, jopo la majaji limepongeza kiwango cha hali ya juu katika mashindano ya kimataifa ya Qur'ani ya mwaka huu nchini Iran.
Habari ID: 3475014    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/03/06

Waziri wa Utamaduni wa Iran
TEHRAN (IQNA) - Waziri wa Utamaduni na Miongozo ya Kiislamu wa Iran aliutaja ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya mwaka 1979 nchini Iran kuwa ni dhihirisho la utimilifu wa mafundisho ya Qur'ani.
Habari ID: 3475013    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/03/06

Sherehe za kufunga Mashindano ya 38 ya Kimataifa ya Qur'ani Tukufu ya Iran zimefanyika Jumamosi mjini Tehran ambapo walioshinda wametunukiwa zawadi
Habari ID: 3475012    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/03/06

TEHRAN (IQNA)- Mashindano ya Kimataifa ya Qur’ani ya Iran yamemalizika Jumamosi jioni mjini Tehran huku miongoni mwa washindi wakiwa ni wawakilishi wa Kenya na Tanzania.
Habari ID: 3475011    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/03/05

TEHRAN (IQNA) - Qari wa Qur'ani Tukufu wa Iran anayetambulika kimataifa alisisitiza umuhimu wa mashindano ya kimataifa ya Qur'ani ya Iran katika kukabiliana na propaganda dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
Habari ID: 3475008    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/03/05

TEHRAN (IQNA)- Mtaalamu wa masuala ya Qur'ani kutoka Morocco amepongeza utaratibu bora katika mashindano ya kimataifa ya Qur'ani ya Iran mwaka huu.
Habari ID: 3475007    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/03/05