TEHRAN (IQNA)-Mashindano ya 34 Kimataifa ya Qur'ani ya Iran yamemalizika huku Ustadh Haitham Sagar Ahmad wa Kenya akishika nafasi ya nne katika kuhifadhi Qur'ani kikamilfu.
Habari ID: 3470952 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/04/26
Mtaalamu wa Qur'ani kutoka Algeria
TEHRAN (IQNA)-Mtaalamu wa masuala ya Qur'ani kutoka Algeria amesema mashindano ya kimataifa ya Qur'ani ya Iran mwaka huu ni ya kipekee na ya aina yake duniani.
Habari ID: 3470949 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/04/24
TEHRAN (IQNA)-Mkutano wa 10 wa Kimataifa wa Masomo ya Qur’ani unafanyika leo Jumatatu nchini Iran katika mji mtakatifu wa Qum, kusini mwa Tehran.
Habari ID: 3470948 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/04/24
TEHRAN (IQNA)-Mashindano ya 34 ya Kimataifa ya Qur'ani nchini Iran yanapatikana moja kwa moja au live kwa njia ya mtandao wa kijamii wa Instagram na kupitia televisheni ya qurantv.ir/live.
Habari ID: 3470947 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/04/23
TEHRAN (IQNA)-Qarii mtajika na mtaalamu wa Qur'ani kutoka Misri amesema kila mshiriki katika mashindano ya Qur'ani ni mshindi.
Habari ID: 3470946 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/04/22
TEHRAN (IQNA) –Raia wa Kenya amefika fainali za Mashindano ya 34 ya Kimataifa ya Kuhifadhi Qur'ani Tukufu yanayofanyika nchini Iran.
Habari ID: 3470945 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/04/22
TEHRAN (IQNA)-Mashindano ya 34 ya Kimataifa ya Qur'ani ya Iran yana washiriki kutoka Tanzania, Malawi na Burundi wamewasili Tehran kuwakilisha nchi zao katika mashindano hayo.
Habari ID: 3470942 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/04/20
TEHRAN (IQNA)-Mashindano ya 34 ya Kimataifa ya Qur’ani Tukufu ya Iran yamefunguliwa rasmi Jumatano hii katika Ukumbi wa Sala wa Imam Khomeini MA mjini Tehran.
Habari ID: 3470941 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/04/19
TEHRAN (IQNA)-Mashindano ya kitaifa na kimataifa ya Qur'ani ni kati ya mafanikio makubwa ya mfumo wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na yanalenga kuleta umoja wa Waislamu.
Habari ID: 3470936 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/04/16
TEHRAN (IQNA)-Mashindano ya 34 ya Kimataifa ya Qur'ani Tukufu ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran yamepangwa kuanza tarehe 19 Aprili mjini Tehran.
Habari ID: 3470932 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/04/12
TEHRAN (IQNA)-Washiriki zaidi ya 280 kutoka nchi 80 wanatazamiwa kushiriki katika mashindano kadhaa ya kimataifa ya Qur’ani ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran mwaka huu.
Habari ID: 3470920 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/04/06
TEHRAN(IQNA)-Kitengo cha wanawake cha Mashindano ya Kimataifa ya Qur'ani ya Jordan yamepangwa kuanza Jumatano Machi 29.
Habari ID: 3470910 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/03/27
TEHRAN (IQNA)-Wizara ya Awqaf Misri imesema nchi 40 zimetangaza kuwa tayari kushiriki katika mashindano yajayo ya kimataifa ya Qur’ani Tukufu nchini humo.
Habari ID: 3470904 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/03/22
IQNA: Mashindano ya 28 ya Qur'ani na Hadithi kwa ajili ya vijana wa nchi za Baraza la Ushirikiano la Ghuba ya Uajemi yameanza Februari 26 mjini Muscat, Oman.
Habari ID: 3470869 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/02/27
IQNA-Iran imechagua wanawake watakaoiwakilisha nchi hii katika mashindano ya kimataifa ya Qur'ani yatakayofanyika maeneo mbali mbali duniani mwaka huu.
Habari ID: 3470863 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/02/22
IQNA: Iran imealika nchi 70 kushiriki katika Mashindano ya Tano ya Kimataifa ya Qur'ani Tukufu ya wanafunzi wa shule.
Habari ID: 3470846 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/02/12
IQNA: Mashindano ya Qur'ani yamefanyika nchini Tanzania wiki hii kuchagua wawakilishi wa nchi hiyo ya Afrika Mashariki katika mashindano yajayo ya kimataifa katika Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
Habari ID: 3470845 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/02/12
IQNA-Mashindano ya Qur'ani ya Waislamu wa Japan yamefanyika katika mji mkuu wa nchi hiyo, Tokyo.
Habari ID: 3470778 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/01/03
IQNA-Hafidh wa Qur'ani Tukufu kutoka nchini Kuwait ametangazwa mshindi wa mashindano ya kimataifa ya Qur'ani yaliyopewa jina la 'Bingwa wa Mabingwa' nchini Qatar.
Habari ID: 3470723 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/12/08
IQNA-Mashindano ya kuhifadhi Qur'ani yamefanyika mapema wiki hii visiwani Zanzibar nchini Tanzania.
Habari ID: 3470712 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/12/03