maonyesho ya qurani - Ukurasa 3

IQNA

Maonyesho ya Qur'ani
TEHRAN (IQNA) – Mji mtakatifu wa Karbala nchini Iraq utakuwa mwenyeji wa awamu ya pili ya Maonyesho ya kimataifa ya Qur’ani Tukufu ndani ya wiki chache kuanzia sasa.
Habari ID: 3476364    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/06

Maonyesho ya Qur'ani Tukufu
TEHRAN (IQNA) - Kikao cha baraza la kutunga sera za Maonyesho ya 30 ya Kimataifa ya Qur'ani Tehran kilifanya mkutano mapema wiki hii, afisa mmoja alisema.
Habari ID: 3476356    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/04

Maonyesho ya Qur'ani Tukufu
TEHRAN (IQNA) - Sekretarieti ya Maonyesho ya Kimataifa ya Qur'ani Tukufu ya Tehran imesema iko tayari kupokea mawazo na mapendekezo mapya kwa ajili ya kuandaa vyema tukio la kimataifa.
Habari ID: 3476231    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/12/11

Maonyesho ya Qur'ani
TEHRAN (IQNA) – Jumba la Utamaduni la Iran mjini Lahore, Pakistani, limeandaa maonyesho kadhaa katika Tamasha la hivi karibuni la Sanaa ya Kiislamu, ikiwa ni pamoja na nakala ya Qur’ani Tukufu iliyonasibishwa kwa Imam Ali (AS).
Habari ID: 3476145    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/11/25

Shughuli za Qur'ani
TEHRAN (IQNA) – Tarjuma za Qur’ani Tukufu katika lugha 76 ni miongoni mwa vitabu vilivyowasilishwa kwenye Maonyesho ya 41 ya Kimataifa ya Vitabu ya Sharjah.
Habari ID: 3476042    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/11/06

Maoneyesho ya Qur'ani Tukufu
TEHRAN (IQNA) – Tarjuma za Qur’ani Tukufu katika lugha 76 ni miongoni mwa vitabu vilivyoonyeshwa katika maonyesho ya kimataifa ya vitabu yanayoendelea huko Riyadh, Saudi Arabia.
Habari ID: 3475915    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/10/11

Utamaduni wa Kiislamu
TEHRAN (IQNA) – Watanzania wamepokea kwa furaha maonyesho ya uchapishaji wa Qur’ani Tukufu na Hadithi yaliyofanyika jijini Dar Es Salaam.
Habari ID: 3475620    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/08/14

TEHRAN (IQNA) – Afisa wa Wizara ya Utamaduni ya Iran anasema malengo ya Maonyesho ya 29 ya Kimataifa ya Qur'ani ya Tehran yamefikiwa kwa usaidizi wa watu na mashirika.
Habari ID: 3475192    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/05/01

TEHRAN (IQNA)- Maonyesho ya 29 ya Kimataifa ya Qur'ani Tukufu ya Tehran yamefunguliwa Jumamosi jioni katika sherehe iliyohudhuriwa na maafisa wa ngazi za juu serikalini.
Habari ID: 3475133    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/04/17

TEHRAN (IQNA)- Maonyesho ya Kimataifa ya Qur'ani ya Iran ni makubwa zaidi ya aina yake katika Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
Habari ID: 3475119    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/04/12

TEHRAN (IQNA)- Duru ya 29 ya Maonyesho ya Kimataifa ya Qur’ani Tukufu ya Tehran imepenga kufanyika katika Ukumbi wa Sala (Musalla) wa Imam Khomeini (RA).
Habari ID: 3475036    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/03/13

TEHRAN (IQNA)- Maonyesho kuhusu uchapishaji Qur'ani Tukufu yamezinduliwa Riyadh, mji mkuu wa Saudi Arabia.
Habari ID: 3474815    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/01/16

TEHRAN (IQNA) Maoneysho ya kwanza ya Qur’ani kufanyika kwa njia ya intaneti katika Jamhuri ya Kiislamu ya Iran yamefunguliwa Jumamosi.
Habari ID: 3473869    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/05/02

TEHRAN (IQNA) Kituo cha Utamaduni cha Jamhuri ya Kiislamu ya Iran nchini Uganda kimeandaa maonyesho ya Qur’ani katika mji wa Kampala kwa mnasaba wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhani.
Habari ID: 3473864    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/04/30

TEHRAN (IQNA)- Maoneysho ya kwanza ya kimatiafa ya Qur’ani Tukufu ya Iran kwa njia ya intaneti yamepangwa kuanzia Mei 1.
Habari ID: 3473848    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/04/25

TEHRAN (IQNA)- Maktaba ya umma wa Kalba katika eneo la Sharjah nchini Umoja wa Falme za Kiarabu imeandaa maonyesho ya Misahafu ya kale.
Habari ID: 3473845    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/04/24

TEHRAN (IQNA)-Maonyesho ya Kimataifa ya Qur'ani ya Iran mwaka huu yatafanyika kwa njia ya intaneti kuanzia Mei 1 hadi 10.
Habari ID: 3473801    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/04/11

TEHRAN (IQNA) – Duru ya 28 ya Maonyesho ya Kimataifa ya Qur’ani ya Tehran itafanyika kwa njia ya intaneti.
Habari ID: 3472748    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/05/09

TEHRAN (IQNA) - Maonyesho ya 28 ya Kimataifa ya Qur'ani Tukufu ya Tehran ambayo yalikuwa yafanyike katika Mwezi Mtukufu wa Ramadhani yameakhirishwa kutokana na kuenea kirusi cha Corona nchini Iran.
Habari ID: 3472536    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/03/06

TEHRAN (IQNA) – Kauli mbiu ya Maonyesho ya 28 ya Kimataifa ya Qur'ani Tukufu ya Tehran itakuwa ni 'Qur'ani Tukufu Kitabu cha Ustawi."
Habari ID: 3472420    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/01/30