iqna

IQNA

TEHRAN (IQNA) – Afisa wa Wizara ya Utamaduni ya Iran anasema malengo ya Maonyesho ya 29 ya Kimataifa ya Qur'ani ya Tehran yamefikiwa kwa usaidizi wa watu na mashirika.
Habari ID: 3475192    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/05/01

TEHRAN (IQNA)- Maonyesho ya 29 ya Kimataifa ya Qur'ani Tukufu ya Tehran yamefunguliwa Jumamosi jioni katika sherehe iliyohudhuriwa na maafisa wa ngazi za juu serikalini.
Habari ID: 3475133    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/04/17

TEHRAN (IQNA)- Maonyesho ya Kimataifa ya Qur'ani ya Iran ni makubwa zaidi ya aina yake katika Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
Habari ID: 3475119    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/04/12

TEHRAN (IQNA)- Duru ya 29 ya Maonyesho ya Kimataifa ya Qur’ani Tukufu ya Tehran imepenga kufanyika katika Ukumbi wa Sala (Musalla) wa Imam Khomeini (RA).
Habari ID: 3475036    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/03/13

TEHRAN (IQNA)- Maonyesho kuhusu uchapishaji Qur'ani Tukufu yamezinduliwa Riyadh, mji mkuu wa Saudi Arabia.
Habari ID: 3474815    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/01/16

TEHRAN (IQNA) Maoneysho ya kwanza ya Qur’ani kufanyika kwa njia ya intaneti katika Jamhuri ya Kiislamu ya Iran yamefunguliwa Jumamosi.
Habari ID: 3473869    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/05/02

TEHRAN (IQNA) Kituo cha Utamaduni cha Jamhuri ya Kiislamu ya Iran nchini Uganda kimeandaa maonyesho ya Qur’ani katika mji wa Kampala kwa mnasaba wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhani.
Habari ID: 3473864    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/04/30

TEHRAN (IQNA)- Maoneysho ya kwanza ya kimatiafa ya Qur’ani Tukufu ya Iran kwa njia ya intaneti yamepangwa kuanzia Mei 1.
Habari ID: 3473848    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/04/25

TEHRAN (IQNA)- Maktaba ya umma wa Kalba katika eneo la Sharjah nchini Umoja wa Falme za Kiarabu imeandaa maonyesho ya Misahafu ya kale.
Habari ID: 3473845    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/04/24

TEHRAN (IQNA)-Maonyesho ya Kimataifa ya Qur'ani ya Iran mwaka huu yatafanyika kwa njia ya intaneti kuanzia Mei 1 hadi 10.
Habari ID: 3473801    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/04/11

TEHRAN (IQNA) – Duru ya 28 ya Maonyesho ya Kimataifa ya Qur’ani ya Tehran itafanyika kwa njia ya intaneti.
Habari ID: 3472748    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/05/09

TEHRAN (IQNA) - Maonyesho ya 28 ya Kimataifa ya Qur'ani Tukufu ya Tehran ambayo yalikuwa yafanyike katika Mwezi Mtukufu wa Ramadhani yameakhirishwa kutokana na kuenea kirusi cha Corona nchini Iran.
Habari ID: 3472536    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/03/06

TEHRAN (IQNA) – Kauli mbiu ya Maonyesho ya 28 ya Kimataifa ya Qur'ani Tukufu ya Tehran itakuwa ni 'Qur'ani Tukufu Kitabu cha Ustawi."
Habari ID: 3472420    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/01/30

TEHRAN (IQNA)- Duru ijayo ya Mashindano ya Kimataifa ya Qur'ani Tukufu ya Tehran itafanyika katika mji mkuu wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kuanzia siku ya 8 ya Mwezi Mtukufu wa Ramadhani inayokadiriwa kuwa Aprili 20.
Habari ID: 3472314    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/12/29

TEHRAN (IQNA)- Mwanamke mmoja Mjapani anasema mashambulizi ya Septemba 11 2001 nchini Marekani yalimpelekea afanye utafiti wa kina kuhusu Uislamu na hatimaye akaamua kusilimu.
Habari ID: 3471962    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/05/18

TEHRAN (IQNA)- Mkurugenzi wa Kitengo cha Kimataifa cha Maonyesho ya 27 ya Kimataifa ya Qur'ani Tukufu ya Tehran amesema kushirikiana na taasisi za kimataifa za Qur'ani ni moja kati ya malengo muhimu ya maonyesho ya mwaka huu.
Habari ID: 3471959    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/05/16

TEHRAN (IQNA) – Maonyesho ya 27 ya Kimataifa ya Qur'ani Tukufu ya Tehran yamepangwa kuanza Jumamosi 11 Mei katika mji mkuu wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
Habari ID: 3471948    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/05/09

TEHRAN (IQNA)- Kitengo cha kimataifa cha Maonyesho ya 26 ya Qur'ani Tukufu ya Tehran kilizinduliwa Jumapili katika siku ya 11 ya Mwezi Mtukufu wa Ramadhani.
Habari ID: 3471534    Tarehe ya kuchapishwa : 2018/05/28

TEHRAN (IQNA) – Maonyesho ya 36 ya Kimataifa ya Qur'ani ambayo hufanyika katika Mwezi Mtukufu wa Ramadhani yamepangwa kuanza Mei 19.
Habari ID: 3471513    Tarehe ya kuchapishwa : 2018/05/14

TEHRAN (IQNA) –Maonyesho ya 25 ya Kimataifa ya Qur'ani Tukufu ya Iran yamemalizika Ijumaa usiku katika sherehe iliyofanyika mjini Tehran.
Habari ID: 3471021    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/06/17