iqna

IQNA

washirikiana
Qur'ani Tukufu Inasemaje / 36
TEHRAN (IQNA) – Familia ni mojawapo ya misingi muhimu ya jamii na inabeba jukumu la kulea watoto wanaojenga vizazi vijavyo. Uislamu unalipatia umuhimu mkubwa kitengo hiki cha kijamii na umefafanua mifumo maalum kwa ajili yake.
Habari ID: 3476112    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/11/19