Wanazuoni Mashuhuri wa Ulimwengu wa Kiislamu/14
TEHRAN (IQNA) – Kitabu kiitwacho ‘Mabahith fi Tafsir al-Madhuei’ (Majadiliano Kuhusu Tafsiri ya Kimadhari) ni mojawapo ya kazi kuu za mwanazuoni wa Syria Sheikh Mustafa Muslim kuhusu tafsiri ya Qur’ani.
Habari ID: 3476352 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/03
Wanazuoni Mashuhuri wa Ulimwengu wa Kiislamu/13
TEHRAN (IQNA) – Sheikh Mustafa Muslim (1940-2021) alikuwa mtu mashuhuri katika uwanja wa sayansi za Qur’ani ambaye aliandika vitabu 90, ikiwa ni pamoja na ensaiklopidia za sayansi za Qur’ani.
Habari ID: 3476346 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/02