iqna

IQNA

mtetemeko
Taazia
TEHRAN(IQNA)- Watu wasiopungua 2,500 wamepoteza maisha kutokana na mitetemeko miwili mkubwa ya ardhi iliyoyakumba maeneo ya kusini mashariki mwa Uturuki na kaskazini mwa Syria huku idadi ya wahanga wa janga hilo ikiongezeka kila sekunde kutokana na mamia ya watu kufunikwa na vifusi vya majengo yaliyoporomoka.
Habari ID: 3476519    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/02/06