iqna

IQNA

Mwezi Mtukufu wa Ramadhani
TEHRAN (IQNA) – Klabu ya Soka ya Chelsea ya Ligu Kuu ya Uingereza (EPL) imetangaza kuwa uwanja wake, Stamford Bridge, utakuwa mwenyeji dhifa yake ya kwanza ya wazi ya Futari katika Mwezi Mtukufu wa Ramadhani.
Habari ID: 3476705    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/03/14

Demba Ba mchezaji wa Timu ya Soka ya Chelsea katika ligi ya Premier nchini nchini Uingereza amefadhili kikamilifu ujenzi wa msikiti katika nchi yake asili, Senegal.
Habari ID: 1405411    Tarehe ya kuchapishwa : 2014/05/10