iqna

IQNA

Sura za Qur’ani Tukufu /69
TEHRAN (IQNA) – Al-Haqqah ni miongoni mwa majina ya Siku ya Hukumu au Siku ya Kiyama. Inamaanisha kitu ambacho ni hakika, kilichoamuliwa na chenye uhakika. Sura inawaonya wale wanaoikadhibisha Siku ya Kiyama na inaonesha hali yao siku hiyo.
Habari ID: 3476806    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/04/03