iqna

IQNA

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullahil Udhma Sayyid Ali Khamenei amesema shughuli za ustawi na utafiti wa nyuklia Iran kamwe hazitasimamishwa.
Habari ID: 1392769    Tarehe ya kuchapishwa : 2014/04/10

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, matukio ya ulimwengu yanakwenda kinyume na matakwa ya Marekani.
Habari ID: 1389136    Tarehe ya kuchapishwa : 2014/03/21

Baraza la Mahusiano ya Kiislamu nchini Marekani (CAIR) limelalamikia hatua ya banki moja ya nchi hiyo ya kuzifunga akaunti za fedha za Waislamu. Baraza la Mahusiano ya Kiislamu la Marekani sambamba na kulalamikia hatua hiyo ya Tawi la Banki ya Minessota limewataka maafisa wa benki hiyo kutoa maelezo kuhusiana na hatua hiyo isiyokubalika.
Habari ID: 1384501    Tarehe ya kuchapishwa : 2014/03/09