iqna

IQNA

Ayatullah Udhma Sayyid Ali Khamenei, Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Jumatano amekwenda kufanya ziara katika Haram ya mwanachuoni huyo mkubwa, na sambamba na kumsomea Faatiha, amemuenzi na kumuombea dua mwasisi huyo wa Mapinduzi ya Kiislamu.
Habari ID: 2777820    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/01/29