iqna

IQNA

TEHRAN (IQNA)- Wakuu wa mkoa wa Karbala nchini Iraq wamesema kuwa, takwimu za awali zinaonesha kwamba wafanya ziara ya Arubaini ya Imam Husain AS mwaka huu katika Haram ya mtukufu huyo ni zaidi ya watu milioni 14.
Habari ID: 3474347    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/09/27

TEHRAN (IQNA)- Kituo kimoja cha Qur’ani nchini Iraq kinatoa mafunzo ya qiraa sahihi ya Qur’ani tukufu kwa wanaoshiriki katika matembezi na ziara ya siku ya Arubaini ya Imam Hussein AS.
Habari ID: 3474322    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/09/21

TEHRAN (IQNA)- Sheikh Mkuu wa Kituo cha Kiislamu cha Al Azhar nchini Misri anatazamiwza kuitembelea Iraq mwezi ujao.
Habari ID: 3474311    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/09/18

Katika Mkutano wa Rais wa Iran na Waziri Mkuu wa Iraq
TEHRAN (IQNA)- Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema katika mazungumzo na waandishi wa habari akiwa pamoja na Waziri Mkuu wa Iraq kwamba, idadi ya wafanya ziara wa Iran katika Arubaini ya Imam Husain AS itaongezwa mwaka huu.
Habari ID: 3474287    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/09/12

TEHRAN (IQNA)- Maafisa 13 wa polisi Iraq wameuawa katika shambulio la kundi la kigaidi la Daesh au ISIS dhidi ya kituo cha upekuzi barabarani kaskazini mwa nchi hiyo mapema Jumapili, vyanzo vya usalama na matibabu vilisema.
Habari ID: 3474260    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/09/05

TEHRAN (IQNA)- Mitandao ya Iraq imesembaza klipu ya marhum Ayatullahil Udhma Sayyid Mohammad Saeed Tabatabai Hakim akiwa katika matembezi ya Arobaini ya Imam Hussein AS katika miaka ya nyuma.
Habari ID: 3474258    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/09/04

TEHRAN (IQNA)- Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ametuma salamu za rambirambi kufuatia kuaga dunia Ayatullahil Udhma Sayyid Mohammad Saeed Tabatabai Hakim wa Iraq.
Habari ID: 3474257    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/09/04

TEHRAN (IQNA)- Naibu Mkuu wa mkoa wa Karbala nchini Iraq ametangaza kuwa mazuwari takribani milioni sita wamehiriki katika maombolezo ya Imam Hussein AS yaliyofanyika katika Siku ya Ashura hapo jana kwenye mji huo mtakatifu.
Habari ID: 3474209    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/08/20

TEHRAN (IQNA)- Mirengo miwili ya Al Fat-h na An-Nasr pamoja na harakati ya Hekima ya Kitaifa na ile ya Sadr nchini Iraq zimekaribisha juhudi za timu ya mazungumzo ya nchi hiyo zilizowezesha kufikiwa makubaliano na Marekani ya kuwaondoa askari wake katika ardhi ya Iraq.
Habari ID: 3474131    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/07/27

TEHRAN (IQNA)- Wakuu wa Idara ya Afya katika Mkoa wa Dhi Qar nchini Iraq wametangaza kuwa watu wasiopungua 90 wamepoteza maisha kufuata mkasa wa moto katika kitengo cha wagonjwa wa corona katika Hospitali ya Imam Hussein as mjini Nasiriya.
Habari ID: 3474096    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/07/13

TEHRAN (IQNA)- Qarii Yassri al Araq wa Iraq hivi karibuni alisoma aya za Qur’ani katika sherehe za kuadhimisha kuanzishwa Jeshi la Kujitolea la Wananchi maarufu kama al Hashd al Shaabi.
Habari ID: 3474078    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/07/07

TEHRAN (IQNA)- Idara ya Mfawidhi wa Haram ya Hadhrat Abbas AS huko Karbala, Iraq imeandaa warsha ya qiraa ya Qur'ani Tukufu kwa ajili ya wanafunzi Waafrika wanaosoma katika vyuo vya Kiislamu (Hawza) mjini humo.
Habari ID: 3474060    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/07/01

TEHRAN (IQNA)- Mazishi ya wanachama wanne wa Harakati ya wapiganaji wa kujitolea wa wananchi wa Iraq maarufu kama Al Hashd al Shaabi (PMU) ambao wameuawa na Marekani yamefanyika leo Baghdad, Iraq.
Habari ID: 3474054    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/06/29

TEHRAN (IQNA)- Harakati ya wapiganaji wa kujitolea wa wananchi wa Iraq maarufu kama Al Hashd al Shaabi (PMU) imefanya gwaride kubwa lililopewa jina la 'Idi ya Hashd' siku ya Jumamosi 26 Juni kwa mnasaba wa mwaka wa saba wa kuanzishwa kwake.
Habari ID: 3474050    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/06/28

TEHRAN (IQNA)- Mwenyekiti wa Muungano wa Fath nchini Iraq amesema Jeshi la Kujitolea la Wananchi Iraq, maarufu kama Hashd al Shaabi (PMU), kwa damu yake toharifu limeweza kuipa nguvu serikali ya Iraq na hivyo kila ambaye anataka kusamabratisha nguvu na uwezo wa jeshi hilo kimsingi atakuwa amedhoofisha nguvu za taifa la Iraq.
Habari ID: 3473955    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/05/28

TEHRAN (IQNA)- Marjaa mkuu wa Kishia nchini Iraq kwa mara nyingine tena ametangaza uungaji mkono wake kwa 'mapambano ya kishujaa ya taifa lenye heshima la Palestina' katika kukabiliana na Wazayuni maghasibu na kutoa wito kwa mataifa yote huru duniani kuwaunga mkono Wapalestina.
Habari ID: 3473902    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/05/12

TEHRAN (IQNA)- Magaidi wameshambulia msafara wa wafanyaziara wa Imam Kadhim AS, Imam wa Saba wa Mashia katika eneo la Al Kadhimiya katika mkoa wa Baghdad nchini Iraq.
Habari ID: 3473719    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/03/09

TEHRAN (IQNA) – Kiongozi wa Kanisa Katoliki Duniani Jumamosi alisikiliza qiraa ya Qur'ani katika mji wa kale mji wa Ur Kaśdim kaskazini mwa Iraq, eneo ambalo inaaminika alizaliwa Nabii Ibrahim (Abraham) –Amani ya Mwenyezi Mungu Iwe Juu Yake.
Habari ID: 3473714    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/03/07

TEHRAN (IQNA) - Kiongozi wa Kanisa Katoliki duniani Papa Francis ameitembelea Iraq katika safari ya kihistoria ambayo pia ni safari yake ya kwanza ya kimataifa tangu kuibuka janga la COVID-19.
Habari ID: 3473708    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/03/06

TEHRAN (IQNA)- Jeshi la Marekani kwa amri ya Rais Joe Biden limefanya mashambulizi ya anga yaliyolenga kambi za makundi ya muqawama yanayopambana na magenge ya kigaidi katika mpaka wa Iraq na Syria.
Habari ID: 3473684    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/02/26