iqna

IQNA

TEHRAN (IQNA)-Kituo cha Qur’ani Tukufu kinachofungamana na Idara ya Mfawidhi wa Haram Takatifu ya Imam Ali AS huko Najaf, Iraq kimeandaa mafunzo ya Qur’ani kwa ajili ya wanawake.
Habari ID: 3474501    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/11/01

TEHRAN (IQNA)- Klipu ifuatayo inaangazia kwa kifupi maisha na nyakati za mwanazuoni maarufu wa Kiislamu Shahidi Ayatullah Sayyid Muhammad Baqir al-Sadr.
Habari ID: 3474474    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/10/26

TEHRAN (IQNA)- Vyombo vya habari vya ulimwengu wa Kiislamu vinapaswa kuimarisha jitiahda zaidi kustawisha umoja wa Kiislamu, amesema msomi wa Iraq.
Habari ID: 3474461    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/10/23

TEHRAN (IQNA)- Msemaji wa Harakati wa Mapambano ya Kiislamu ya Al Nujabaa ya Iraq ametahadharisha kuwa wanajeshi wa Iraq watashambuliwa iwapo hawataondoka Iraq ifikapo mwisho wa mwaka huu wa 2021.
Habari ID: 3474456    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/10/22

TEHRAN (IQNA)- Sherehe za kukumbuka kuzaliwa Mtume Muhammad SAW maarufu kama Milad un Nabii au Maulidi zimefanyika Jumapili jioni katika msikiti wa kihistoria wa Al Nuri nchini Iraq ambao unajengwa upya baada ya kuharibiwa vibaya na magaidi wa ISIS au Daesh.
Habari ID: 3474438    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/10/18

TEHRAN (IQNA)- Duru ya tano ya uchaguzi wa Bunge nchini Iraq imefanyika huku uchaguzi huo ukiibua maswali matatu makuu na ya kimsingi kuhusiana na uchaguzi huo.
Habari ID: 3474419    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/10/13

TEHRAN (IQNA)- Sambamba na siku za Arubaini ya Imam Hussein AS, wasomaji Qur’ani Tukufu katika ngazi ya kimataifa wameshiriki katika vikao vya kusoma Qur’ani ambavyo vimeandaliwa na Shirika la Habari la IQNA chini ya kaulimbiu ya ‘Ya Hussein katika Mazingira ya Qur’ani’.
Habari ID: 3474357    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/09/29

TEHRAN (IQNA)- Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS kwa mara nyingine tena imeishukuru serikali, makundi ya kisiasa, wazee wa koo na viongozi wa makabila ya Iraq, kwa msimamo wao wa kupinga kuanzishwa mapatano na utawala haramu wa Kizayuni wa Israel.
Habari ID: 3474355    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/09/28

TEHRAN (IQNA)- Wakuu wa mkoa wa Karbala nchini Iraq wamesema kuwa, takwimu za awali zinaonesha kwamba wafanya ziara ya Arubaini ya Imam Husain AS mwaka huu katika Haram ya mtukufu huyo ni zaidi ya watu milioni 14.
Habari ID: 3474347    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/09/27

TEHRAN (IQNA)- Kituo kimoja cha Qur’ani nchini Iraq kinatoa mafunzo ya qiraa sahihi ya Qur’ani tukufu kwa wanaoshiriki katika matembezi na ziara ya siku ya Arubaini ya Imam Hussein AS.
Habari ID: 3474322    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/09/21

TEHRAN (IQNA)- Sheikh Mkuu wa Kituo cha Kiislamu cha Al Azhar nchini Misri anatazamiwza kuitembelea Iraq mwezi ujao.
Habari ID: 3474311    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/09/18

Katika Mkutano wa Rais wa Iran na Waziri Mkuu wa Iraq
TEHRAN (IQNA)- Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema katika mazungumzo na waandishi wa habari akiwa pamoja na Waziri Mkuu wa Iraq kwamba, idadi ya wafanya ziara wa Iran katika Arubaini ya Imam Husain AS itaongezwa mwaka huu.
Habari ID: 3474287    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/09/12

TEHRAN (IQNA)- Maafisa 13 wa polisi Iraq wameuawa katika shambulio la kundi la kigaidi la Daesh au ISIS dhidi ya kituo cha upekuzi barabarani kaskazini mwa nchi hiyo mapema Jumapili, vyanzo vya usalama na matibabu vilisema.
Habari ID: 3474260    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/09/05

TEHRAN (IQNA)- Mitandao ya Iraq imesembaza klipu ya marhum Ayatullahil Udhma Sayyid Mohammad Saeed Tabatabai Hakim akiwa katika matembezi ya Arobaini ya Imam Hussein AS katika miaka ya nyuma.
Habari ID: 3474258    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/09/04

TEHRAN (IQNA)- Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ametuma salamu za rambirambi kufuatia kuaga dunia Ayatullahil Udhma Sayyid Mohammad Saeed Tabatabai Hakim wa Iraq.
Habari ID: 3474257    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/09/04

TEHRAN (IQNA)- Naibu Mkuu wa mkoa wa Karbala nchini Iraq ametangaza kuwa mazuwari takribani milioni sita wamehiriki katika maombolezo ya Imam Hussein AS yaliyofanyika katika Siku ya Ashura hapo jana kwenye mji huo mtakatifu.
Habari ID: 3474209    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/08/20

TEHRAN (IQNA)- Mirengo miwili ya Al Fat-h na An-Nasr pamoja na harakati ya Hekima ya Kitaifa na ile ya Sadr nchini Iraq zimekaribisha juhudi za timu ya mazungumzo ya nchi hiyo zilizowezesha kufikiwa makubaliano na Marekani ya kuwaondoa askari wake katika ardhi ya Iraq.
Habari ID: 3474131    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/07/27

TEHRAN (IQNA)- Wakuu wa Idara ya Afya katika Mkoa wa Dhi Qar nchini Iraq wametangaza kuwa watu wasiopungua 90 wamepoteza maisha kufuata mkasa wa moto katika kitengo cha wagonjwa wa corona katika Hospitali ya Imam Hussein as mjini Nasiriya.
Habari ID: 3474096    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/07/13

TEHRAN (IQNA)- Qarii Yassri al Araq wa Iraq hivi karibuni alisoma aya za Qur’ani katika sherehe za kuadhimisha kuanzishwa Jeshi la Kujitolea la Wananchi maarufu kama al Hashd al Shaabi.
Habari ID: 3474078    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/07/07

TEHRAN (IQNA)- Idara ya Mfawidhi wa Haram ya Hadhrat Abbas AS huko Karbala, Iraq imeandaa warsha ya qiraa ya Qur'ani Tukufu kwa ajili ya wanafunzi Waafrika wanaosoma katika vyuo vya Kiislamu (Hawza) mjini humo.
Habari ID: 3474060    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/07/01