iqna

IQNA

Wanaharakati wa kutetea haki za binadamu nchini Bahrain wamesema kupigwa marufuku gazeti pekee la kujitegemea la al-Wasat nchini humo ni ukiukaji wa uhuru wa kutoa maoni.
Habari ID: 3341173    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/08/11