iqna

IQNA

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullahil Udhma Sayyid Ali Khamenei amezikosoa baadhi ya nchi za Ulaya kwa kufuata kibubusa sera za kiadui za Marekani kuhusiana na Iran.
Habari ID: 3360658    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/09/09