Rais Hassan Rouhani wa Iran
TEHRAN (IQNA)-Rais Hassan Rouhani wa Iran ametoa wito kwa nchi za Kiislamu na mataifa mengine duniani kukata uhusiano wao kikamilifu na utawala haramu wa Israel na kuangalia upya uhusiano na Marekani kama njia ya kujibu sera hasimu za tawala hizo mbili dhidi ya watu wa Palestina.
Habari ID: 3471521 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/05/19
TEHRAN (IQNA) -Utawala dhalimu wa Israel umewaua kwa umati Wa palestina sambamba na hatua iliyo kinyume cha sheria za kufunguliwa ubalozi wa utawala wa Marekani katika mji wa Quds (Jerusalem).
Habari ID: 3471515 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/05/16
TEHRAN (IQNA)- Wa palestina wasiopungua 54 wameuawa shahidi baada ya kufyatuliwa risasi na wanajeshi wa utawala wa Kizayuni wa Israel katika Ukanda wa Ghaza.
Habari ID: 3471512 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/05/14
TEHRAN (IQNA) – Wa palestina wameweka kambi maalumu za kusoma Qur'ani katika maeneo ya 'Maandamano ya Kurejea' katika Ukanda wa Ghaza pamoja na kuwa wanajeshi wa utawala haramu wa Israel wamekuwa wakiwafyatulia risasi na kuwaua Wa palestina .
Habari ID: 3471498 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/05/06
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ametilia mkazo msimamo wa daima wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran wa kuiunga mkono kikamilifu Palestina na wapiga jihadi wake na kusema kuwa, tiba ya kadhia ya Palestina ni kuimarisha mrengo wa mapambano na muqawama katika Ulimwengu wa Kiislamu na kuzidisha mapambano dhidi ya utawala ghasibu wa Israel na waungaji mkono wake.
Habari ID: 3471454 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/04/05
TEHRAN (IQNA)- Maandamano ya Siku ya Ardhi yalifanyika leo kwa siku ya nne mfululizo huko katika Ukanda wa Gaza na kushambuliwa tena na askari wa utawala ghasibu wa Israel.
Habari ID: 3471451 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/04/02
TEHRAN (IQNA)- Waandishi habari Wa palestina wameandamana nje ya ofisi ya Umoja wa Mataifa katika Ukanda wa Ghaza kulalamikia mwenendo wa mtandao wa kijamii wa Facebook kufunga akaunti za Wapaletina.
Habari ID: 3471419 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/03/06
TEHRAN (IQNA)-Wa palestina wasiopungua 54 walipoteza maisha mwaka 2017 baada ya utawala haramu wa Israel kuwanyima vibali vya kupata matibabu nje ya eneo lililochini ya mzingiro la Ukanda wa Ghaza.
Habari ID: 3471392 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/02/15
TEHRAN (IQNA) Mkuu wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina, Hamas, amemuandikia barua Kiongozi Mudhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu akishukuru na kupongeza sera za Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kuhusu Quds Tukufu.
Habari ID: 3471361 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/01/19
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina, Hamas, Ismail Haniya ametoa indhari kuhusu njama mpya za Marekani dhidi ya mji wa Quds (Jerusalem).
Habari ID: 3471321 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/12/23
TEHRAN (IQNA)-Maulamaa wapatao 300 wa Kiislamu wamekutana Istanbul Uturuki na kutangaza kuwa uhusiano wowote wa kawaida na utawala wa Kizayuni wa Israel ni haramu.
Habari ID: 3471316 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/12/19
Rais Hassan Rouhani
TEHRAN (IQNA)- Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza kuwa Iran iko tayari kushirikiana na nchi za Kiislamu bila ya masharti yoyote kwa ajili ya kuitetea Quds tukufu na kusema adui mkubwa wa Wayahudi si Waislamu wala Waarabu bali ni mradi hatari sana wa Wazayuni.
Habari ID: 3471309 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/12/14
TEHRAN (IQNA)- Mkutano wa Kimataifa wa Umoja wa Kiislamu umemalizika mjini Tehran kwa kutoa taarifa yenye vipengee 26 inayosisitiza kuimarishwa umoja wa Kiislamu kwa ajili ya kupambana na njama za maadui, ikiwemo njama mpya ya Marekani dhidi ya Quds Tukufu.
Habari ID: 3471300 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/12/08
TEHRAN (IQNA)- Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limeitisha kikao cha dharura kesho Ijumaa kuzungumzia uamuzi wa rais wa Marekani, Donald Trump wa kutangaza kutambua Baytul Muqaddas (Jerusalem) kama mji mkuu wa utawala wa Kizayuni wa Israel.
Habari ID: 3471299 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/12/07
TEHRAN (IQNA)-Tamasha la 'Waumini wa Qur'ani Tukufu na Ukombozi wa Msikiti wa Al Aqsa' limefanyika katika Msikiti wa Ammar ibn Yasir katika eneo la Palestina la Ukanda wa Ghaza.
Habari ID: 3471245 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/11/03
TEHRAN (IQNA)- Mkutano wa pili wa kimataifa wa Umoja wa Maulamaa wa Muqawama au mapambano ulianza hapo jana Jumatano katika mji mkuu wa Lebanon, Beirut kwa kaulimbiu ya "Umoja kwa ajili ya Palestina-Israel inaelekea kutoweka".
Habari ID: 3471244 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/11/02
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA)-Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ametuma ujumbe katika Mkutano wa Pili Muungano wa Kimataifa wa Maulama wa Muqawama unaofanyika huko Lebanon akiagiza kudumishwa mapambano ya aina mbalimbali dhidi ya utawala vamizi na wa Kizayuni wa Israel kwa wale wote wanaohisi kubeba dhima na wajibu huo mkubwa.
Habari ID: 3471242 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/11/01
TEHRAN (IQNA)-Mkuu wa masuala ya kigeni wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina Hamas amesema kuwa, harakati hiyo ina hamu ya kustawisha uhusiano wake na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika nyuga zote.
Habari ID: 3471229 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/10/24
TEHRAN (IQNA)- Tarehe 16Septemba ni kumbukumbu ya ukatili wa kinyama uliotekelezwa na utawala wa Kizayuni wa Israel katika kambi za Wa palestina za Sabra na Shatila mjini Beirut Lebanon.
Habari ID: 3471178 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/09/17
TEHRAN (IQNA)- Umoja wa Mataifa umeulaani utawala wa Kizayuni wa Israel kwa kuzuia maendeleo pamoja na kuzorotesha hali ya kibinadamu katika ardhi za Palestina zilizo katika eneo la Quds Mashariki, Ukingo wa Maghribi na Ukanda wa Ghaza katika kipindi cha zaidi ya miaka 50 ya kukalia kwa mabavu maeneo hayo.
Habari ID: 3471173 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/09/14