iqna

IQNA

Malefu ya Wapalestina washiriki katika Sala ya Ijumaa Msikiti wa Al Aqsa
TEHRAN (IQNA) - Maelfu ya Wa palestina walishiriki katika Salatul Fajr katika Msikiti wa Al Aqsa mjini Quds (Jerusalem) Ijumaa asubuhi licha ya vizuizui vikali vilivyokuwa vimewekwa na jeshi la utawala wa Kizyauni wa Israel.
Habari ID: 3472514    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/02/29

TEHRAN (IQNA) - Jeshi la utawala wa Kizayuni wa Israel jana Jumapili lilishambulia kwa mizinga eneo la Ukanda wa Ghaza na kumuua shahidi kijana wa Ki palestina , Mohammed Ali al-Naim aliyekuwa na umri wa miaka 27.
Habari ID: 3472502    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/02/24

Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran
TEHRAN (IQNA) - Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kusimama kidete katika njia ya muqawama au mapambano na njia ya demokrasia ya kuitishwa kura ya maamuzi ili Wa palestina wenyewe waamue mustakabali wao ndilo suluhisho la kadhia ya Palestina.
Habari ID: 3472483    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/02/18

TEHRAN (IQNA) - Ofisi ya Haki za Binadamu ya Umoja wa Mataifa imetangaza orodha ya mashirika ambayo yanashirikiana na utawala wa Israel katika kujenga vitongoji haramu katika ardhi za Palestina huko Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan.
Habari ID: 3472468    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/02/13

TEHRAN (IQNA) – Makumi ya walowezi wa Kizayuni wameuhujumu Msikiti wa Al Aqsa katika mji wa Quds (Jerusalem) unaokaliwa kwa mabavu na utawala wa Kizayuni wa Israel.
Habari ID: 3472467    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/02/13

TEHRAN (IQNA) - Rais wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina ameliambia Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kuwa, mbali na mpango wa Rais Donald Trump wa Marekani uliopewa jina la Muamala wa Karne kukanyaga maazimio ya umoja huo, pia ni wa kibaguzi na unakiuka mamlaka na uhuru wa kujitawala Palestina.
Habari ID: 3472464    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/02/12

TEHRAN (IQNA) - Ismail Haniya Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) amemtumia ujumbe Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu na akimpongeza yeye na taifa la Iran kufuatia maadhimisho ya ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu.
Habari ID: 3472463    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/02/12

Rais wa Afrika Kusini
TEHRAN (IQNA) - Rais Cyril Ramaphosa wa Afrika Kusini amesema mapendekezo ya Rais Donald Trump kwenye 'muamala wa karne' kuhusu Palestina yanashabihiana na mfumo wa kipindi cha utawala wa ubaguzi wa rangi (apatheidi) uliowahi kutawala nchi yake.
Habari ID: 3472459    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/02/10

TEHRAN (IQNA) - Viongozi wa Afrika wameulaani mpango uliopendekezwa na Rais Donald Trump wa Marekani ambao ni maarufu kama 'muamala wa karne' kuhusu utatuzi wa mgogoro wa Israel na Palestina na kuutaja kuwa usio na uhalali.
Habari ID: 3472455    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/02/09

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA) - Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema kuwa, mpango wa Marekani uliopachikwa jina la Muamala wa Karne utakufa hata kabla ya Trump mwenyewe kufa na kuongeza kuwa, njia ya kukabiliana na mpango huo ni kusimama kidete na kufanya jihadi kishujaa taifa na makundi ya Palestina pamoja na uungaji mkono wa ulimwengu wa Kiislamu kwa taifa hilo.
Habari ID: 3472444    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/02/05

TEHRAN (IQNA) - Nchi wanachama wa Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (OIC) zimepinga mpango wa 'muamala wa karne' uliopendekezwa na Marekani ambao unakandamiza haki za taifa la Palestina.
Habari ID: 3472435    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/02/03

Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Nchi za Kiarabu amekosoa tangazo la mpango wa Marekani na Israel unaojulikana kama 'muamala wa karne' kwa ajili ya kutatua kadhia ya Palestina na kusema nchi za Kiarabu katu hazitaliacha taifa la Palestina peke yake.
Habari ID: 3472429    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/02/01

Wananchi wa Yemen wamefanya maandamano makubwa ya kulaani njama mpya za Marekani dhidi ya taifa madhlumu la Palestina na wamelaani vikali mpango wa Donald Trump wa "Muamala wa Karne."
Habari ID: 3472424    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/01/31

TEHRAN (IQNA) - Wanajeshi wa utawala wa Kizayuni wa Israel wameuhujumu Msikiti wa Al Aqsa katika mji wa Quds (Jerusalem) unaokaliwa kwa mabavu na utawala huo na kuwajeruhi Wa palestina kadhaa waliokuwa wamefika hapo kwa ajili ya Sala ya Ijumaa.
Habari ID: 3472423    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/01/31

Ismail Haniya
TEHRAN (IQNA) - Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Mapambano (Muqawama) ya Kiislamu ya Palestina HAMAS, Ismail Haniyeh ametuma ujumbe kwenda kwa viongozi wa nchi za Kiarabu na Kiislamu akionya ushiriki wa aina yoyote kwa ajili ya kutekelezwa au kuukubali mpango wa Muamala wa Karne na kubainisha kuwa hilo ni kosa kubwa ambalo kamwe raia wa Palestina hawatalisamehe.
Habari ID: 3472422    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/01/30

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA) - Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema pendekezo la Marekani lililopewa jina la 'Muamala wa Karne' katu halitazaa matunda kwa Rehema za Mwenyezi Mungu.
Habari ID: 3472421    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/01/30

Katika barua maalumu
TEHRAN (IQNA) - Spika wa Bunge la Iran (Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu) ametoa wito wa kukabiliana na mpango bandia wa Rais Donald Trump uliopewa jina la "Muamala wa Karne". Aidha ametoa wito kutatuliwa mgogoro wa Palestina kwa kutumia njia ya kura ya maoni na udiplomasia wa kibunge.
Habari ID: 3472418    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/01/29

TEHRAN (IQNA) – Rais wa Serikali ya Mamlaka ya Ndani ya Palestina amezitaka nchi za Kiislamu na Kiarabu kususia uzinduzi wa mpango wa Rais Donald Trump wa Marekani kuhusiana na mgogoro wa Palestina uliopewa jina la "Muamala wa Karne".
Habari ID: 3472412    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/01/28

TEHRAN (IQNA) - Wanajeshi katili wa utawala wa Kizayuni wa Israel wamewaua shahidi kwa kuwapiga risasi Wa palestina watatu katika uzio wa Ukanda wa Ghaza.
Habari ID: 3472396    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/01/22

TEHRAN (IQNA) – Jeshi la utawala wa Kizayuni wa Israel limewaua shahidi Wa palestina 149 katika mwaka uliopita wa 2019, aghalabu wakiwa katika Ukanda wa Ghaza.
Habari ID: 3472322    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/01/01