TEHRAN (IQNA) -Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina (HAMAS imeunga mkono uamuzi wa Mahakama ya Kimataifa ya Jinai unaonyesha kuwa hulka ya uvamizi na ukaliaji ardhi kwa mabavu ya Israel na kiwango cha dhulma ilizowafanyia wananchi madhulumu wa Palestina vimezidi kudhihirika mbele ya jamii ya kimataifa.
Habari ID: 3472297 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/12/23
TEHRAN (IQNA) – Mwendesha Mashtaka Mkuu katika Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC) amesema ataanzisha uchunguzi kamili kuhusu jinai za kivita za utawala dhalimu wa Israel dhidi ya Wa palestina .
Habari ID: 3472293 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/12/21
TEHRAN (IQNA) – Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) imelaani vikali hatua ya utawala haramu wa Israel kukamata wanachama wake katika eneo inalolikalia kwa mabavu la Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan.
Habari ID: 3472274 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/12/13
TEHRAN (IQNA) - Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) imeitaja tetesi iliyoenea katika vyombo vya habari vya Kizayuni kuhusu jitihada za utawala huo za kufikia makubaliano ya usitishaji vita ya muda mrefu na Ukanda wa Ghaza kuwa ni propaganda za uchaguzi.
Habari ID: 3472257 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/12/05
TEHRAN (IQNA) – Mufti wa Waislamu wa eneo la Volgograd Oblast nchini Russia amesisitiza ulazima wa kukombolewa mji Mtakatifu wa Quds, sehemu uliko Msikiti wa Al Aqsa na kusema kutetea Quds Tukufu na Palestina kunapaswa kuwa kadhia muhimu zaidi katika ulimwengu wa Kiislamu hivi sasa.
Habari ID: 3472234 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/11/27
TEHRAN (IQNA)- Waislamu duniani wameendelea kulaani hatua ya Marekani kubadili msimamo na kuanza kuunga rasmi hatua iliyo kinyume cha sheria ya Israel ya kujenga vitongoji vya walowezi wa Kizayuni katika ardhi za Palestina.
Habari ID: 3472224 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/11/20
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA) - Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema kuondolewa Israel kuna maana ya kuondolewa utawala bandia wa Kizayuni na mahala pake kuchukuliwa na serikali iliyochaguliwa na wamiliki wa asili wa Palestina ambao ni Waislamu, Wakristo na Mayahudi.
Habari ID: 3472216 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/11/15
TEHRAN (IQNA)- Makamanda wawili wa Harakati ya Jihad Islami ya Palestina wameuawa aktika hujuma mpya za utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Ukanda wa Ghaza.
Habari ID: 3472213 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/11/13
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA) –Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Sayyid Ali Khamenei amesema kuna siku Wa palestina watarejea katika ardhi zao ambazo sasa zinakaliwa kwa mabavu na utawala wa Kizayuni wa Israel.
Habari ID: 3472194 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/10/31
TEHRAN (IQNA) – Wa palestina yametoa wito kwa jamii ya kimataifa ichukua hatua za kuulinda Msikiti wa Al Aqsa ulio katika mji wa Quds (Jerusalem) unaokaliwa kwa mabavu na utawala haramu wa Israel.
Habari ID: 3472183 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/10/22
TEHRAN (IQNA) – Serikali ya Afrika Kusini imetangaza kuwa inaendeleza mchakato wa kufunga ubalozi wake katika utawala wa Israel mwaka mmoja baada ya kumuondoa balozi wake Tel Aviv.
Habari ID: 3472173 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/10/15
TEHRAN (IQNA) – Rais Recep Tayyip Erdogan wa Uturuki, ambaye yuko New York kuhudhuria mkutano wa 74 wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa amesema nchi yake itaendelea kuunga mkono harakati za ukombozi wa Palestina.
Habari ID: 3472145 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/09/23
TEHRAN (IQNA) – Wanajeshi wa utawala ghasibu wa Israel wamebomoa msikiti wa Wa palestina katika mji wa al Khalil eneo la Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan.
Habari ID: 3472111 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/09/03
TEHRAN (IQNA) - Ismail Hania Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) amemuandikia barua Ayatullah Khamenei Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu na kushukuru yale aliyoyazungumza katika mkutano wake na ujumbe wa harakati hiyo uliofanya ziara hapa mjini Tehran hivi karibuni .
Habari ID: 3472110 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/09/02
TEHRAN (IQNA) – Jeshi la utawala wa Kizayuni wa Israel limewafyatulia risasi na kuwajeruhi makumi ya Wa palestina waliokuwa wakiandamana kwa amani katika Ijumaa ya 72 ya maandamano ya 'Haki ya Kurejea' huko katika Ukanda wa Ghaza.
Habari ID: 3472107 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/08/31
Katika Siku ya Kimataifa ya Msikiti
TEHRAN (IQNA)- Mjumbe wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) mjini Tehran amezikosoa nchi za Kiarabu kwa kuzembea kuhusu kadhia ya kuukomboa Msikiti wa Al Aqsa ulio katika mji wa Quds (Jerusalem) ambao unakaliwa kwa mabavu na utawala haramu wa Israel.
Habari ID: 3472094 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/08/21
TEHRAN (IQNA)- Utawala haramu wa Israel umewapiga marufuku wabunge wawili wa chama cha Democrat nchini Marekani Rashida Tlaib na Ilhan Omar kuingia ardhi za Palestina.
Habari ID: 3472086 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/08/16
TEHRAN (IQNA) -Jumuiya za kimataifa na taasisi kadhaa za kutetea haki za binadamu duniani zimelaani jinai iliyofanywa na utawala wa Kizayuni wa Israel ya kubomoa nyumba za Wa palestina kusini mwa Quds (Jerusalem) inayokaliwa kwa mabavu.
Habari ID: 3472054 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/07/23
Balozi wa Palestina Tehran
TEHRAN (IQNA) - Balozi wa Palestina nchini Iran amesema utawala haramu wa Israel unapaswa kusitisha ukaliaji mabavu ardhi za Palestina huku akisisitiza kuwa, Palestina ni lazime irejee kwa Wa palestina .
Habari ID: 3472037 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/07/09
TEHRAN (IQNA)- Aghalabu ya Wa palestina wanapinga vikali mpango wa Muamala wa Karne na kikao cha uchumi kulichofanyika hivi karibuni mjini Manama, Bahrain.
Habari ID: 3472019 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/06/27