Sheikh Issa Qassim
TEHRAN (IQNA) - Mwanazuoni maarufu wa Kiislamu nchini Bahrain, Ayatullah Sheikh Isa Qassim amelaani vikali hatua ya utawala wa Manama kuwa mwenyeji wa Kongamano la Kibiashara linalotazamiwa kuanza leo nchini humo kwa shabaha ya kuzindua mpango wa 'Muamala wa Karne'.
Habari ID: 3472017 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/06/25
TEHRAN (IQNA) – ‘Muamala wa Karne’ ambao umependekezwa na Marekani kwa lengo la kuunga mkono utawala wa Kizayuni wa Israel na kukandamiza ukombozi wa Palestina unaendelea kupingwa katika ulimwengu wa Kiislamu.
Habari ID: 3472016 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/06/24
Iran na Hamas zasisitiza:
TEHRAN (IQNA) - Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) zimesema utawala wa rais Donald Trump wa Marekani unalenga kuangamiza taifa la Palestina kupitia 'Muamala wa Karne' ulio kwa maslahi ya utawala wa Kizayuni wa Israel katika eneo la Asia Magharibi.
Habari ID: 3472004 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/06/16
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amekumbusha kuhusu pendekezo la Jamhuri ya Kiislamu la kufanyika kura ya maoni ya kuainisha hatima ya taifa la Palestina.
Habari ID: 3471988 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/06/05
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA)- Kiingozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu suala la Palestina na njama za uhaini za Marekani kupitia mpango wake wa 'Muamala wa Karne' ni kadhia ya kwanza kwa ulimwengu wa Kiislamu.
Habari ID: 3471987 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/06/05
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesem siri ya kuendelea kubakia hai na kuwa na mvuto fikra za Imam Khomeini MA, inatokana na sifa maalumu ya shakhsia na tunu aliyopewa na Mwenyezi Mungu.
Habari ID: 3471986 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/06/05
TEHRAN (IQNA) – Mamillioni ya wananchi wa Iran walioshiriki katika maandamano ya Siku ya Kimataifa ya Quds ambapo wametangaza azma yao ya kuendelea kuunga mkono ukombozi wa Palestina.
Habari ID: 3471978 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/05/31
TEHRAN (IQNA) - Harakati ya Ukombozi wa Palestina (PLO) imetoa wito kwa jamii ya kimataifa kususia kongamano ambalo Marekani imeitisha nchini Bahrain ambalo Wa palestina wanamini kuwa linalenga kusambaratisha haki zao.
Habari ID: 3471973 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/05/27
Katibu Mkuu wa Hizbullah
TEHRAN (IQNA) - Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesema: "Wote wanawajibika kukabiliana na mpango wa Marekani wa "Muamala wa Karne" ambao lengo lake ni kusambaratisha kadhia ya Palestina.
Habari ID: 3471972 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/05/26
TEHRAN (IQNA) – Waislamu na wasiokuwa Waislamu kote duniani wanajitayarisha kudhimisha Siku ya Kimataifa ya Quds (Jerusalem) kwa lengo la kutangaza kufungamana kwao na malengo ya ukombozi wa ardhi za Palestina ambazo zinakaliwa kwa mabavu na utawala wa Kizayuni wa Israel.
Habari ID: 3471971 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/05/25
TEHRAN (IQNA)- Mwanazuoni maarufu wa Kiislamu nchini Bahrain, Sheikh Isa Qassim amekosoa vikali hatua ya kualikwa raia wa utuawala wa Kizayuni wa Israel kwenye kongamano la kibiashara linalotazamiwa kufanyika katikati ya mwezi huu wa Aprili nchini humo.
Habari ID: 3471899 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/04/04
TEHRAN (IQNA)- Jumamosi tarehe 30 Machi 2019, imesadifiana na kuwadia mwaka wa 43 wa Siku ya Ardhi huko Palestina inayokaliwa kwa mabavu na utawala vamizi wa Israel.
Habari ID: 3471895 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/03/31
TEHRAN (IQNA)-Mwakilishi maalumu wa Umoja wa Mataifa kuhusu hali ya haki za binadamu katika maeneo yanayokaliwa kwa mabavu ya Palestina Michael Lynk amesema upokonyaji wa maliasili za Wa palestina unaofanywa na utawala haramu wa Israel katika maeneo ya Palestina ni uporaji wa wazi.
Habari ID: 3471881 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/03/19
TEHRAN (IQNA)- Ripoti ya Umoja wa Mataifa imebaini kuwa yamkini utawala haramu wa Israel umetenda jinai za kivita au jinai dhidi ya binadamu katika oparesheni zake za kijeshi zinazowalenga Wa palestina katika Ukanda wa Ghaza
Habari ID: 3471857 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/03/01
TEHRAN (IQNA)- Askari wa utawala wa Kizayuni wa Israel wamemkamata mkuu wa Idara ya Wakfu inayosimamia maeneo matakatifu ya Kiislamu katika mji wa Quds (Jerusalem) .
Habari ID: 3471852 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/02/25
TEHRAN (IQNA)- Askari wa utawala wa Kizayuni wa Israel Jumanne waliuhujumu Msikiti wa Al Aqsa katika mji wa Quds (Jerusalem) na kuwajeruhi Wa palestina waliokuwa wakifanya ibada katika eneo hilo la tatu kwa utakatifu katika Uislamu.
Habari ID: 3471847 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/02/20
TEHRAN (IQNA)- Jumuiya ya Kimataifa ya Maulama wa Kiislamu imelaani vikali mkutano wa hivi karibuni baina ya maafisa wa ngazi za juu wa nchi za Kiarabu na Waziri Mkuu wa Utawala wa Kizayuni wa Israel huko Warsaw, Poland.
Habari ID: 3471846 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/02/19
Waziri Mkuu Mahathir Mohamad
TEHRAN (IQNA)-Waziri Mkuu wa Malaysia Mahathir Mohammad amesisitiza Jumatatu kuwa nchi yake inashikilia msimamo wake wa kuwazuia raia wa utawala haramu wa Israel kuingia nchini humo huku akiitaja Israel kuwa utawala wa kihalifu.
Habari ID: 3471824 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/01/29
TEHRAN (IQNA)- Jeshi la utawala haramu wa Israel limeua zaidi ya Wa palestina 254 na kuwajeruhi wengine wasiopungua 23,000 tokea yaanze 'Maandamano Makubwa ya Haki ya Kurejea' ambayo yalianza kufanyika kila Ijumaa kuanzia Machi 30 mwaka 2018.
Habari ID: 3471816 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/01/23
TEHRAN (IQNA)- Wazayuni wameshindwa kubatilisha uamuzi wa mahakama ya Uingereza ambaye imekataa kumfungulia mashtaka mwanaharakati wa Palestina kufuatia matamshi aliyotoa dhidi ya utawala wa Kizayuni wa Israel katika maandamano ya Siku ya Kimataifa ya Quds mjini London mwaka 2017.
Habari ID: 3471807 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/01/15