Jumuiya ya Waislamu nchini Nigeria imelaani mauaji ya Waislamu wa Kishia yaliyotekelezwa katika siku ya kimataifa ya Quds. Kwa mujibu wa ripoti hiyo jumuiya hiyo imelaani mauaji hayo iliyoyataja kuwa ya kinyama.
Habari ID: 1434577 Tarehe ya kuchapishwa : 2014/07/28
Jumuiya ya Ushirikiano wa Nchi za Kiislamu OIC imetoa taarifa na kulaani hujuma ya hivi karibuni ya kundi la kigaidi la Boko Haram dhidi ya shule moja nchini Nigeria ambapo wanafunzi 57 waliuawa.
Habari ID: 1380935 Tarehe ya kuchapishwa : 2014/02/28