iqna

IQNA

TEHRAN (IQNA)- Magaidi wakufurishaji wa kundi la Al Shabab wameua watu 16 katika hujuma ya kigaidi iliyojiri leo Jumamosi katika mji mkuu wa Somalia, Mogadishu.
Habari ID: 3471781    Tarehe ya kuchapishwa : 2018/12/22

TEHRAN (IQNA)-Umoja wa Ulaya (EU) umetangaza kutenga bajeti ya Euro Milioni 10 kwa ajili ya utafiti wa kina kuhusu namna Qur'ani Tukufu imeathiri utamaduni wa Ulaya.
Habari ID: 3471780    Tarehe ya kuchapishwa : 2018/12/21

TEHRAN (IQNA)-Askari wa utawala wa Kizayuni wa Israel wameua watoto 54 Wapalestina mwaka huu wa 2018.
Habari ID: 3471779    Tarehe ya kuchapishwa : 2018/12/20

TEHRAN (IQNA) Magaidi wakufurishaji wa kundi la ISIS (Daesh) wametekeleza mauaji mengine ya kutisha huko mashariki mwa Syria kwa kuua wafungwa mia saba karibu na eneo lililoko kwenye mpaka wa nchi hiyo na Iraq.
Habari ID: 3471778    Tarehe ya kuchapishwa : 2018/12/20

TEHRAN (IQNA) – Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Saudi Arabia zimesaini Mapatano ya Maelewano (MOU) kuhusu kushiriki Wairani katika ibada ya Hija mwaka huu wa 1440 Hijria na 2019 Miladia.
Habari ID: 3471777    Tarehe ya kuchapishwa : 2018/12/19

TEHRAN (IQNA) – Kituo kipya cha Qur'ani kimefunguliwa kwa ajili ya washichana wenye umri wa miaka 15 hadi 19 katika mji wa Fahad al Ahmad mkoa wa Al Ahmadi nchini Kuwait.
Habari ID: 3471776    Tarehe ya kuchapishwa : 2018/12/18

TEHRAN (IQNA)- Tafsiri mpya ya Qur'ani inayojulikana kama 'Tafsiri ya Shams' imezinduliwa katika ofisi za Shirika la Habari za Qur'ani la Kimataifa (IQNA) mjini Tehran.
Habari ID: 3471774    Tarehe ya kuchapishwa : 2018/12/16

Dar al-Ifta ya Misri
TEHRAN (IQNA)- Huku Wakristo wakikaribia kusherehekea uzawa wa Nabii Isa AS (Yesu) katika siku ya Krisimasi na pia mwaka mpya Miladia, Taasisi ya Dar al-Ifta ya Misri imesema inajuzu au ni sawa kwa Waislamu kuwapongeza wasiokuwa Waislamu kwa munasaba wa siku kuu zao na kwamba hilo ni kwa mujibu wa mafundisho ya dini tukufu ya Kiislamu.
Habari ID: 3471773    Tarehe ya kuchapishwa : 2018/12/16

TEHRAN (IQNA) – Washindi wa Mashindano ya 16 ya Kimataifa ya Qur'ani nchini Tunisia wametangazwa na kutunukiwa zawadi zao.
Habari ID: 3471772    Tarehe ya kuchapishwa : 2018/12/15

TEHRAN (IQNA)- Bi. Linde McAvoy, alisilimu na kuukumbatia Uislamu maishani wiki chache baada ya kujiunga na Chuo cha Georgia Career Institute Conyers (GCI) katika jimbo la Georgia nchini Marekani mwezi Disemba 2017.
Habari ID: 3471771    Tarehe ya kuchapishwa : 2018/12/15

TEHRAN (IQNA)- Waislamu nchini Nigeria wanakumbuka mauaji ya umati yaliyotekelezwa na jeshi la nchi hiyo dhidi ya wafuasi wa Harakati ya Kiislamu Nigeria katika mji wa Zaria jimboni Kaduna.
Habari ID: 3471770    Tarehe ya kuchapishwa : 2018/12/14

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema kuwa, maadui wamefeli katika njama ya maadui wa Iran ya kuwachoche baadhi ya watu kufanya maandamano mitaani na kuyapa jina la "Majira ya Joto Kali".
Habari ID: 3471769    Tarehe ya kuchapishwa : 2018/12/13

TEHRAN (IQNA)- Usajili umeanza kwa wanaotaka kushiriki katika duru ya 20 ya mashindano ya kimataifa ya Dubai nchini UAE ambayo rasmi yanajulikana kama Mashindano ya Qur'ani ya Sheikha Hind Bint Makhtoum.
Habari ID: 3471768    Tarehe ya kuchapishwa : 2018/12/12

TEHRAN (IQNA)- Washiriki wa warsha iliyofanyika hivi karibuni nchini Pakistan wamesema Uislamu ni dini pekee ambayo imeangazia kila kipengee cha maisha sambamba na kulinda haki za binadamu.
Habari ID: 3471767    Tarehe ya kuchapishwa : 2018/12/11

TEHRAN (IQNA)- Uhusiano rasmi baina ya Utawala wa Kizayuni wa Israel na Utawala wa Kifalme Saudi Arabia unatazamiwa kutangazwa rasmi katika kipindi cha miezi michache ijayo.
Habari ID: 3471765    Tarehe ya kuchapishwa : 2018/12/09

TEHRAN (IQNA)- Mtu mmoja amepigwa risasi na kuuawa nje ya msikiti katika mtaa wa Springs, mji wa Ekurhuleni eneo la East Rand mkoani Gauteng Afrika Kusini.
Habari ID: 3471764    Tarehe ya kuchapishwa : 2018/12/08

TEHRAN (IQNA)- Awamu ya 20 ya Wiki ya Qur'ani Tukufu nchini Algeria imefanyika huku kukitolewa wito wa kuhakikisha watoto wanajifunza Qur'ani.
Habari ID: 3471763    Tarehe ya kuchapishwa : 2018/12/07

TEHRAN (IQNA)- Kamishna MKuu wa Haki za Binadamu katika Umoja wa Mataifa Michelle Bachelet ametoa wito wa kufanyika uchunguzi wa kimataifa kubaini mhusika wa mauaji ya mwandishi habari Msaudi Jamal Khashoggi.
Habari ID: 3471762    Tarehe ya kuchapishwa : 2018/12/05

TEHRAN (IQNA)- Mtoto wa miaka 7 kutoka mji wa Luton nchini Uingereza amehifadhi Qur'ani Tukufu kikamilifu ikiwa ni katika kufuata nyayo za dada yake ambaye pia alifanikiwa kufanya hiyo miaka miwili iliyopita wakati akiwa na umri huo huo.
Habari ID: 3471761    Tarehe ya kuchapishwa : 2018/12/04

TEHRAN (IQNA)- Idara ya Masuala ya Kidini Uturuki (Diyanet) imesambazwa nakala 5,000 za Qur'ani Tukufu iliyotarujumiwa kwa lugha ya Kichewa nchini Malawi.
Habari ID: 3471759    Tarehe ya kuchapishwa : 2018/12/03