TEHRAN (IQNA) – Msemaji wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran (IRGC) amesisitiza kuwa msingi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran ni Qur'ani Tukufu.
Habari ID: 3471829 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/02/04
TEHRAN (IQNA)- Siku ya Kimataifa ya Hijabu imeadhimishwa Ijumaa katika mji wa Lamu nchini Kenya huku washiriki wakitoa wito wa kuondolewa marufuku ya Hijabu shuleni nchini humo.
Habari ID: 3471828 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/02/03
TEHRAN (IQNA)- Idara ya Mfawidhi wa Haram Takatifu ya Imam Hussein AS iliyoko nchini Iraq imezindua Taasisi ya Qur'ani nchini Burkina Faso.
Habari ID: 3471827 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/02/02
TEHRAN (IQNA)- Waislamu wasiopungua wasiopungua wawili wameuawa na wengine wanne kujeruhiwa kufuatia hujuma ya gurunedi dhidi ya msikiti kusini mwa Ufilipino.
Habari ID: 3471826 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/02/01
TEHRAN (IQNA)- Katika wakati huu wa kukaribia maadhimisho ya miaka 40 ya ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu, Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Sayyid Ali Khamenei mapema leo asubuhi mjini Tehran amefanya ziara katika Haram toharifu ya Imam Khomeini MA, mwasisi wa Jamhuri ya Kiislamu na mbali na kuswali katika Haram hiyo na kumsomea Faatiha, amemuombea dua za kheri mwanachuoni huyo mkubwa wa zama hizi.
Habari ID: 3471825 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/01/30
Waziri Mkuu Mahathir Mohamad
TEHRAN (IQNA)-Waziri Mkuu wa Malaysia Mahathir Mohammad amesisitiza Jumatatu kuwa nchi yake inashikilia msimamo wake wa kuwazuia raia wa utawala haramu wa Israel kuingia nchini humo huku akiitaja Israel kuwa utawala wa kihalifu.
Habari ID: 3471824 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/01/29
TEHRAN (IQNA)- Waislamu nchini Kenya wamelaani vikali uamuzi wa Mahakama ya Kilele kuidhinisha marufuku ya vazi la Hijabu katika shule nchini humo huku baadhi ya viongozi wakiwataka wasichana Waislamu wapuuze uamuzi huo.
Habari ID: 3471823 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/01/28
TEHRAN (IQNA)- Zaidi ya watu 30 kutoka nchi mbali mbali wameukumbatia Uislamu maishani baada ya kutembelea Haram Takatifu ya Bibi Masoomah SA katika mji mtakatifu wa Qum nchini Iran katika kipindi cha mwaka moja uliopita.
Habari ID: 3471821 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/01/27
TEHRAN (IQNA)- Ajuza mwenye umri wa miaka 75 nchini Saudi Arabia amefanikiwa kuhifadhi Qur'ani Tukufu kikamilifu.
Habari ID: 3471820 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/01/27
TEHRAN (IQNA)-Fainali ya Mashindano ya 22 ya Qur'ani ya Sharjah katika Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) yameanza mjini humo Ijumaa.
Habari ID: 3471819 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/01/26
TEHRAN (IQNA)- Hatimaye utawala wa Marekani umelazimika kumuachulia huru bila kumfugulia mashtaka mtangazaji wa Press TV, Bi. Marzieh Hashemi baada ya kumshikilia kizuizini kinyume cha sheria kwa muda wa siku 11.
Habari ID: 3471818 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/01/24
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA) - Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Sayyid Ali Khamenei ametilia mkazo kuutazama kila mara kwa jicho baya ushauri wa Wamagharibi, na akafafanua kwa kusema: Nchi za Magharibi, ambazo leo hii zimepata maendeleo mengi katika elimu na sayansi mpya, zimetenda jinai nyingi pia dhidi ya mataifa katika zama zote za historia.
Habari ID: 3471817 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/01/24
TEHRAN (IQNA)- Jeshi la utawala haramu wa Israel limeua zaidi ya Wapalestina 254 na kuwajeruhi wengine wasiopungua 23,000 tokea yaanze 'Maandamano Makubwa ya Haki ya Kurejea' ambayo yalianza kufanyika kila Ijumaa kuanzia Machi 30 mwaka 2018.
Habari ID: 3471816 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/01/23
TEHRAN (IQNA)-Msikiti wa Jamia katika mji mkuu wa Russia, Moscow, umeanzisha mpango maalumu wa kusoma (qiraa) Qur'ani Tukufu kwa muda wa masaa 24 kila siku.
Habari ID: 3471815 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/01/22
TEHRAN (IQNA)-Mhubiri mashuhuri Saudi Arabia, Ahmed al-Amari, amefariki mjini Jeddah, Saudi Arabia.
Habari ID: 3471813 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/01/21
TEHRAN (IQNA)- Kongamano la Kimataifa la Baraza Kuu la Masuala ya Kiislamu limefanyika nchini Misri na kuwaleta pamoja wawakilishi wa nchi 40.
Habari ID: 3471812 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/01/20
TEHRAN (IQNA)- Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amekosoa vikali hatua ya Myanmar kuendelea Waislamu wa jamii ya Rohingya kurejea nchini humo.
Habari ID: 3471811 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/01/19
TEHRAN (IQNA)- Mashirika ya kutetea haki za raia nchini Marekani yamemlaani rais Donald Trump wa nchi hiyo kwa kumteua mtu mwenye chuki dhidi ya Uislamu kuwa naibu mshauri wa usalama wa taifa.
Habari ID: 3471810 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/01/18
TEHRAN (IQNA)-Maafisa wa usalama wa Marekani wamemkamata mtangazaji mashuhuri wa Televisheni ya Press TV Bi. Marzieh Hashemi ambapo wamemvua hijabu yake na kumlisha nyama ya nguruwe.
Habari ID: 3471809 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/01/17
TEHRAN (IQNA)- Magaidi wakufurishaji wa kundi la Al Shabab Jumanne walihujumu hoteli ya kifahari mjini Nairobi, Kenya na kuua watu 21.
Habari ID: 3471808 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/01/16