iqna

IQNA

TEHRAN (IQNA) – Wizara ya Wakfu na Masuala ya Kiislamu Qatar imetangaza uamuzi wa kufungua tena vituo vya kufunza Qur’ani Tukufu nchini humo.
Habari ID: 3473581    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/01/22

TEHRAN (IQNA) – Baadhi ya weledi wa mambo wanaamini kuwa kurejeshwa uhusiano wa Saudi Arabia na Qatar ni hatua ya awali katika nchi hizo mbili kuaunzisha uhusiano wa kawaida na utawala wa Kizayuni wa Israel.
Habari ID: 3473534    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/01/07

TEHRAN (IQNA) – Qatar imesema katu haitafuata nyao za majirani zake yaani tawala za Bahrain na Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) ambazo zimeanzisha uhusiano wa kawaida na utawala haramu wa Israel.
Habari ID: 3473172    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/09/15

TEHRAN (IQNA)- Qatar imefadhili ujenzi wa kituo cha elimu na miradi kadhaa ya maendeleo katika mji wa Kismayo nchini Somalia.
Habari ID: 3472882    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/06/20

TEHRAN (IQNA)- Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema Iran inafuatilia kwa karibu sana nyendo za Marekani na kuongeza kuwa: "Iran katu haiitakuwa muanzishaji wa taharuku na mapigano katika eneo."
Habari ID: 3472701    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/04/25

TEHRAN (IQNA)- Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amefanya mazungumzo ya simu na mawaziri wa mambo ya nje wa Uturuki na Qatar kuhusu matukio ya hivi karibuni kuhusu mgogoro wa kisiasa nchini Afghanistan.
Habari ID: 3472663    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/04/13

TEHRAN (IQNA) – Warsha ya 'Mazingira kwa Mtaamo wa Qur'ani Tukufu na Sunnah ya Mtume Muhammad SAW imefanyika nchini Qatar.
Habari ID: 3472487    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/02/19

Kiongozi Muadhamu katika mkutano na Amir wa Qatar:
TEHRAN (IQNA) - Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Khamenei amesema: Mazingira ya eneo yalivyo hivi sasa yanahitaji zaidi kuliko ya kabla yake kuimarishwa mawasiliano kati ya nchi za eneo na kutokubali kuathiriwa na chokochoko za maajinabi.
Habari ID: 3472366    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/01/13

TEHRAN (IQNA) – Washindi wa Duru ya 26 ya Mashindano ya Qur'ani ya Sheikh Jassim bin Mohammed bin Thani nchini Qatar wametunukiwa zawadi katika hafla iliyofanyika Jumatatu.
Habari ID: 3472253    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/12/03

TEHRAN (IQNA)- Wananchi wa Qatar hawataweza kutekeleza Ibada ya Hija kwa mwaka wa pili mfululizo kutokana na idadi kubwa ya vizingiti ambavyo vimewekwa na utawala wa Saudi Arabia.
Habari ID: 3471626    Tarehe ya kuchapishwa : 2018/08/12

TEHRAN (IQNA)- Duru ya 25 ya Mashidano ya Qur’ani ya Watoto wa kike na kiume yameanza nchini Qatar Mei 18.
Habari ID: 3471522    Tarehe ya kuchapishwa : 2018/05/20

TEHRAN (IQNA)-Utawala wa Saudi Arabia unawazuia raia wa Qatar kutekeleza Ibada ya Umrah katika miji mitakatifu ya Makkah na Madinah.
Habari ID: 3471345    Tarehe ya kuchapishwa : 2018/01/07

TEHRAN (IQNA)-Wanafunzi wapatao 14,000 hadi sasa wamejisajili kushiriki katika awamu ya 57 ya Mashindano ya Qurani katika shule za Qatar.
Habari ID: 3471304    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/12/11

TEHRAN (IQNA)-Taasisi ya Misaada ya Qatar imesambaza nakala 4,000 za Qur'ani Tukufu zenye hati ya Braille ambayo hutumiwa na watu wenye ulemavu wa macho.
Habari ID: 3471220    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/10/17

TEHRAN (IQNA)- Hatimaye baada ya mashinikizo, Saudi Arabia imeafiki kufungua mpaka wake wa pamoja wa ardhini na Qatar kuruhusu mahujaji kutoka nchi hiyo kuelekea kwenye ardhi tukufu za Makka na Madina kwa ajili ya kutekeleza ibada ya Hija ya mwaka huu.
Habari ID: 3471128    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/08/18

TEHRAN (IQNA)-Kufuatia nchi kadhaa za Kiarabu zikiongozwa na Saudia na Umoja wa Falme za Kiarabu UAE kukata uhusiano na Qatar, washiriki wa Qatari na Somalia wametimuliwa katika mashindano ya Qur’ani ya Dubai.
Habari ID: 3471018    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/06/13

TEHRAN (IQNA) Baada ya Saudi Arabia, Misri, Imarati na Bahrain kukatika uhusiano na Qatar, wizara ya mambo ya nje wa Qatar imekosoa hatua hiyo.
Habari ID: 3471008    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/06/05

IQNA-Jumba la Makumbusho la Qatar ambalo lina mkusanyiko mkubwa zaidi za sarafu za Kiislamu duniani limeandaa maonyesho yenye sarafu muhimu zaidi ya Kiislamu duniani.
Habari ID: 3470894    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/03/14

IQNA-Hafidh wa Qur'ani Tukufu kutoka nchini Kuwait ametangazwa mshindi wa mashindano ya kimataifa ya Qur'ani yaliyopewa jina la 'Bingwa wa Mabingwa' nchini Qatar.
Habari ID: 3470723    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/12/08

IQNA-Qatar imeandaa mashindano maalumu ya Qur'ani ya walioshika nafasi za kwanza katika mashindano ya kimataifa ya Qurani dunaini.
Habari ID: 3470705    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/11/29