iqna

IQNA

IQNA – Video ya Tarteel ya Qur’an iliyosomwa na shahidi Hammam al-Hayya, mwana wa mkuu wa ofisi ya kisiasa ya Hamas, Khalil al-Hayya, ambaye aliuawa shahidi hivi karibuni nchini Qatar, imesambazwa mtandaoni.
Habari ID: 3481244    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/09/16

Taarifa ya Kikao cha Doha
IQNA – Viongozi wa nchi za Kiarabu na Kiislamu wamelaani vikali mashambulizi ya anga yaliyofanywa na utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya mji mkuu wa Qatar, Doha, wakionya kuwa hatua hiyo inahatarisha amani ya kikanda na wakitoa wito kwa jumuiya ya kimataifa kuchukua hatua madhubuti.
Habari ID: 3481240    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/09/16

Katika Kikao Nchi za Kiislamu Doha
IQNA-Katika kilele cha dharura cha nchi za Kiarabu na Kiislamu kilichofanyika jijini Doha, Rais wa Iran, Masoud Pezeshkian, alitoa onyo kali kuhusu mashambulizi ya Israeli ya Septemba 9 dhidi ya Qatar, akisema kuwa tukio hilo linaonyesha wazi kuwa hakuna nchi ya Kiarabu au Kiislamu iliyo salama dhidi ya uchokozi wa utawala wa Tel Aviv.
Habari ID: 3481239    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/09/15

Mtazamo
IQNA – Shambulizi la hivi karibuni la utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Qatar limethibitisha usahihi wa sera za Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kwa kipindi cha miaka 45 iliyopita, hususan kuhusu msimamo wa kutokufanya maridhiano na utawala wa Tel Aviv. Hayo ni kwa mujibu wa mtaalamu wa masuala ya Asia ya Magharibi.
Habari ID: 3481228    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/09/14

IQNA – Katibu Mkuu wa harakati ya Kiislamu ya kupigania ukombozi ya Hizbullah nchini Lebanon amelaani shambulizi la hivi karibuni la Israel dhidi ya mji wa Doha nchini Qatar, akieleza kuwa tukio hilo ni sehemu ya mpango unaojulikana kama ‘Israel Kubwa’.
Habari ID: 3481219    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/09/12

IQNA-Ndege za kivita za Israel zimetekeleza mashambulizi ya anga dhidi ya makao makuu ya harakati za upinzani za Hamas katika mji mkuu wa Qatar, Doha, katika kile vyombo vya habari vya Israel vilikitaja kama “operesheni ya mauaji ya kisiasa.”
Habari ID: 3481212    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/09/10

IQNA-Rais Masoud Pezeshkian wa Iran ameulaani vikali utawala haramu wa Israel kwa kitendo chake 'haramu, cha kinyama na kinacholenga kuvuruga amani ya eneo,' baada ya utawala huo wa Kizayuni kushambulia ardhi ya Qatar na kuwaua shahidi viongozi kadhaa wa Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina Hamas.
Habari ID: 3481211    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/09/10

IQNA – Wizara ya Awqaf na Masuala ya Kiislamu nchini Qatar inaendesha darasa maalum la kiangazi la Qur’ani Tukufu kwa lengo la kuimarisha uwezo wa kuhifadhi na kusoma Qur’ani miongoni mwa wanafunzi.
Habari ID: 3481027    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/08/01

IQNA – Wanafunzi thelathini wa Qatar wameshiriki katika kozi ya majira ya joto ya wiki tatu iliyoandaliwa na Kituo cha Elimu ya Qur'ani cha Al Noor kwa lengo la kuboresha kuhifadhi Qur'ani Tukufu na kukuza ujuzi wa kielimu.
Habari ID: 3480998    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/07/25

IQNA – Mafunzo ya Qur'ani ya asubuhi wakati wa kiangazi yanatarajiwa kufanyika katika vituo 14 vya Qur'ani kote nchini Qatar kuanzia Jumapili.
Habari ID: 3480947    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/07/15

IQNA – Hafla ya kila mwaka ya Idara ya Qur’an Tukufu na Sayansi Zake kwa ajili ya kuwaheshimu wanafunzi wa Qur’an imefanyika katika mji mkuu wa Qatar, Doha.
Habari ID: 3480870    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/06/29

IQNA – Toleo la tatu la Mashindano ya Kimataifa ya Ulaya ya Kuhifadhi Qur’ani kwa washiriki wa umri mkubwa limehitimishwa mjini Rijeka, Croatia, ambapo Muhammad Abdi kutoka Sweden (Uswidi) alitwaa nafasi ya kwanza.
Habari ID: 3480717    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/05/21

IQNA – Watu wawili kutoka Morocco wamepata nafasi za juu katika Mashindano ya 8 ya Katara ya Usomaji wa Qur'ani, yaliyofanyika nchini Qatar
Habari ID: 3480466    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/03/29

IQNA – Watoto wadogo waliochukua walioshika nafasi za juu katika toleo la 30 la Mashindano ya Qur'ani ya Sheikh Jassim bin Mohammed bin Thani nchini Qatar wameitunukiwa tuzo.
Habari ID: 3480416    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/03/22

IQNA – Jumla ya misikiti 2,385 nchini Qatar imeandaliwa kupokea waumini kwa ajili ya mwezi mtukufu wa Ramadhani kuanzia Jumamosi ijayo, ambapo matukio na shughuli mbalimbali maalum zitaandaliwa chini ya kaulimbiu "Utiifu na Msamaha".
Habari ID: 3480271    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/02/26

Mashindano ya Qur'ani
IQNA - Mashindano ya Qur'ani ya Sheikh Jassim ya Qatar yamefungwa Jumatano na washindi wakuu wakipokea zawadi kwa mafanikio yao.
Habari ID: 3479866    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/12/06

Diplomasia
IQNA-Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amefanya mazungumzo ya simu na Amir wa Qatar na kusisitiza kuwa, kuenea machafuko na vitendo vya kigaidi nchini Syria si kwa manufaa ya nchi yoyote ya eneo hili, hivyo ni wajibu wa nchi zote kushirikiana kupambana na vitendo hivyo vya kigaidi.
Habari ID: 3479847    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/12/03

Mashindano ya Qur'ani
IQNA - "Ipambeni Qur'ani kwa Sauti Zeni" itakuwa kauli mbiu ya Tuzo ya 8 ya Katara ya Kusoma Qur'ani Tukufu nchini Qatar.
Habari ID: 3479770    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/11/18

IQNA - Mwandishi wa kaligrafia wa Syria Ubaidah Muhammad Salih Al-Banki alielezea amesema kuwa na fursa ya kuandika kaligrafia Mus’haf (Msahafu) kama baraka ya Mwenyezi Mungu na chanzo kikubwa cha heshima.
Habari ID: 3478839    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/05/17

Wanawake
IQNA - Operesheni ya ujenzi wa kituo cha Kiislamu na Qur'ani kwa wanawake ilianza katika sherehe nchini Qatar.
Habari ID: 3478754    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/05/01