iqna

IQNA

qatar
Mashindano ya Qur'ani
IQNA - Washindi wa  mashindano ya kimataifa ya Qur’ani yajulikanayo kama Tuzo ya Kuhifadhi Qur'ani ya Katara 2024 walitunukiwa katika hafla iliyofanyika Doha, Qatar, Ijumaa.
Habari ID: 3478642    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/04/07

Turathi ya Kiislamu
IQNA - Miongoni mwa vitu vinavyoonyeshwa kwenye Maktaba ya Kitaifa ya Qatar ni nakala adimu ya Qur'ani Tukufu kutoka Morocco.
Habari ID: 3478442    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/03/03

Mashindano ya Qur'ani
IQNA - Zaidi ya wasomaji au maqari 1,300 wamejiandikisha kushiriki Mashindano ya 7 ya Tuzo ya Kuhifadhi Qur'ani ya Katara
Habari ID: 3478145    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/01/04

Mafunzo ya Qur'ani
DOHA (IQNA) – Toleo la 60 la Mashindano ya Kitaifa ya Qur'ani Tukufu Qatar kwa wanafunzi wa shule yanaendelea katika nchi hiyo ya Kiarabu. Zaidi ya wavulana na wasichana 22,000 wanashiriki katika toleo hili la tukio la Qur'ani.
Habari ID: 3477893    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/11/15

Jinai za Israel
AL-QUDS (IQNA) – Kitendo cha jinai cha Israel cha kulipua makao makuu ya Kamati ya Qatar ya Kujenga upya Gaza kimelaaniwa vikali na mataifa na jumuiya nyingi za Kiarabu na Kiislamu.
Habari ID: 3477888    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/11/14

Mashindano ya Qur''ani
TEHRAN (IQNA) – Qari wa Misri ametwaa taji la toleo la pili la mashindano ya kimataifa ya Qur'ani ya "Awal Al Awail" nchini Qatar.
Habari ID: 3477886    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/11/13

Diplomasia
TEHRAN (IQNA)- Rais Ebrahim Raisi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza katika mazungumzo ya simu aliyofanya na Amir wa Qatar Sheikh Tamim bin Hamad bin Khalifa Al Thani kwamba, leo taifa la Palestina linahitaji zaidi uungaji mkono athirifu wa walimwengu na hasa wa nchi za Kiislamu kuliko wakati wowote ule.
Habari ID: 3477809    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/10/29

Chuki dhidi ya Uislamu
TEHRAN (IQNA) -Mkutano wa kimataifa kuhusu chuki dhidi ya Uislamu (Islamophobia) umefanyika nchini Qatar huku mmoja wa waandalizi wake akitoa wito kwa juhudi za pamoja za kukabiliana na ongezeko la chuki dhidi ya Uislamu na athari zake "haribifu".
Habari ID: 3477683    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/10/02

Chuki dhidi ya Uislamu
DOHA (IQNA) - Qatar itakuwa mwenyeji wa mkutano wa kimataifa wa kujadili kukabiliana na chuki dhidi ya Uislamu (Islamophobia) kwa namna zote na kuchunguza sababu za kuongezeka kwa chuki hizo.
Habari ID: 3477663    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/09/28

Turathi
TEHRAN (IQNA) – Msikiti nchini Qatar wenye mnara wa kipekee unaoegemea unazidi kuzingatiwa mtandaoni na kuwa kivutio cha watalii.
Habari ID: 3477075    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/05/31

TEHRAN (IQNA) - Kituo cha Kamila al-Kuwari ni kitovu kikuu cha shughuli za Qur'ani kwa wanawake katika mji mkuu wa Qatar, Doha.
Habari ID: 3477036    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/05/23

Mashindano ya Qurani
TEHRAN (IQNA) – Qari wa Kiirani ameshika nafasi ya kwanza katika toleo la sita la Tuzo ya Katara ya Kuhifadhi Qur’ani nchini Qatar.
Habari ID: 3476633    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/02/27

Kadhia ya Palestina
TEHRAN (IQNA) - Balozi wa Qatar katika Umoja wa Ulaya na muungano wa kijeshi wa NATO amesisitiza uungaji mkono wa nchi yake kwa ukombozi wa Palestina.
Habari ID: 3476463    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/25

Mashindano ya Qur'ani
TEHRAN (IQNA)- Taasisi ya Kijiji cha Utamaduni (Katara) nchini Qatar imetangaza Jumanne kwamba washiriki 1273 watawakilisha nchi 67 za Kiarabu na za kimataifa watashindania toleo la sita la "Tuzo ya Katara ya Kusoma Qur'ani Tukufu".
Habari ID: 3476283    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/12/21

Kombe la Dunia Qatar
TEHRAN (IQNA) - Maelfu ya mashabiki Waislamu waliohudhuria mechi ya Morocco dhidi ya Ufaransa nchini Qatar walikariri tamko la Kiislamu la imani, au shahada, siku ya Jumatano, na kutuma ujumbe kwa Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron aliyekuwa uwanjani hapo.
Habari ID: 3476258    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/12/16

Kombe la Dunia la Qatar
TEHRAN (IQNA)-Mchezaji wa Timu ya Taifa ya Soko ya Morocco, Abdel Razzaq Hamdallah hivi karibuni ameonekana akisoma Qur'ani Tukufu.
Habari ID: 3476224    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/12/09

Kombe la Dunia Qatar
TEHRAN (IQNA) - Mtaalamu mmoja anasema maandalizi "ya kuvutia" ya Qatar ya Kombe la Dunia la FIFA la 2022 yamebatilisha juhudi za nchi za Magharibi za kuonyesha picha mbaya ya Waislamu na Waarabu ambapo daima wamekuwa wakihusishwa na ugaidi na machafuko.
Habari ID: 3476176    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/11/30

Kombe la Dunia Qatar
TEHRAN (IQNA) – Msikiti Mkuu wa Katara (Msikiti wa Bluu) ni miongoni mwa vivutio vingi katika Kijiji cha Utamaduni cha Katara huko Doha, Qatar, ambacho sasa ni kivutio kikuu kwa watalii wakati wa Kombe la Dunia nchini humo.
Habari ID: 3476165    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/11/28

Kombe la Dunia la Qatar
TEHRAN (IQNA) - Mufti mkuu wa Oman amewashukuru Waislamu na wale wote ambao wamekataa kuzungumza au kuhojiwa na na waandishi wa habari wa utawala wa Kizayuni wa Israel wakati wa Kombe la Dunia la 2022 linaloendelea nchini Qatar.
Habari ID: 3476163    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/11/28

Kombe la Dunia la Qatar
TEHRAN (IQNA) – Mashabiki wa soka wa Waislamu ndani na nchi na kutoka mataifa mengine duniani walihudhuria Sala ya Ijumaa mjini Doha, Qatar huku Kombe la Dunia la kwanza katika nchi ya Kiislamu likiendelea.
Habari ID: 3476152    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/11/26