iqna

IQNA

Rais wa Iran na Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu wametoa ujumbe tofauti kufuatia kuuawa shahidi Brigedia Jenerali Hussein Hamedani katika vita dhidi ya magaidi na kutoa mkono wa pole kwa wananchi wa Iran.
Habari ID: 3383361    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/10/09

Rais Hassan Rouhani
Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, lazima ukweli wa maafa ya Mina, Saudia ubainishwe kupitia tume ya uchunguzi itakayosimamiwa na nchi za Kiislamu.
Habari ID: 3377977    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/10/03

Rais Rouhani wa Iran
Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema, ukosefu wa busara na tadbiri katika utawala wa Saudia ndio chanzo cha mahujaji kupoteza maisha kidhulma.
Habari ID: 3374466    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/09/29

Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran pamoja na Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu wametuma salamu za Idi kwa viongozi pamoja na wananchi wa mataifa ya Kiislamu kwa mnasaba wa kuwadia Idul-Adh’ha.
Habari ID: 3366926    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/09/24

Rais Hassan Rouhani
Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema mapema leo kuwa jeshi la ulinzi la taifa hili ni kikosi kikubwa zaidi cha kupambana na ugaidi duniani.
Habari ID: 3366347    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/09/22

Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ametuma salamu za rambi rambi kufuatia ajali ya kusikitisha katika mji Mtakatifu wa Makka siku ya Ijumaa.
Habari ID: 3361981    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/09/13

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullahil Udhma Sayyid Ali Khamenei amezikosoa baadhi ya nchi za Ulaya kwa kufuata kibubusa sera za kiadui za Marekani kuhusiana na Iran.
Habari ID: 3360658    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/09/09

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesisitizia ulazima wa kuweko mazalisho ya Kiislamu yenye umakini na mvuto kwa ajili ya kutumwa kwenye mitandao ya Intaneti.
Habari ID: 3360447    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/09/08

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesisitiza juu ya udarura wa wananchi na viongozi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kuwa macho mbele ya njama za maadui.
Habari ID: 3353086    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/08/27

Rais Hassan Rouhani wa Iran
Rais Rouhani amesisitiza kuwa, njia pekee ya kukabiliana na changamoto hizo ni kurejea kwenye umoja wa Waislamu duniani na kujitenga na mirengo iliyopotoka.
Habari ID: 3344480    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/08/15

Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amewatumia ujumbe viongozi wa nchi za Kiislamu akimshukuru Mwenyezi Mungu Mtukufu kwa kukamilisha mfungo wa mwezi wa Ramadhani.
Habari ID: 3329111    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/07/18

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amepongeza na kushukuru juhudi, mapambano ya dhati na umakini wa timu ya mazungumzo ya nyuklia ya Iran.
Habari ID: 3328599    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/07/15

Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amelaani hujuma ya hivi karibuni ya kigaidi dhidi ya msikiti nchini Kuwait.
Habari ID: 3320677    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/06/28

Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, ametaka kuimarishwa ushirikiano, umoja na udugu wa kidini baina ya nchi zote za Kiislamu duniani.
Habari ID: 3316509    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/06/20

Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema madola ya kigeni na kibeberu hayataweza kuilazimisha Syria ifuate matakwa yao.
Habari ID: 3310591    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/06/02

Rais Hassan Rouhani
Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amefungua rasmi awamu ya 32 ya Mashindano ya Kimataifa ya Qur’ani Tukufu ya Iran na kusema hivi sasa jamii za Kiislamu zinapaswa kutekeleza mafundisho ya Qur’ani kikamilifu.
Habari ID: 3304080    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/05/16

Rais Hassan Rouhani
Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, hujuma ya kinyama ya Saudi Arabia katika jirani ya Yemen ni kosa la kistratejia.
Habari ID: 3277848    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/05/10

Tehran (IQNA)-Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amemtunuku zawadi msichana Muirani mwenye umri wa miaka 8 aliyehifadhi kikamilifu Qur'ani Tukufu.
Habari ID: 2985092    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/03/15

Kuuliwa vijana watatu wanachuo Waislamu katika jimbo la Carolina Kaskazini nchini Marekani ni kitendo kinachopaswa kulaaniwa na ni kiashiria kingine cha hatari kubwa ya kuenea kwa vitendo vya ukatili na uchupaji mipaka.
Habari ID: 2858484    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/02/16

Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema malengo na misingi ya Mapinduzi ya Kiislamu haiwezi kubadilika.
Habari ID: 2840031    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/02/11