Jinai za Israel
TEHRAN (IQNA)- Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (OIC) imeitisha mkutano wa dharura kujadili hali ilivyo katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu, baada ya askari wa utawala haramu wa Israel kuvamia Msikiti wa al-Aqsa mjini Quds (Jerusalem) na kuwalenga waumini wa Kipalestina kwa guruneti.
Habari ID: 3476827 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/04/07
Jinai za Israel
TEHRAN (IQNA)- Msemaji wa Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, hujuma na shambulio la kinyama la vikosi vya utawala ghasibu vya Kizayuni dhidi ya waumini wa Kipalestina waliokuwa katika ibada ya itikafu katika msikiti wa Al-Aqsa kwa mara nyingine imeweka bayana sura ya kinyama na kikatili ya utawala huo na ukiukaji wa haki za binadamu.
Habari ID: 3476814 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/04/05
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA)-Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema kuwa, matukio ya kisiasa ulimwenguni yamekuwa yakitokea kwa kasi na wakati huo huo yamekuwa katika mkondo wa kudhoofisha kambi ya maadui wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
Habari ID: 3476813 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/04/05
Ukombozi wa Palestina
TEHRAN (IQNA)- Mwenyekiti wa Makao Makuu ya Intifadha na Siku ya Kimataifa ya Quds nchini Iran amesema nara na kaulimbiu ya Siku ya Kimataifa Quds mwaka huu ni : "Palestina ni mhimili wa Umoja wa Ulimwengu wa Kiislamu na Quds (Jerusalem) Inakaribia Kukombolewa."
Habari ID: 3476811 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/04/04
Ushirikiano wa Kiislamu
TEHRAN (IQNA) - Kituo cha Utamaduni cha Iran mjini Kampala, mji mkuu wa Uganda, kimetia saini mkataba wa maelewano (MoU) na Idhaa ya Kiislamu ya Bilal ya nchi hiyo ya kuhusu ushirikiano katika nyanja za kitamaduni.
Habari ID: 3476807 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/04/03
Kukabiliana na maadui wa Uislamu
TEHRAN (IQNA) - Yemen imepiga marufuku kuingia kwa bidhaa zinazozalishwa na nchi za Ulaya ambazo zimewezesha kuvunjiwa heshima Qur'ani Tukufu, ambapo kiongozi wa harakati ya muqawama ya Ansarullah ameitaja hatua wanayochukua kuwa ni "vikwazo vya kiuchumi".
Habari ID: 3476802 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/04/02
Sera za Kigeni Iran
TEHRAN (IQNA)- Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran ametangaza kuwa, atakutana na Waziri wa Mambo ya Nje wa Saudi Arabia mnamo siku chache zijazo na akasema: "tulikubaliana kuwa jumbe za kiufundi za pande zote mbili zitembelee balozi na balozi ndogo na kufanya maandalizi ya kivitendo ya kufunguliwa tena balozi hizo."
Habari ID: 3476727 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/03/19
Uhusiano wa nchi za Kiislamu
TEHRAN (IQNA)- Katibu wa Baraza Kuu la Usalama wa Taifa la Iran amesisitiza stratejia isiyobadilika ya sera za nje za Jamhuri ya Kiislamu kuhusu ushirikiano wa pande zote, endelevu na wenye manufaa na maj iran i zake na kusema: ili kuondokana na changamoto zilizopo ambazo kuendelea kwake hakuna maslahi kwa nchi yoyote katika eneo hili, ni lazima ushirikiano na mshikamano vichuke nafasi ya mifarakano na uhasama.
Habari ID: 3476719 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/03/17
Khatibu wa Sala ya Ijumaa Tehran
TEHRAN (IQNA)- Khatibu wa Sala ya Ijumaa ya wiki hii mjini Tehran amesisitiza kuwa: adui amefanya makosa katika hesabu zake huku taifa la Iran likichagua mantikiya Mapinduzi ya Kiislamu.
Habari ID: 3476717 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/03/17
Sera za Kigeni
TEHRAN (IQNA)- Ofisi ya Uwakilishi wa Kudumu ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika mashirika ya kimataifa yaliyo na makao makuu yao mjini New York Marekani, imeandika kwa mnasaba wa Siku ya Kimataifa ya kupambana na Chuki dhidi ya Uislamu (Islamophobia) kwamba: "Iran inasisitiza mshikamano wake kamili na wahanga wa mashambulio yanayochochewa na chuki dhidi ya Uislamu kote duniani."
Habari ID: 3476716 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/03/16
Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran
TEHRAN(IQNA)-Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema: Leo hii ambapo maadui wanataka kuenenza fikra na mienendo ya ujahilia mamboleo katika jami, ni damu safi ya mashahidi ndiyo inayoondoa na kukabiliana na ujahilia huo.
Habari ID: 3476704 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/03/14
Ulimwengu wa Kiislamu
TEHRAN (IQNA)-Mhadhiri mwenye makao yake nchini Uingereza anasema Washington na Tel Aviv "zilishangazwa" baada ya Tehran na Riyadh kutangaza kuanzisha tena uhusiano wa kidiplomasia siku ya Ijumaa.
Habari ID: 3476698 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/03/12
Ulimwengu wa Kiislamu
TEHRAN (IQNA)- Makundi mbalimbali ya kieneo yamekaribisha makubaliano ya kurejesha tena uhusiano kati ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Ufalme wa Saudi Arabia.
Habari ID: 3476692 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/03/11
Ujumbe wa Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi kwa mataifa yanayozungumza Kihispania
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesisitiza katika salamu zake kwa mataifa yanayozungumza Kihispania juu ya kuzidi kujuana na kushirikiana mataifa yanayotetea haki na uadilifu.
Habari ID: 3476691 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/03/11
Ulimwengu wa Kiislamu
TEHRAN (IQNA)-Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Saudi Arabia zimefikia makubaliano ya kurejesha uhusiano wao wa kidiplomasia na kufungua tena balozi, miaka saba baada ya kuvunjika uhusiano huo kutokana na masuala kadhaa.
Habari ID: 3476685 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/03/10
Rais wa Ebrahim Raisi wa Iran
TEHRAN (IQNA)- Rais Ebrahim Raisi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema Iran iko tayari kuzipatia nchi za Afrika elimu na teknolojia mpya ili kurahisisha ushiriki wa sekta binafsi katika uhusiano wa pande mbili.
Habari ID: 3476678 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/03/08
Mashindano ya Qur'ani ya Iran
TEHRAN (IQNA) - Mtaalamu wa Qur'ani Tukufu kutoka Kuwait ambaye alikuwa katika jopo la majaji wa kitengo cha wanawake cha Mashindano ya 39 ya Kimataifa ya Qur'ani Tukufu ya Iran amesema mashindano hayo yanaweza kuwa mfano wa kuigwa na nchi zingine ambazo huandaa mashindano ya kimataifa ya Qur’ani Tukufu.
Habari ID: 3476619 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/02/24
Mashindano ya Qur'ani ya Iran
TEHRAN (IQNA) – Hafidh wa Qur’ani Tukufu kutoka Gambia amesifu kiwango kizuri na usawa alioushuhudia katika Mashindano ya 39 la Mashindano ya Kimataifa ya Qur’ani Tukufu ya Iran.
Habari ID: 3476617 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/02/24
Mazungumzo ya Uislamu na Ukristo
TEHRAN (IQNA) - Mkuu wa Shirika la Iran la Utamaduni na Mahusiano ya Kiislamu (ICRO) Hujjatul Islam Mohammad Mehdi Imanipour na Patriaki Kirill wa Moscow wamefanya mazungumzo katika mji mkuu wa Russia, Moscow.
Habari ID: 3476612 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/02/23
Rais wa Iran katika shehre za kufunga Mashindano ya Qur'ani
TEHRAN (IQNA) - Rais wa Iran Ebrahim Raisi wa Jamhuri ya Kiislamu Iran amesema Iran inaweza kuwa mji mkuu wa kukuza utamaduni wa Qur'ani Tukufu duniani.
Habari ID: 3476610 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/02/23