iqna

IQNA

Watetezi wa Qur'ani Tukufu
TEHRAN (IQNA)- Mahakama ya Denmark imeamua kupiga marufuku kuvunjiwa heshima Qur'ani Tukufu kufuatia taathira mbaya za hatua hizo.
Habari ID: 3477492    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/08/25

Diplomasia
TEHRAN (IQNA)- Muungano wa kiuchumi wa BRICS wa masoko yanayoibuka duniani umeamua kutoa mialiko ya uanachama kwa mataifa sita.
Habari ID: 3477490    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/08/24

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ya nchini Iran amesema kuwa, Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu la Iran (IRGC) ni taasisi kubwa zaidi ya kupambana na ugaidi duniani ambayo inafanya mambo makubwa ya kupigiwa mfano ambayo majeshi makubwa duniani yanashindwa kuyafanya.
Habari ID: 3477453    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/08/18

Diplomasia
NEW YORK (IQNA)- Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limetoa taarifa inayolaani shambulio la hivi karibuni la kigaidi katika Haram Takatifu ya Hadhrat Ahmad bin Musa (AS) maarufu kama Shah Cheragh mkoani Fars kusini mwa Iran.
Habari ID: 3477449    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/08/17

Hujuma ya kigaidi
TEHRAN (IQNA)- Rais wa Iran Ebrahim Raisi amewaagiza Waziri wa Mambo ya Ndani Ahmad Vahidi na Gavana wa Mkoa wa Fars Mohammad Hadi Imaniyeh wawatambue haraka na kuwaadhibu wahusika wa shambulio la kigaidi katika Haram Takatifu ya Hadhrat Ahmad bin Musa (AS) maarufu kama Shah Cheragh mjini Shiraz kusini mwa Iran.
Habari ID: 3477434    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/08/14

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ameitaja kazi yenye mafanikio na fahari iliyofanywa na Kundi la 86 la Wanamaji wa Jeshi la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ya kuzunguka dunia nzima kuwa ni matokeo ya kazi ngumu, nia thabiti, kujiamini, uwezo wa kubuni, maarifa ya hali ya juu ya kijeshi, uongozi bora na "ujasiri na kusimama imara mkabala wa mashaka ya aina mbalimbali."
Habari ID: 3477391    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/08/06

Turathi za Kiislamu
TEHRAN (IQNA) - Iran imeteua msikiti wake wa Tarikhaneh, ambao ulijengwa takriban miaka 900, kwa ajili ya kuwekwa katika orodha turathi ya Jumuiya ya Kiislamu ya Elimu, Sayansi na Utamaduni (ICESCO).
Habari ID: 3477385    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/08/05

Khatibu wa Sala ya Ijumaa Tehran
TEHRAN (IQNA)- Khatibu wa Sala ya Ijumaa mjini Tehran ameeleza kuwa, wale wanaochoma moto nakala za Qur’ani Tukufu kwa hakika wanajichoma moto wao wenyewe na kusema: Si jambo rahisi kwa kila mtu kujua hakika ya Qur’ani ambayo ni roho na rehema ya Mwenyezi Mungu, na kufanya ukaidi dhidi ya neno la Mungu ni ishara ya roho ya kishetani.
Habari ID: 3477381    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/08/04

Watetezi wa Qur'ani Tukufu
TEHRAN (IQNA)- Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Hossein Amir Abdollahian amewasilisha mapendekezo ya Iran kwa ajili ya kukabiliana na vitendo vya kuvunjiwa heshima Qur'ani Tukufu katika nchi za Ulaya.
Habari ID: 3477369    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/08/01

Watetezi wa Qur'ani Tukufu
TEHRAN (IQNA)- Sheikh wa Al-Azhar wa nchini Misri, akijibu barua ya mkuu wa vyuo vya kidini vya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, ameeleza matumaini yake kuwa msimamo wa pamoja uliochukuliwa na Waislamu hivi karibuni katika kukabiliana na suala la kuvunjiwa heshima Qur'ani Tukufu utakuwa kichocheo cha kutatua tofauti na kuleta umoja baina yao.
Habari ID: 3477367    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/08/01

Muharram 1435
TEHRAN (IQNA)- Mamilioni ya Waislamu katika Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na maeneo mengine ya dunia leo wameshiriki shughuli ya siku ya Ashura ya kukumbuka siku ya kuuliwa shahidi mjukuu wa Mtume Muhammad (SAW), Imam Hussein bin Ali bin Abi Twalib (AS).
Habari ID: 3477351    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/07/28

Watetezi wa Qur'ani Tukufu
TEHRAN (IQNA)-Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa kutoa leseni ya kuidhalilisha na kuivunjia heshima Qur'ani Tukufu ni kinyume na madai ya uhuru wa kusema na ni kielelezo cha "ujinga mamboleo".
Habari ID: 3477331    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/07/24

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema kuwa, kutovukiwa adabu matukufu ya Waislamu hasa Qur'ani Tukufu huko nchini Uswidi ni tukio chungu na ni njama hatari sana akisisitiza kuwa, aliyefanya jinai hiyo lazima aadhibiwe, na maulamaa wote wa Kiislamu wanaafikiana katika hilo.
Habari ID: 3477321    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/07/22

Watetezi wa Qur'ani Tukufu
TEHRAN (IQNA)- Wananchi Waislamu wa Iran leo wamefanya maandamano makubwa maeneo yote ya nchi nzima baada ya Sala za Ijumaa kulaani kuvunjiwa heshima tena Qur'ani Tukufu nchini Uswidi kitendo ambacho kilifanyika kwa ulinzi kamili wa jeshi la polisi la nchi hiyo ya eneo la Skandinavia barani Ulaya.
Habari ID: 3477318    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/07/21

Watetezi wa Qur'ani Tukufu
TEHRAN (IQNA)- Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amemuandikia barua Antonio Guterres, Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, akimtaka achukue msimamo mkali dhidi ya vitendo vya kuvunjiwa heshima Qurani Tukufu.
Habari ID: 3477317    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/07/21

Watetezi wa Qur'ani Tukufu
TEHRAN (IQNA)-Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran imemuita balozi wa Uswidi mjini Tehran kulalamikia hatua ya serikali ya nchi hiyo ya Ulaya Magharibi ya kuruhusu kuvunjiwa heshima Qur'ani Tukufu.
Habari ID: 3477316    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/07/21

Diplomasia
KAMPALA (IQNA)- Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameyashambulia madola ya Maagharibi kutokana na hatua yao ya kutetea vitendo vichafu vya ushoga na mahusiano ya kingono ya watu wa jinsia moja.
Habari ID: 3477275    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/07/13

Katika safari ya Rais Ebrahim Raisi nchini Kenya
NAIROBI (IQNA)- Marais William Ruto wa Kenya na Ebrahim Raisi wa Iran wamesisitiza umuhimu wa kuimarisha uhusiano wa pande mbili katika sekta mbali mbali. Hayo yamebainika katika hotuba za marais hao leo mjini Nairobi baada ya mazungumzo.
Habari ID: 3477268    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/07/12

Diplomasia
TEHRAN (IQNA) Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Sayyid Ebrahim Raisi, anatazamiwa kuanza ziara rasmi ya kuzitembelea nchi tatu barani Afrika ili kuendeleza sera za Jamhuri ya Kiislamu za kuimarisha uhusiano na nchi marafiki.
Habari ID: 3477261    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/07/09

Chuki dhidi ya Uislamu
Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema: Kuivunjia heshima Qur'ani ni kuvunjia heshima na kudunisha ubinadamu na thamani za Kiislamu, na jamii ya Kiislamu haitavumilia suala hilo.
Habari ID: 3477217    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/06/30