Uchaguzi nchini Iran
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Sayyed Ali Khamenei alikuwa wa kwanza kutumbukiza kura yake kwenye sanduku la kupigia kura mapema leo katika kituo cha Husainiya ya Imam Khomeini (MA) mjini Tehran.
Habari ID: 3474017 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/06/18
TEHRAN (IQNA)- Mamilioni ya Wa iran i wakiongozwa na Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Ali Khamenei tangu mapema leo wameelekea kwenye masanduku ya kupigia kura kuchagua Rais wa 13 wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na wawakilishi wao katika Mabaraza ya Kiislamu ya Miji na Vijiji.
Habari ID: 3474016 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/06/18
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema kuwa wanachi wa Iran wataonyesha fahari na heshima ya taifa kwa kushiriki kwa wingi katika uchaguzi wa rais utakaofanyika Ijumaa ijayo.
Habari ID: 3474012 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/06/17
Rais Hassan Rouhani
TEHRAN (IQNA)- Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, uwezo wa vikosi vya Jeshi la Jamhuri ya Kiislamu ni kwa ajili ya kujihami na kutoa jibu litakalomfanya adui ajutie.
Habari ID: 3474005 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/06/14
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema taifa la Iran leo na mustakabali wa mbali linapaswa kulinda kumbukumbu ya Imam Khomeini-Mwenyezi Mungu Amrehemu.
Habari ID: 3473979 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/06/04
Sheikh Issa Qassim
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu nchini Bahrain amesema moja kati ya mafanikio makubwa zaidi ya Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran ni kuundwa mrengo wa muqawama au harakati za mapambano ya Kiislamu na kupata ushindi mrengo huo katika mapambando dhidi ya mfumo wa kibeberu.
Habari ID: 3473978 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/06/04
Sayyid Hassan Khomeini
TEHRAN (IQNA)- Ujumbe muhimu wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran ulikuwa ni kutoa wito kwa dunia ya sasa irejee katika umaanawi na maadili mema.
Habari ID: 3473977 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/06/04
Balozi wa Syria nchini mjini Tehran
TEHRAN (IQNA)- Balozi wa Syria nchini mjini Tehran amesema Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imekuwa nchi yenye nafasi muhimu zaidi katika eneo na pia katika sera za kimataifa na inahusika katika kuibua mfumo mpya ya kimataifa.
Habari ID: 3473976 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/06/03
TEHRAN (IQNA)- Kongamano la Kimataifa la 'Imam Khomeini na Ulimwengu wa Kisasa" linafanyika leo katika Haram ya Imam Khomeini-Mwenyezi Mungu Amrehemu-Kusini mwa Tehran.
Habari ID: 3473975 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/06/03
TEHRAN (IQNA)- Kituo cha Utamaduni cha Jamhuri ya Kiislamu ya Iran nchini Tanzania kimezindua Kanali ya YouTube kwa lugha ya Kiswahili kuhusu sira na fikra za Imam Khomeini-Mwenyezi Mungu Amrehemu, muasisi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
Habari ID: 3473973 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/06/02
Mohammad Javad Zarif
TEHRAN (IQNA)- Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema pamoja na kuwepo kila aina ya njama za madola makubwa ya kibeberu, wananchi wa Iran leo wanasimama kidete na kwa heshima.
Habari ID: 3473972 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/06/02
Rais Hassan Rouhani
TEHRAN (IQNA)- Fikra za Imam Khomeini-Mwenyezi Mungu Amrehemu- kuhusiana na harakati na Mapindizi ya Kiislamu ziliegemea kwa wananchi, amesema Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran
Habari ID: 3473971 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/06/02
TEHRAN (IQNA) – Afisa mwandamizi wa Hilali Nyekundi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema yamkini Iran ikatuma mahujaji wasiozidi 2,000 kutekeleza ibada ya Hija mwaka huu nchini Saudi Arabia.
Habari ID: 3473970 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/06/01
TEHRAN (IQNA)- Washindi wa mashindano ya Qur’ani yaliyofanyika hivi karibuni nchini Uganda wametunukiwa zawadi.
Habari ID: 3473966 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/05/31
TEHRAN (IQNA)- Waziri wa ulinzi wa Iran amesema Wapalestina waliibuka ushindi hivi karibuni katika vita na utawala wa Kizayuni wa Israel kutokana na imani yao kwa Mwenyezi Mungu kwa Allah SWT.
Habari ID: 3473965 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/05/31
Kamanda wa Kikosi cha QUDS cha IRGC
TEHRAN (IQNA) - Kamanda wa Kikosi cha Quds cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) amesema wakati umefika kwa utawala wa Kizayuni wa Israel kuanza kutafakari kuondoka katika ardhi za Palestina unaozikalia kwa mabavu haraka iwezekanavyo.
Habari ID: 3473962 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/05/30
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amewataka wananchi wa Iran wapuuze ushawishi wa watu wanaojaribu kuwakatisha tamaa na wanaowaambia hakuna faida kushiriki katika uchaguzi.
Habari ID: 3473952 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/05/27
TEHRAN (IQNA)- Hivi karibuni kumesambaa klipu ya qarii Mu iran i, Mehdi Adeli, akisema aya za Qur'ani Tukufu nchini Uturuki.
Habari ID: 3473951 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/05/27
TEHRAN (IQNA) - Tume ya Uchaguzi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imetaja majina ya wagombea wa urais katika uchaguzi unaotarajiwa kufanyika mwezi ujao wa Juni humu nchini.
Habari ID: 3473945 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/05/25
TEHRAN (IQNA)- Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa muqawama au mapambano ya mataifa dhidi ya wavamizi ndio njia pekee ya kuwashinda.
Habari ID: 3473944 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/05/25