iqna

IQNA

TEHRAN (IQNA)- Rais Ebrahim Raisi anasema amechagua baraza la mawaziri ili kuboresha uchumi na kupambana na ufisadi.
Habari ID: 3474212    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/08/21

TEHRAN (IQNA) -Rais Ebrahim Raisi wa Jamhuri ya Kiislamu wa Iran amesema kushindwa kijeshi na kuondoka Marekani Afghanistan inapasa kuwe ni fursa ya kufufua maisha, amani na usalama endelevu ndani ya nchi hiyo.
Habari ID: 3474197    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/08/16

TEHRAN (IQNA)- Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema katika kikao cha Kamati ya Kitaifa ya Kupambana na Corona kwamba tayari ameidhinisha kununua dozi milioni 30 za chanjo ya COVID-19.
Habari ID: 3474190    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/08/14

TEHRAN (IQNA)- Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Ali Khamenei amesema, majilisi za Muharram maombolezo ya Bwana wa mashahidi, Imam Hussein AS zinaletaa rehma na baraka za Mwenyezi Mungu.
Habari ID: 3474179    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/08/11

TEHRAN (IQNA)- Kozi ya mafunzo ya kidini imeandaliwa kwa pamoja baina ya Chuo Kikuu cha Dini na Madhehebu cha Iran kwa kushirikiana na Chuo Kikuu cha Ujerumani cha Paderborn.
Habari ID: 3474178    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/08/10

TEHRAN (IQNA)- Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imetoa wito kwa pande zote katika vita nchini Afganistan kusitisha vita na mauaji ya ndugu kwa ndugu sambamba na kufanya mazungumzo ya kutatua mgogoro uliopo huku ikitangaza kuwa tayari kuwa mwenyeji wa mazungumzo hayo.
Habari ID: 3474171    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/08/08

Katika mkutano na Waziri wa Mambo ya Nje wa Nigeria
TEHRAN (IQNA)- Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa Iran na Nigeria zimekuwa zishikishirikiana vyema katika nyanja mbalimbali.
Habari ID: 3474164    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/08/06

TEHRAN (IQNA)- Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuna fursa nyingi na nzuri za kuboresha na kustawisha kiwango cha uhusiano baina ya Iran kwa upande mmoja na Tanzania na Zanzibar kwa upande mwingine.
Habari ID: 3474163    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/08/06

TEHRAN (IQNA)- Sayyid Ibrahim Raisi amekula kiapo jioni ya leo na kuwa rais wa 8 wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kwa kuahidi kwamba atalinda na Mfumo wa Jamhuri ya Kiislamu na Katiba ya nchi kwa nguvu zake zote.
Habari ID: 3474160    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/08/05

TEHRAN (IQNA)- Rais mpya wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa serikali yake inataka kuondolewa vikwazo haramu vilivyowekwa na madola ya kibeberu dhidi ya Iran lakini suala hilo halitafungamanishwa na matakwa ya madola ajinabi.
Habari ID: 3474155    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/08/03

TEHRAN (IQNA)- Sherehe za kuidhinishwa rasmi rais wa 8 wa Iran na Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu zimefanyika leo mchana katika Hussainiya ya Imam Khomeini (MA) mjini Tehran ambapo Ayatullah Khamenei, Kiongozi wa Mapinduzi na viongozi wengine wa ngazi za juu wa Mfumo wa Kiislamu wamehudhuria kwa kuzingatia kikamilifu maelekezo na miongozo ya Wazara ya Afya juu ya kujikinga na virusi vya Covid-19.
Habari ID: 3474153    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/08/03

TEHRAN (IQNA)- Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema mipango na miradi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran haipaswi kufungamanishwa na ushirikiano na nchi za Magharibi, kwani imedhihirika wazi wakati wa kipindi cha serikali inayomaliza muda wake hapa nchini kwamba, kuwategemea Wamagharibi hakuna faida yoyote.
Habari ID: 3474136    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/07/28

TEHRAN (IQNA)- Javad Foroughi, 41, muuguzi katika Hospitali ya Baqiyatullah mjini Tehran amekuwa Mu iran i wa kwanza kushinda medali ya dhahabu katika michezo ya Olimpiki ya Tokyo 2020.
Habari ID: 3474125    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/07/25

TEHRAN (IQNA)- Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amevipa jukumu vyombo vya serikali na visivyo vya serikali kuhakikisha vinashughulikia kwa uzito mkubwa utatuzi wa matatizo na masuala ya wananchi wa mkoa wa Khuzestan, kusini magharibi mwa Iran.
Habari ID: 3474119    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/07/23

TEHRAN (IQNA)- Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ametuma salamu maalumu kwa viongozi wa nchi za Kiislamu kuwatakia kheri na baraka kwa mnasaba wa kuadhimisha Sikukuu ya Mfunguo Tatu ya Idul-Adhha.
Habari ID: 3474116    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/07/21

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu katika ujumbe wa Hija
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema, muqawama ndio njia ya kufidia kubaki nyuma kimaendeleo nchi za Kiislamu na akasisitiza kuwa, eneo lote la Kiislamu ni uwanja wa kusimama kifua mbele muqawama kukabiliana na ukhabithi wa Marekani na washirika wake.
Habari ID: 3474113    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/07/19

TEHRAN (IQNA)- Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Kimataifa ya Kukurubisha Pamoja Madhehebu za Kiislamu amesema, uhusiano na ushirikiano imara baina ya Chuo cha Kidini cha Qum na cha Al Azhar cha Misri unaweza kuwa na matokeo chanya na yenye faida kwa Waislamu duniani katika kupambana na ukufurishaji na misimamo ya kufurutu mpaka.
Habari ID: 3474107    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/07/17

TEHRAN (IQNA)- Iran na Marekani hatimaye zitafikia mapatano ya nyuklia, amesema mhadhiri mwandamizi wa Chuo Kikuu cha George Washington.
Habari ID: 3474099    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/07/14

TEHRAN (IQNA)- Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) Ismail Haniya na Katibu Mkuu wa Harakati ya Jihad Islami ya Palestina Ziad al Nakhala wamempongeza rais mteule wa Iran Sayyid Ebrahim Raeisi kwa ushindi wake katika uchaguzi wa rais.
Habari ID: 3474098    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/07/14

TEHRAN (IQNA)- Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran Mohammad Javad Zarif amesema mauaji ya Waislamu wa katika mji wa Srebrenica ni ukurasa mchafu katika historia ya mwanadamu wa leo.
Habari ID: 3474094    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/07/12