Rais Hassan Rouhani
TEHRAN (IQNA)- Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza kuwa urutubishaji wa madini ya urani kwa kiwango cha asilimia 60 ni jibu kwa vitendo vya shari vya maadui.
Habari ID: 3473813 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/04/14
Spika wa Bunge la Iran
TEHRAN (IQNA) - Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran) ametuma ujumbe wa salamu za pongezi, kheri na baraka kwa Maspika wa Mabunge ya nchi za Kiislamu kwa mnasaba wa kuwadia mfungo wa mwezi mtukuufu wa Ramadhani.
Habari ID: 3473812 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/04/14
Sheikh Naim Qassim
TEHRAN (IQNA)- Naibu Katibu Mkuu wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon amesema kuwa, kuirejesha Marekani katika makubaliano ya nyuklia ya JCPOA kutakuwa ni ushindi kwa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
Habari ID: 3473804 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/04/12
TEHRAN (IQNA)- Majaji wa Mashindano ya Kimataifa ya Qur'ani ya Televisheni ya Al Kauthar ya Iran wametangazwa.
Habari ID: 3473802 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/04/11
TEHRAN (IQNA)-Maonyesho ya Kimataifa ya Qur'ani ya Iran mwaka huu yatafanyika kwa njia ya intaneti kuanzia Mei 1 hadi 10.
Habari ID: 3473801 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/04/11
TEHRAN (IQNA)- Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema, leo tunashuhudia mwanzo mpya wa kuhuishwa mapatano ya kimataifa ya nyuklia ya JCPOA.
Habari ID: 3473792 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/04/07
Spika ya Bunge la Iran
TEHRAN (IQNA)- Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu, Bunge la Iran, amesema kutiwa saini mapatano ya ushirkiano wa Iran na China ni onyo muhimu kwa Marekani na kuongeza kuwa, matukio ya kimataifa yanachukua mkondo wa kasi ambao ni kwa hasara ya Marekani.
Habari ID: 3473781 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/04/04
TEHRAN (IQNA)- Waziri wa Masuala ya Kigeni wa Saudi Arabia amedai kuwa kuanzisha uhusiano wa kawaida na utawala haramu wa Kizayuni wa Israel kuna faida nyingi za kiuchumi, kijamii na kiusalama kwa eneo la Asia Magharibi.
Habari ID: 3473778 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/04/02
Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa vikwazo ni dhulma kubwa dhidi ya taifa la Iran na vinapaswa kuondolewa ameeleza kwamba.
Habari ID: 3473774 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/03/31
TEHRAN (IQNA)- Balozi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran huko China jana Jumanne aliandika katika ukurasa wake wa Twitter kuwa ametembelea mkoa wenye Waislamu wengi nchini humo ambao wakaazi wake wengi Waislamu wa jamii wa Uighur.
Habari ID: 3473773 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/03/31
TEHRAN (IQNA) - Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amejibu azimio dhidi ya Iran lililotolewa na Baraza la Haki za Binadamu la Umoja wa Mataifa na kusisitiza kuwa, nchi zinazokanyaga haki za mataifa ya dunia hazina ustahiki wa kuzungumzia haki za binadamu.
Habari ID: 3473759 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/03/25
TEHRAN (IQNA)- Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imetangaza kuwa Iran inaunga mkono mpango wowote wa kuleta amani Yemen.
Habari ID: 3473756 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/03/23
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ameashiria kadhia ya vikwazo na kusisitiza kuwa, mzingiro wa kiuchumi na vikwazo ni kati ya jinai kubwa za serikali na kadhia hiyo haipaswi kutazamwa kwa jicho la kisiaasa na kidiplomasia.
Habari ID: 3473752 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/03/21
TEHRAN (IQNA)- Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema leo katika ujumbe maalumu kwa mnasaba wa kuwadia mwaka mpya wa Ki iran i wa 1400 Hijria Shamisa kwamba kusimama imara taifa la Iran kumepelekea kushindwa maadui.
Habari ID: 3473751 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/03/20
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ametoa ujumbe maalumu kwa mnasaba wa kuingia leo mwaka wa Ki iran i wa 1400 wa Hijria Shamsia na mbali na kutoa mkono wa baraka za mwaka huo mpya wa Nairuzi amesema: Mwa huu ni wa uzalishaji, uwezeshaji na uondoaji mikwamo na vizuizi.
Habari ID: 3473750 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/03/20
TEHRAN (IQNA)- Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, ulimwengu wa Kiislamu una wajibu wa kupambana vilivyo misimamoo mikali ndani yake. Amesema, ni wajibu wa ulimwengu huo kuunganisha nguvu zake kupambana na watu wenye aidiolojia za chuki na za kuwakufurisha Waislamu wengine.
Habari ID: 3473745 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/03/18
TEHRAN (IQNA)- Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa kufidia makosa yaliyofanywa na serikali iliyopita ya Marekani si kwa manufaa ya Iran tu bali ni kwa maslahi ya Marekani yenyewe , eneo na taasisi za kimataifa.
Habari ID: 3473741 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/03/16
TEHRAN (IQNA)- Mashidano ya 37 ya Kimataifa ya Qur’ani ya Iran ambayo yamefanyika kwa njia ya intaneti yalimalizika Jumatano huku washindi wakitunukiwa zawadi.
Habari ID: 3473727 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/03/11
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema kuwa, sikukuu kubwa ya Mab’ath na kumbukumbu ya kubaathiwa na kupewa Utume Mtume Muhammad SAW ni ya wapigania uadilifu kote ulimwenguni.
Habari ID: 3473726 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/03/11
Rais Rouhani wa Iran
TEHRAN (IQNA)- Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema, Wazayuni na watawala wasiotaka mageuzi katika eneo wanataka vikwazo vya kidhalimu dhidi ya watu wa Iran viendelee.
Habari ID: 3473724 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/03/10