Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA) - Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Ali Khamenei ameashiria hotuba yake ya hivi karibuni kuhusiana na makubaliano ya nyuklia ya JCPOA baina ya Iran na nchi tano za kundi la 5+1 na kusema kuwa: Iwapo upande mwingine utatekeleza makubaliano hayo, Iran pia itatekeleza vipengee vyake, na mara hii Jamhuri ya Kiislamu haitatosheka kwa maneno na ahadi tupu.
Habari ID: 3473659 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/02/17
TEHRAN (IQNA)- Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuyaelewa mafundisho sahihi ya Qurani Tukufu ndio ufunguo wa kuongoka katika njia iliyonyooka tabaka la vijana.
Habari ID: 3473647 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/02/13
TEHRAN (IQNA) – Wafuasi wa dini mbali mbali nchini Iran siku chache zilizopita walijumuika katika maeneo yao ya ibada kuadhimisha mwaka wa 42 wa ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu.
Habari ID: 3473646 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/02/13
TEHRAN (IQNA) - Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) ametoa mkono wa pongezi na kheri kwa Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu na wananchi wa Iran kwa mnasaba wa maadhimisho ya mwaka wa 42 wa ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran.
Habari ID: 3473641 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/02/11
Rais Hassan Rouhani
TEHRAN (IQNA) - Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema: "Kusimama kidete wanachi wa Iran na tadbiri ya serikali ni mambo ambayo yalipelekea serikali iliyopita ya Marekani kushindwa katika sera za vikwazo na mashinikizo ya juu kabisa dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran."
Habari ID: 3473639 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/02/10
TEHRAN (IQNA) - Sambamba na kutimia mwaka 42 tangu Mapinduzi ya Kiislamu yalipopata ushindi nchini Iran chini ya uongozi wa hayati Imam Ruhullah Khomeini, wananchi wa Iran tangu mapema leo asubuhi wameghariki katika sherehe za kuenzi na kuadhimisha tukio hilo ambazo mwaka huu zinafanyika kwa sura tofauti kutokana na sheria kali za kudhibiti maambukizi ya virusi vya Corona.
Habari ID: 3473638 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/02/10
TEHRAN (IQNA) - Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran leo amezindua mpango wa kitaifa wa chanjo ya corona ambapo amempongeza Waziri wa Afya Daktari Saeed Namaki kwa kumdunga mwanae wa kiume chanjo ya kwanza kabisa.
Habari ID: 3473635 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/02/09
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA) - Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesisitiza kuwa, Iran itarejea katika ahadi zake za makubaliano ya nyuklia ya JCPOA pale Marekani itakapoliondolea taifa hili vikwazo vyake vyote tena kivitendo na sio kwa maneno matupu au katika makaratasi tu.
Habari ID: 3473629 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/02/07
Sheikh Naeem Qassem
TEHRAN (IQNA)- Sheikh Naeem Qassem, Naibu Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesema kipaumbele cha serikali ya Marekani ni kulinda maslahi ya utawala haramu wa Israel katika eneo la Asia Magharibi (Mashariki ya Kati)
Habari ID: 3473622 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/02/05
Ayatullah Ramadhani
TEHRAN (IQNA) – Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Kimataifa ya Ahlul Bayt (AS) amesema Imam Khomeini, Mwenyezi Mungu Amrehemu, alihuisha fikra ya Kiislamu ya kupinga ubeberu au ukoloni wakati ambao madola mengi ya kibeberu yalikuwa yanajaribu kusambaratisha kabisa fikra hiyo.
Habari ID: 3473620 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/02/04
Msomi wa Malaysia
TEHRAN (IQNA)- Msomi wa Kiislamu nchini Malaysia amesema Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran yanaweza kuwa kigezo kwa ummah wa Kiislamu duniani katika mapambano dhidi ya udikiteta na ukosefu wa uadilifu.
Habari ID: 3473617 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/02/03
Kiongozi Muadhamu wa mapinduzi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ameashiria tofauti za kimsingi za mtazamo wa Uislamu na ulimwengu wa Magharibi mwa mwanamke na kusema kuwa,Uislamu na Jamhuri ya Kiislamu vinamtazama mwanamke kwa jicho la heshima ilihali mtazamo ulionea Magharibi kuhusu mwanamke ni wa kumtazama kiumbe huyu kama bidhaa na wenzo.
Habari ID: 3473616 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/02/03
TEHRAN (IQNA) - Miaka 42 iliyopita taifa kubwa la Iran huku likiwa limejizatiti kwa imani thabiti na matumaini ya kuwa na mustkabali mzuri, na bila ya kutegemea dola lolote lenye nguvu duniani, lilifanikiwa kuweka nyuma kipindi kigumu na muhimu kwenye historia yake na hatimaye kufanikiwa kufikia kwa kishindo ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu.
Habari ID: 3473613 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/02/02
Rais Rouhani
TEHRAN (IQNA)- Rais Hassan Rouhani amesema kuwa, Imam Khomeini MA, mwasisi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amewaonesha walimwengu rasilimali ya kijamii ya Iran.
Habari ID: 3473611 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/02/01
TEHRAN (IQNA)- Wabunge wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran) leo wamejadidisha kiapo cha utii kwa malengo ya Imam Khomeini, Mwenyezi Mungu Amrehemu, katika Haram ya muasisi huyo wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
Habari ID: 3473610 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/02/01
TEHRAN (IQNA)- Waliofika fainali katika Mashindano ya 37 ya Kimataifa ya Qur'ani Tukufu ya Iran wametangazwa na kamati andalizi.
Habari ID: 3473593 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/01/26
TEHRAN (IQNA) - Familia ya mwanasayansi bingwa na mwenye kipawa cha juu katika masuala ya nyuklia na ulinzi wa Iran shahidi Mohsen Fakhrizadeh jana ilimtembelea Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Ali Khamenei.
Habari ID: 3473591 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/01/26
TEHRAN (IQNA)- Mjumbe wa Harakati ya Jihad Islami ya Palestina nchini Iran Nasser Abu Shariff ametembelea ofisi za Shirika la Habari za Qur'ani la Kimataifa (IQNA) hapa mjini Tehran.
Habari ID: 3473579 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/01/21
TEHRAN (IQNA) – Semi fainali ya kusoma Qur'ani Tukufu au qiraa katika Awamu ya 37 ya Mashindano ya Kimataifa ya Qur'ani ya Iran imemalizika leo Jumatano.
Habari ID: 3473576 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/01/20
TEHRAN (IQNA) – Nusu fainali ya Awamu ya 37 ya Mashindano ya Kimataifa ya Qur’ani Tukufu ya Iran imeanza Jumanne asubuhi mjini Tehran.
Habari ID: 3473572 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/01/19