TEHRAN (IQNA)-Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu Iran limetekeleza shambulizi la makombora na kulenga ngome za magaidi wa ISIS au Daesh nchini Syria ambapo mamia ya magaidi wameangamizwa.
Habari ID: 3471025 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/06/19
Inna Lillah wa Inna Ilayhi Rajioun
TEHRAN (IQNA)- Hujjatul Islam Seyed Mehdi Taqavi mkurugenzi wa zamani wa Shirika la Habari za Qur'ani la Kimataifa (IQNA), ni kati ya watu waliouawa shahidi katika hujuma ya kigaidi katika Bunge la Iran.
Habari ID: 3471012 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/06/07
TEHRAN (IQNA)-Zaidi ya nchi 20 zinashiriki katika Maonyesho ya 25 ya Kimataifa ya Qur’ani ya Iran mwaka huu.
Habari ID: 3471005 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/06/03
TEHRAN (IQNA)-Maonyesho ya 25 ya Kimataifa ya Qur'ani ya Iran yameanza leo Alasiri katika Ukumbi wa Sala wa Imam Khomeini SA mjini Tehran.
Habari ID: 3470999 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/05/29
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema kuwa watawala wa Saudi Arabia ni wakali sana kwa Waislamu lakini wakati huo huo ni warehemevu kwa makafiri.
Habari ID: 3470998 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/05/28
TEHRAN (IQNA)- Sayyed Mostafa Husseini wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ametangazwa kushika nafasi ya pili katika qiraa katika Mashindano ya 5 ya Kimataifa ya Qur'ani Tukufu nchini Uturuki.
Habari ID: 3470992 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/05/24
Vyombo vya habari vya Kiarabu vyakiri
TEHRAN (IQNA)-Vyombo vya habari vya Kiarabu vimekiri kushiriki kwa wingi Wa iran i hasa wanawake katika uchaguzi wa rais wa awamu ya 12 wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
Habari ID: 3470986 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/05/20
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema
TEHRAN (IQNA)-Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema kuwa: "Sawa na miaka ya nyuma, kwa kutegemea hima, jitihada, ubunifu na vipawa vyake, Jamhuri ya Kiislamu ya Iran itaendelea na mkondo wake wa 'nguvu ya kuzuia hujuma'.
Habari ID: 3470975 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/05/11
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA)-Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, amesema kuwa kuufahamu na kuufanyia kazi usuli wa Qur'ani wa "Kumwamini Mwenyezi Mungu na kumpinga Shetani" kutaupa izza na heshima umma wa Kiislamu na akaongezea kwa kusema hii leo ulimwengu wa ukafiri umekusudia kufuta utambulisho wa Kiislamu katika kila pembe ya dunia.
Habari ID: 3470954 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/04/27
TEHRAN (IQNA)-Mashindano ya 34 Kimataifa ya Qur'ani ya Iran yamemalizika huku Ustadh Haitham Sagar Ahmad wa Kenya akishika nafasi ya nne katika kuhifadhi Qur'ani kikamilfu.
Habari ID: 3470952 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/04/26
Mtaalamu wa Qur'ani kutoka Algeria
TEHRAN (IQNA)-Mtaalamu wa masuala ya Qur'ani kutoka Algeria amesema mashindano ya kimataifa ya Qur'ani ya Iran mwaka huu ni ya kipekee na ya aina yake duniani.
Habari ID: 3470949 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/04/24
TEHRAN (IQNA)-Mkutano wa 10 wa Kimataifa wa Masomo ya Qur’ani unafanyika leo Jumatatu nchini Iran katika mji mtakatifu wa Qum, kusini mwa Tehran.
Habari ID: 3470948 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/04/24
TEHRAN (IQNA)-Qarii mtajika na mtaalamu wa Qur'ani kutoka Misri amesema kila mshiriki katika mashindano ya Qur'ani ni mshindi.
Habari ID: 3470946 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/04/22
TEHRAN (IQNA) –Raia wa Kenya amefika fainali za Mashindano ya 34 ya Kimataifa ya Kuhifadhi Qur'ani Tukufu yanayofanyika nchini Iran.
Habari ID: 3470945 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/04/22
TEHRAN (IQNA)-Mashindano ya 34 ya Kimataifa ya Qur'ani ya Iran yana washiriki kutoka Tanzania, Malawi na Burundi wamewasili Tehran kuwakilisha nchi zao katika mashindano hayo.
Habari ID: 3470942 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/04/20
TEHRAN (IQNA)-Mashindano ya 34 ya Kimataifa ya Qur’ani Tukufu ya Iran yamefunguliwa rasmi Jumatano hii katika Ukumbi wa Sala wa Imam Khomeini MA mjini Tehran.
Habari ID: 3470941 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/04/19
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA)-Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesisitiza kuwa, hakuna shaka yoyote kuhusu uadui wa madola ya kibeberu hususan Marekani dhidi ya taifa la Iran na kwamba uadui huo umekuwa ukioneshwa muda wote kwa sura tofauti.
Habari ID: 3470940 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/04/19
TEHRAN (IQNA)-Mashindano ya kitaifa na kimataifa ya Qur'ani ni kati ya mafanikio makubwa ya mfumo wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na yanalenga kuleta umoja wa Waislamu.
Habari ID: 3470936 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/04/16
TEHRAN (IQNA)-Mashindano ya 34 ya Kimataifa ya Qur'ani Tukufu ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran yamepangwa kuanza tarehe 19 Aprili mjini Tehran.
Habari ID: 3470932 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/04/12
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA)-Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ameashiria hujuma ya hivi karibuni ya Marekani nchini Syria na kusema: "Ni jambo linalotarajiwa kwa Marekani kutenda jinai na kukiuka mambo na kudhulumu na imewahi kuyafanya hayo katika maeneo mengine duniani."
Habari ID: 3470928 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/04/09