TEHRAN (IQNA) - Saudi Arabia imewapiga marufuku raia wake na wakazi wa nchi hiyo kutekeleza ibada ya Umrah katika mji Mtakatifu wa Makka au kuzuru Msikiti wa Mtume SAW katika mji wa Madina kwa hofu ya kuenea kirusi cha Corona ambacho kinaenea kwa kasi duniani.
Habari ID: 3472533 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/03/05
TEHRAN (IQNA) – Waumini wanarejea katika misikiti mitano ya kihistoira ambayo imekarabatiwa na kuanza kutumiwa baada ya hadi miongo sita.
Habari ID: 3472375 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/01/15
TEHRAN (IQNA) – Mwanazuoni wa kidini nchini Saudi Arabia amekamatwa baada ya kukosoa sera za ufalme za kuwakaribisha watumbuizaji wa kimataifa wanaoeneza ufasiki na ufisadi wa kimaadili.
Habari ID: 3472126 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/09/11
TEHRAN (IQNA) - Watawala wa Saudi Arabia wamekasirishwa na kitendo cha Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) cha kuwaondosha nchini Yemen idadi kubwa ya wanajeshi wake.
Habari ID: 3472040 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/07/12
TEHRAN (IQNA) – Washindi wa Mashindano ya Qur'ani ya watoto walemavu yamefanyika nchini Saudi Arabia.
Habari ID: 3471839 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/02/13
TEHRAN (IQNA) -Zaidi ya nusu ya Wayemen, takribani watu milioni 14, wanakabiliwa na baada la njaa kutokana na hujuma ya kijeshi inayoongozwa na Saudia dhidi ya taifa hilo masikini zaidi katika bara Arabu.
Habari ID: 3471734 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/11/08
TEHRAN (IQNA)- Wanajeshi wa utawala Saudi Arabia wamewashambulia Waislamu wa madhehebu ya Shia ambao walikuwa wakishiriki katika maombolezo ya Mwezi wa Muharram.
Habari ID: 3471670 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/09/14
Katika kipindi cha mwaka moja
TEHRAN (IQNA)- Kituo cha Uchapishaji Qur'ani cha 'Malik Fahad' nchini Saudi Arabia kimetangza kuwa kimesambaza nakala milioni 18 za Qur'ani Tukufu mwaka uliopita wa Hijria Qamaria.
Habari ID: 3471669 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/09/13
TEHRAN (IQNA)- Mfuko wa Watoto wa Umoja wa Matiafa UNICEF umelaani vikali hujuma ya hivi karibuni ya ndege za kivita za Saudia katika mkoa wa Hudaydha ambapo watoto 26 waliuawa.
Habari ID: 3471645 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/08/25
TEHRAN (IQNA)-Ndege za muungano vamizi wa Saudia zimeshambulia basi lililokuwa limebeba watoto ambao ni wanafunzi wa Qur’ani kati mji wa Dhahiyan wa jimbo la Saada na kuua makumi ya raia wengi wao wakiwa watoto wa shule.
Habari ID: 3471623 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/08/10
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi wa harakati ya mapambano ya Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon ameipongeza Malaysia kwa kuondoa askari wake katika muungano wa kijeshi unoongozwa na Saudia ambao umekuwa ukiwashambulia wananchi wasio na ulinzi Yemen tokea mwaka 2015.
Habari ID: 3471577 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/06/30
TEHRAN (IQNA)-Jumuiya ya Kimataifa ya Wanazuoni Waislamu (IUMS) imelaani tawala za Saudi Arabia na Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) kwa kuendelea kuwashikilia kinyume cha sheria wahubiri wa Uislamu.
Habari ID: 3471362 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/01/20
TEHRAN (IQNA)- Wananchi wa Yemen wanakumbwa na jinamizi la mauti ambalo lilianza wakati Saudi Arabia, kwa himaya ya Marekani na Israel, ilianzisha hujuma dhidi ya nchi hiyo Machi 2015.
Habari ID: 3471310 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/12/15
TEHRAN (IQNA)-Mzee mwenye umri wa miaka 65 mjini Jeddah, Saudi Arabia, amefanikiwa kuhifadhi Qur'ani Tukufu kikamlifu kwa muda wa miezi 10.
Habari ID: 3471246 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/11/03
TEHRAN (IQNA)- Umoja wa Mataifa hatimaye umeiweka Saudi Arabia katika orodha nyeusi ya nchi zinazokiuka haki za watoto duniani kutokana na mauaji yanayotekelezwa na Jeshi la Saudia na waitifake wake dhidi ya watoto wa Yemen
Habari ID: 3471207 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/10/07
Amnesty International
TEHRAN (IQNA)-Shirika la kutetea haki za binadamu la Amnesty International wamesema kuwa, bomu lililoua raia 16 wa Yemen wakiwemo watu wote wa familia ya mtoto Buthaina aliyenusurika shambulizi hilo, lilitengenezwa nchini Marekani.
Habari ID: 3471187 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/09/23
TEHRAN (IQNA)- Misikiti kadhaa imefungwa Saudia Arabia baada ya ukoo wa kifalme kuingiwa na kiwewe kuhusu uwezekano wa kuibuka maandamano ya raia kupinga mienendo ya utawala huo.
Habari ID: 3471175 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/09/15
Msomi wa Malaysia
TEHRAN (IQNA)-Msomi mmoja nchini Malaysia amesema kuwa tafsiri potovu za Uislamu zimevuruga uthabiti katika nchi hiyo ya kusini mashariki mwa Asia na kuongeza kuwa, chanzo cha tatizo hilo ni walimu waliosoma Uwahabbi unaonezwa na Saudi Arabia.
Habari ID: 3471149 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/08/30
TEHRAN (IQNA)-Idadi ya Mahujaji mwaka ni 410,000 zaidi ya waka uliopita huku Waislamu kutoka kila kona ya dunia wakiwa katika mji mtukufu wa Makka kutekeleza ibada hiyo ya kila mwaka.
Habari ID: 3471148 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/08/29
TEHRAN (IQNA)- Hatimaye Umoja wa Mataifa umeutaka utawala wa Saudi Arabia usitishe jinai na hujuma zake dhidi ya Waislamu wa madhehebu ya Shia mashariki mwa nchi hiyo.
Habari ID: 3471119 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/08/13