iqna

IQNA

TEHRAN (IQNA) – Mashindano ya 22 ya Kitaifa ya Qur'ani Tukufu nchini Saudi Arabia yatafanyika katika Mwezi Mtukufu wa Ramadhani katika siku zitakazosadifiana na Aprili 2021.
Habari ID: 3473465    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/12/17

TEHRAN (IQNA) – Yemen ni sehemu hatari zaidi kwa watoto duniani, amesema Henrietta Fore Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Watoto (UNICEF).
Habari ID: 3473453    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/12/13

TEHRAN (IQNA) - Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imetangaza kumuweka balozi wa Marekani nchini Yemen katika orodha ya waliowekewa vikwazo na Iran.
Habari ID: 3473443    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/12/10

TEHRAN (IQNA) - Mwanazuoni wa ngazi za juu wa madhehebu ya Kiislamu ya Kishia katika mkoa wa Al Ahsa katika mkoa wa mashariki mwa nchi hiyo.
Habari ID: 3473433    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/12/07

TEHRAN (IQNA) - Waziri wa Mambo ya Nje wa Saudi Arabia ameeleza bayana kuwa kuanzisha uhusiano kamili wa kidiplomasia na utawala haramu wa Kizayuni wa Israel ni sehemu ya ndoto ya muda mrefu ya kisiasa ambayo wamekuwa nayo viongozi wa utawala wa Aal Saud.
Habari ID: 3473426    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/12/05

TEHRAN (IQNA) - Shirika la Umoja wa Mataifa la Mpango wa Chakula Duniani (WFP) limetoa indhari kuhusu uwezekano wa mamilioni ya watu wa Yemen kupoteza maisha kutokana na njaa huku Saudi Arabia ikiendeleza vita dhidi ya nchi hiyo masikini zaidi ya Kiarabu.
Habari ID: 3473420    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/12/04

TEHRAN (IQNA) – Maandamano yamefanyika nje ya ubalozi wa Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) mjini London, Uingereza kulaani jinai za UAE nchini Yemen.
Habari ID: 3473418    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/12/03

TEHRAN (IQNA) - Wakuu wa Yemen wametoa tahadhari kuhusu hali mbaya ya kibinadamu inayozidi kuwa mbaya nchini humo kutokana na vita vinavyoongozwa na Saudi Arabia dhidi ya nchi hiyo masikini ya Kiarabu ambapo 'mtoto mmoja wa Yemen hupoteza maisha kila dakika 10'.
Habari ID: 3473416    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/12/02

TEHRAN (IQNA)- Utawala wa kifalme wa Saudi Arabia umetoa amri ya kubomolewa msikiti alimokuwa akiswalisha mwanazuoni maarufu wa Waislamu wa madehehebu ya Shia, Shahidi Sheikh Nimr Baqir al-Nimr.
Habari ID: 3473410    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/12/01

TEHRAN (IQNA) - Ufalme wa Saudi Arabia umesisitiza kwamba unaunga mkono uanzishwaji uhusiano kamili na kawaida na utawala wa Kizayuni wa Israel.
Habari ID: 3473382    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/11/22

TEHRAN (IQNA) – Yemen, ambayo inakabiliwa na hujuma ya kijeshi ya Saudia, sasa inaelekea katika baa kubwa zaidi la njaa kuwahi kushuhudiwa duniani kwa miongo kadhaa, ametahadharisha Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Antonio Guterres.
Habari ID: 3473379    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/11/21

TEHRAN (IQNA) - Shirika la misaada ya kibinadamu la Oxfam lenye makao makuu yake nchini Uingereza limesema nchi 20 zenye uchumi mkubwa zaidi duniani (G20) zimeiuzia Saudi Arabia silaha zenye thamani ya dola bilioni 17 tangu Riyadh ianzishe vita dhidi ya Yemen mwaka 2015, lakini nchi hizo wanachama wa kundi la G20 zimeipa Yemen thuluthi moja ya fedha hizo kama msaada.
Habari ID: 3473370    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/11/18

Ufaransa yaonaya raia wake baada ya hujuma dhidi ya makaburi Jeddah, Saudia
Habari ID: 3473352    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/11/12

TEHRAN (IQNA)- Waislamu kutoka nchi za kigeni ambao wamefika mjini Makka kwa ajili ya Ibada ya Umrah wametembelea Msikiti wa Mtume Muhammad SAW maarufu kama Al-Masjid an-Nabawi mjini Madina kwa mara ya kwanza baada ya miezi kadhaa.
Habari ID: 3473348    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/11/10

TEHRAN (IQNA)- Serikali ya Saudi Arabia imewaruhusu waislamu wanaoishi nje ya ufalme huo kuingia nchini humo kwa ajili ya kutekeleza ibada ya Umra baada ya kufungwa mwezi Machi mwaka huu kutokana na maambukizi ya virusi vya corona.
Habari ID: 3473317    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/11/01

TEHRAN (IQNA) – Serikali ya Saudi Arabia imewaruhusu raia na wakaazi wa ufalme huo kuswali swala za jamaa za kila siku katika Msikiti Mtakatifu wa Makka (Al Masjid Al Haram ).
Habari ID: 3473270    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/10/18

Wizara ya Hija na Umrah Saudia imetangaza kuwa watu 250,000 wataruhusiwa kushiriki katika awamu ya pili ya Ibada ya Umrah ikiwa ni katika mpango wa kuanza hatua kwa hatua ibada hiyo.
Habari ID: 3473255    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/10/13

TEHRAN (IQNA)- Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) na Harakati ya Ukombozi wa Palestina (PLO) imemkosoa vikali balozi wa zamani wa Saudi Arabia nchini Marekani kutokana na matamshi yake dhidi ya wapigania ukombozi wa Palestina.
Habari ID: 3473247    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/10/10

TEHRAN (IQNA) – Mrithi wa Ufalme wa Saudi Arabia, Mohammad bin Salman, ameutembelea utawala wa Kizayuni wa Israel mara kadhaa kwa siri, amefichua afisa wa zamani wa usalama katika utawala huo.
Habari ID: 3473237    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/10/07

TEHRAN (IQNA)- Kundi la kwanza la wanaotekeleza ibada ya Umrah waliwasili katika Msikiti Mtakatifu wa Makka (Masjid al-Haram) Jumapili tarehe nne Oktiba.
Habari ID: 3473234    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/10/06