Mashindano ya Qur'ani
JAKARTA (IQNA) - Kituo cha Qur'ani chenye mfungamano na Idara ya Mfawidhi wa Haram Takatifu ya Imam Hussein (AS) nchini Iraq kimeandaa mashindano ya kuhifadhi Qur’ani Tukufu nchini Indonesia, na ku wahifadhi 200 kutoka kote nchini.
Habari ID: 3477802 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/10/28
Mashindano ya Qur'ani
TEHRAN (IQNA) - Toleo la 30 la Mashindano ya Kimataifa ya Qur’ani Tukufu ya Jordan yamemefungwa huko Amman Jumatatu usiku.
Habari ID: 3476886 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/04/18
Mashindano ya Qur'ani
TEHRAN (IQNA) – Idara ya Wakfu na Masuala ya Kiislamu ya Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) ilitangaza uzinduzi wa usajili kwa ajili ya mashindano ya 13 ya Qur'ani Tukufu nchini humo.
Habari ID: 3476477 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/28
TEHRAN (IQNA)- Wizara ya Wakfu na Masuala ya Kiislamu Kuwait imeandaa mashindano ya mabingwa wa Qur’ani katika kategoria za wanawake na wanaume.
Habari ID: 3474714 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/12/23
TEHRAN (IQNA)- Wizara ya Wakfu Misri imetangaza washindi wa Mashindano ya 28 ya Kimataifa ya Qur’ani yaliyofanyika wiki hii mjini Cairo.
Habari ID: 3474681 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/12/16
TEHRAN (IQNA)- Ahmed Garg Rupari, Naibu Mwenyekiti wa Kamati ya Ubunifu ya Manispaa ya Al Rahmaniya katika mji wa Sharjah huko Umoja wa Falme za Kiarabu ametangaza kuzinduliwa mashindano ya Qur’ani yaliyopewa jina la ‘Soma Qur’ani.”
Habari ID: 3474381 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/10/04
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA)-Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, amesema kuwa kuufahamu na kuufanyia kazi usuli wa Qur'ani wa "Kumwamini Mwenyezi Mungu na kumpinga Shetani" kutaupa izza na heshima umma wa Kiislamu na akaongezea kwa kusema hii leo ulimwengu wa ukafiri umekusudia kufuta utambulisho wa Kiislamu katika kila pembe ya dunia.
Habari ID: 3470954 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/04/27
IQNA: Washindi wa Mashindano ya Kitaifa ya Qur'ani Tukufu nchini Iran wametunukiwa zawadi katika hafla iliyofanyika mjini Tehran Ijumaa.
Habari ID: 3470855 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/02/18
IQNA-Awamu ya 12 ya Mashindano ya Kila Mwaka ya Qur’ani ya Amerika Kaskazini yamepangwa kufanyika mjini Toronto, Canada mwaka 2017.
Habari ID: 3470752 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/12/21
IQNA-Mashindano ya kimatiafa ya Qur'ani Tukufu kwa ajili ya wanafunzo wa vyuo vikuu vya Kiislamu (Hawza) nchini Iran yamepangwa kufanyika katika mji mtakatifu wa Qum.
Habari ID: 3470695 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/11/24
Kumefanyika mashindano ya adhana katika mji mkuu wa Denmark, Copenhagen wikiendi iliyopita.
Habari ID: 3470580 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/09/26
Kituo cha Utamduni cha Iran nchini Nigeria kinashirikiana na al-Afrikiy Islamic TV kuandaa mashindano ya Qur’ani katika nchi hiyo ya Afrika Magharibi.
Habari ID: 3470540 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/08/29
Duru ya tano ya mashindano ya kimatiafa ya Qur’ani ya wanafunzi wa shule yatafanyika nchini Iran mwezi Februari mwaka 2017.
Habari ID: 3470493 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/08/04
Awamu ya kwanza ya mashindano ya kimataifa ya Qur’ani Tukufu maalumu kwa wasichana yamepangwa kufanyika Dubai nchini Imarati kuanzia Novemba 6 hadi 18.
Habari ID: 3470488 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/08/02
Mashindano ya 6 ya Kimataifa ya Qur’ani ya Wanachuo Waislamu yatakayofanyika Iran yanatazamiwa kuwa na washiriki kutoka nchi Zaidi ya 50.
Habari ID: 3470481 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/07/29
Mashindano ya 17 ya Kimataifa ya Qur'ani ya Mashariki mwa Afrika yamemalizika Jumatatu 20 Juni nchini Djibouti.
Habari ID: 3470412 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/06/23
Awamu ya 24 ya Mashindano ya Qur'ani ya nchi za Afrika Magharibi yamefanyika nchini Senegal.
Habari ID: 3470411 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/06/23
Mashindano ya Nne ya Kimataifa ya Qur'ani yameanza leo Ijumaa katika mji wa Istanbul.
Habari ID: 3470374 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/06/10
Mashindano ya 16 ya Kitaifa ya Qur'ani Tukufu miongoni mwa Waislamu wa madhehebu ya Shia nchini Bahraq yamepangwa kufanyika wiki chache zijazo.
Habari ID: 3470359 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/06/05
Idara ya Utamaduni ya Iran nchini Uganda imefadhili mashindano ya Qur'ani Tukufu katika Televisheni ya Kitaifa ya Uganda, UBC.
Habari ID: 3470342 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/05/28