IQNA: Washindi wa Mashindano ya Kitaifa ya Qur'ani Tukufu nchini Iran wametunukiwa zawadi katika hafla iliyofanyika mjini Tehran Ijumaa.
Habari ID: 3470855 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/02/18
IQNA-Awamu ya 12 ya Mashindano ya Kila Mwaka ya Qur’ani ya Amerika Kaskazini yamepangwa kufanyika mjini Toronto, Canada mwaka 2017.
Habari ID: 3470752 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/12/21
IQNA-Mashindano ya kimatiafa ya Qur'ani Tukufu kwa ajili ya wanafunzo wa vyuo vikuu vya Kiislamu (Hawza) nchini Iran yamepangwa kufanyika katika mji mtakatifu wa Qum.
Habari ID: 3470695 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/11/24
Kumefanyika mashindano ya adhana katika mji mkuu wa Denmark, Copenhagen wikiendi iliyopita.
Habari ID: 3470580 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/09/26
Kituo cha Utamduni cha Iran nchini Nigeria kinashirikiana na al-Afrikiy Islamic TV kuandaa mashindano ya Qur’ani katika nchi hiyo ya Afrika Magharibi.
Habari ID: 3470540 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/08/29
Duru ya tano ya mashindano ya kimatiafa ya Qur’ani ya wanafunzi wa shule yatafanyika nchini Iran mwezi Februari mwaka 2017.
Habari ID: 3470493 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/08/04
Awamu ya kwanza ya mashindano ya kimataifa ya Qur’ani Tukufu maalumu kwa wasichana yamepangwa kufanyika Dubai nchini Imarati kuanzia Novemba 6 hadi 18.
Habari ID: 3470488 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/08/02
Mashindano ya 6 ya Kimataifa ya Qur’ani ya Wanachuo Waislamu yatakayofanyika Iran yanatazamiwa kuwa na washiriki kutoka nchi Zaidi ya 50.
Habari ID: 3470481 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/07/29
Mashindano ya 17 ya Kimataifa ya Qur'ani ya Mashariki mwa Afrika yamemalizika Jumatatu 20 Juni nchini Djibouti.
Habari ID: 3470412 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/06/23
Awamu ya 24 ya Mashindano ya Qur'ani ya nchi za Afrika Magharibi yamefanyika nchini Senegal.
Habari ID: 3470411 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/06/23
Mashindano ya Nne ya Kimataifa ya Qur'ani yameanza leo Ijumaa katika mji wa Istanbul.
Habari ID: 3470374 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/06/10
Mashindano ya 16 ya Kitaifa ya Qur'ani Tukufu miongoni mwa Waislamu wa madhehebu ya Shia nchini Bahraq yamepangwa kufanyika wiki chache zijazo.
Habari ID: 3470359 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/06/05
Idara ya Utamaduni ya Iran nchini Uganda imefadhili mashindano ya Qur'ani Tukufu katika Televisheni ya Kitaifa ya Uganda, UBC.
Habari ID: 3470342 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/05/28
Mashindano ya Kimataifa ya Qur'ani ya Tunisia mwaka huu hayatafanyika kutokana na ukosefu wa bajeti.
Habari ID: 3470328 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/05/23
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu leo Jumatano ameonana na washiriki wa Mashindano ya 33 ya Kimataifa ya Qur'ani Tukufu yaliyomalizika jana hapa mjini Tehran na kusema kuwa, Qur'ani ndio mhimili wa umoja wa umma wa Kiislamu.
Habari ID: 3470319 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/05/18
Hafidh wa Qur'ani Tukufu kutoka Kenya aliyeshiriki Mashindano ya 33 ya Kimataifa ya Qur'ani ya Iran amepongeza kujitokeza kwa wingi wananchi wapendao Qur'ani wa Iran katika ukimbu wa mshindano.
Habari ID: 3470318 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/05/18
Majaji katika Mashindano ya 33 ya Kimataifa ya Qur'ani ya Iran wametangaza kuwa qarii mshiriki kutoka Tanzania amepata nafasi bora zaidi kwa mtazamo wa 'Saut na Lahn' katika usomaji wake wa Qur'ani Tukufu.
Habari ID: 3470317 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/05/18
Hafidh wa Tanzania
Mwakilishi wa Tanzania katika Mashindano ya 33 ya Kimataifa ya Qur'ani Tukufu ya Iran amesema kuwaleta pamoja wanaharakati wa Qur'ani kutoka kila kona ya dunia ni nukta muhimu katika kuimarisha umoja wa Waislamu.
Habari ID: 3470312 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/05/14
Alhamisi ilikuwa siku ya kwanza ya Mashindano ya 33 ya Kimataifa ya Qur’ani ya Iran ambapo washiriki 16 waliweza kuonyesha ustadi wao katika kusoma na kuhifadhi Qur’ani Tukufu.
Habari ID: 3470309 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/05/13
Mashindano ya 7 ya kirafiki ya Qur'ani baina ya majeshi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Ufalme wa Oman yatafanyika hivi karibuni mjini Tehran.
Habari ID: 3470308 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/05/12