mashindano - Ukurasa 3

IQNA

Mashindano ya Kimataifa ya Qur'ani ya Tunisia mwaka huu hayatafanyika kutokana na ukosefu wa bajeti.
Habari ID: 3470328    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/05/23

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu leo Jumatano ameonana na washiriki wa Mashindano ya 33 ya Kimataifa ya Qur'ani Tukufu yaliyomalizika jana hapa mjini Tehran na kusema kuwa, Qur'ani ndio mhimili wa umoja wa umma wa Kiislamu.
Habari ID: 3470319    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/05/18

Hafidh wa Qur'ani Tukufu kutoka Kenya aliyeshiriki Mashindano ya 33 ya Kimataifa ya Qur'ani ya Iran amepongeza kujitokeza kwa wingi wananchi wapendao Qur'ani wa Iran katika ukimbu wa mshindano.
Habari ID: 3470318    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/05/18

Majaji katika Mashindano ya 33 ya Kimataifa ya Qur'ani ya Iran wametangaza kuwa qarii mshiriki kutoka Tanzania amepata nafasi bora zaidi kwa mtazamo wa 'Saut na Lahn' katika usomaji wake wa Qur'ani Tukufu.
Habari ID: 3470317    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/05/18

Hafidh wa Tanzania
Mwakilishi wa Tanzania katika Mashindano ya 33 ya Kimataifa ya Qur'ani Tukufu ya Iran amesema kuwaleta pamoja wanaharakati wa Qur'ani kutoka kila kona ya dunia ni nukta muhimu katika kuimarisha umoja wa Waislamu.
Habari ID: 3470312    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/05/14

Alhamisi ilikuwa siku ya kwanza ya Mashindano ya 33 ya Kimataifa ya Qur’ani ya Iran ambapo washiriki 16 waliweza kuonyesha ustadi wao katika kusoma na kuhifadhi Qur’ani Tukufu.
Habari ID: 3470309    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/05/13

Mashindano ya 7 ya kirafiki ya Qur'ani baina ya majeshi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Ufalme wa Oman yatafanyika hivi karibuni mjini Tehran.
Habari ID: 3470308    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/05/12

Mashidano ya 33 ya Kimataifa ya Qur'ani Tukufu ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran yameanza Jumatano usiku mjini Tehran.
Habari ID: 3470306    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/05/12

Nchi 74 zitatuma wawakilishi katika Mashidano ya Kimataifa ya Qur'ani ambayo yanaanza wik hii, Tehran mji mkuu wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
Habari ID: 3470302    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/05/09

Mwakilishi wa Iran katika awamu ya 7 ya Mashindano ya Kimataifa ya Qur'ani nchini Kuwait ameshika nafasi ya tatu katika kitengo cha qiraa.
Habari ID: 3470258    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/04/20

Duru ya kwanza ya Mashindano ya Kimataifa ya Qur'ani maalumu kwa walemavu wa macho yatafanyika Tehran sambamba na mashindano ya kimataifa ya Qur'ani ya kila mwaka.
Habari ID: 3470246    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/04/13

Mashindano ya Kimataifa ya Qur’ani ya Jordan kwa ajili ya wanawake yameanza Jumapili kwa kuhudhuriwa na Waziri wa Awqaf nchini humo pamoja na mabalozi wa nchi kadhaa.
Habari ID: 3470239    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/04/11

Mashindano ya 38 ya Kitaifa ya Qur’ani Tukufu nchini Iran yamemalizika Jumamosi usiku katika hafla iliyofanyika mjini Kermanshah mashariki mwa nchi.
Habari ID: 3469906    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/12/27

Wairani zaidi ya milioni 1.2 wanashiriki katika Mpango wa Kitaifa ya Kuhifadhi Qur'ani tukufu chini ya usimamizi wa Shirika la Awqaf la Iran.
Habari ID: 3468284    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/12/22

Awamu ya 38 ya Mashindano ya Kitaifa ya Qur’ani katika Jamhuri ya Kiislamu ya Iran yameanza Jumamosi hii katika mji wa Kermanshah magharibi mwa nchi.
Habari ID: 3466837    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/12/19

Duru ya 10 ya Mashindano ya Kitaifa ya Qur'ani Bosnia na Herzegovina yamefanyika katika mji mkuu wa nchi hiyo, Sarajevo.
Habari ID: 3458214    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/11/29

Awamu ya 23 ya Mashindano ya Kimataifa ya Qur'ani ya Misri yatafanyika hivi karibuni katika mji wa Sharm el Sheikh mkoa wa Sinai.
Habari ID: 3457049    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/11/25

Wizara ya Awqaf nchini Syria imewatangaza washindi wa Awamu ya 16 ya Mashindano ya Kitaifa ya Kuhifadhi Qur'ani.
Habari ID: 3362917    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/09/15

Mashindano ya Kitaifa ya Qur'ani Tukufu yamefanyika hivi karibuni nchini Zimbabwe kwa usimamizi wa Baraza Kuu la Waislamu nchini humo.
Habari ID: 3362910    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/09/15

Mashindano ya Kuhifadhi Qur’ani Tukufu yamefanyika nchini Morisi (Mauritius) katika vitengo viwili vya wanawake na wanaume.
Habari ID: 3361685    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/09/12