mashindano - Ukurasa 5

IQNA

Awamu ya 32 ya Mashindano ya Kimataifa ya Qur’ani Tukufu ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran yanatazamiwa kuanza katika mji mkuu Tehran mnamo 27 Rajab sawa na Mei 15.
Habari ID: 3156549    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/04/16

Jamhuri ya Kiislamu ya Iran itashiriki katika mashindano ya kimataifa ya Qur’ani nchini Tunisia Mashindano hayo yanatazamiwa kufanyika baadaye mwezi huu katika nchi hiyo ya kaskazini mwa Afrika.
Habari ID: 3147174    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/04/15

TEHRAN (IQNA)-Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu, yaani bunge la Iran Ali Larijani amesisitiza kuhusu umoja wa Waislamu na kuongeza kuwa tafauti miongoni mwa madhehebu ya Kiislamu si kubwa na kwamba maadui wanatumia tafauti ndogo zilizopo kuibua migogoro miongoni mwa Waislamu.
Habari ID: 2672174    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/01/05

TEHRAN –IQNA–Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa njia pekee ya kuokoka Waislamu katika hali ya hivi sasa duniani ni kurejea katika mafundisho ya Kiislamu.
Habari ID: 2665230    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/01/01

Tehran (IQNA)- Kongamano la kimataifa lenye anuani ya “Umoja wa Kimataifa Kwa Mtazamo wa Qur’ani na Hadithi” linatazamiwa kufanyika Tehran, Ijumaa tarehe pili Januari.
Habari ID: 2626656    Tarehe ya kuchapishwa : 2014/12/25

Duru ya 36 ya Mashindano ya Kimatiafa ya Hifdhi, Qiraa na Tafsiri ya Qur’ani Tukufu yameanza leo Novemba 15 katika Msikitu Mkuu wa Makka (Masjid al-Haram) , Saudi Arabia.
Habari ID: 1473482    Tarehe ya kuchapishwa : 2014/11/15

Mashindano ya Qur’ani yamefanyika nchini Rwanda chini ya himya ya Jumuiya ya Waislamu nchini humo.
Habari ID: 1455972    Tarehe ya kuchapishwa : 2014/09/30

Mashindano ya kuhifadhi Qur'ani Tukufu nchini Uingereza yamepangwa kufanyika mwezi ujao nchini humo yakiwashirikisha vijana wa Kiislamu.
Habari ID: 1439998    Tarehe ya kuchapishwa : 2014/08/17

Waziri wa Masuala ya Kidini na Wakfu wa Algeria ametangaza kuwa nchi 43 zitashiriki katika mashindano ya kimataifa ya Qur’ani yaliyopangwa kufanyika nchini humo.
Habari ID: 1422666    Tarehe ya kuchapishwa : 2014/06/25

Iwapo Waislamu wa maeneo yote duniani wataweka kando migongano yao na kushikamana na Kamba ya Allah, yaani Qur'ani Tukufu, basi ulimwengu wa Kiislamu utashuhudia ustawi mkubwa na wa kasi katika nyanja zote.
Habari ID: 1412786    Tarehe ya kuchapishwa : 2014/05/31

Mashindano ya 31 ya Kimataifa ya Qur'ani Tukufu yameanza siku ya Jumatatu mjini Tehran katika mkesha wa siku kuu ya kukumbuka wakati Mtume Mtukufu wa Uislamu Muhammad Mustafa SAW alipobaathiwa yaani kupewa Utume na Mwenyezi Mungu.
Habari ID: 1411469    Tarehe ya kuchapishwa : 2014/05/27

Mashindano ya Qur’ani nchini Kenya yameingia wiki yake ya pili kwa kufanyika awamu ya mchujo katika Masjid Kambi eneo la Kibra katika mji mkuu, Nairobi.
Habari ID: 1390167    Tarehe ya kuchapishwa : 2014/03/31